Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli akili huna. kamulize mamako kwanini huna akil, inawezekana lishe alokuwa anakupatia. Ni nan huyo anayeweza kupata taarifa za jeshi wakati hata wabunge hawaambiwi? Tumieni hata akili za kuazima saazingine.
Kuwa na vikosi vingi sio shida. Vikosi vyenyewe vina active troops wangapi. Silaha dhaifu ni dhaifu tu. Mbona Kikwete alivyonunua J-7G kutoka China tulijua na idadi yake na shipments. Hivyo vifaru vimenunuliwa kuzimu ama niniAngalia vizuri taarifa yako.
Fanya assignment. Dsm kuna vikosi vingapi unavyovijua. Halafu nitajua kama unajua.
Unatumia blog l za Kenya kujustify taarifa za kesho letu kweli, yaani hatuna towed artillery ata Moja na wewe unaamini tunavifaru 47 duh..mara nyingi bloger wa Kenya Huwa wanatwiat hizi habari kupata view nyingi.
Hivi unaamini kabisa tuna tanks 42 na hatuna towed artillery?Kuwa na vikosi vingi sio shida. Vikosi vyenyewe vina active troops wangapi. Silaha dhaifu ni dhaifu tu. Mbona Kikwete alivyonunua J-7G kutoka China tulijua na idadi yake na shipments. Hivyo vifaru vimenunuliwa kuzimu ama nini