Takwimu: Mtu mwenye umri wa chini ya miaka 50 kufa kwa Corona ni sawa na jogoo kutaga mayai, sasa kwanini tunapanic?

Takwimu: Mtu mwenye umri wa chini ya miaka 50 kufa kwa Corona ni sawa na jogoo kutaga mayai, sasa kwanini tunapanic?

Wana wazee wengi sana na wazee ndio hazina kubwa kwenye mipango kazi!!
Haswa kwenye kazi zao za kiharamia!!
Life expectancy ya nchi kama USA na Japan iko juu sana, kukuta watu wana miaka 85 - 90 ni kawaida, huku Africa mtu kufika 60 tu ishu..
 
Life expectancy ya nchi kama USA na Japan iko juu sana, kukuta watu wana miaka 85 - 90 ni kawaida, huku Africa mtu kufika 60 tu ishu..
Exactly! Alafu wazee huku hawataki kujizeesha! Utakuta babu wa miaka zaidi ya sitini anaenda beach kama kawaida yaani full kujichanganya
 
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.02 ya waliokufa kwa Corona wako chini ya 50yrs, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?
Kwanza miaka 60 hata ukifa Taifa halina hasara.....
 
Life expectancy ya nchi kama USA na Japan iko juu sana, kukuta watu wana miaka 85 - 90 ni kawaida, huku Africa mtu kufika 60 tu ishu..
Na Italy pia mkuu!
Huku kwetu kutoboa 60 kweli imekuwa shidah ma Babu zetu waliishi miaka mingi sana hii Dunia ina maharamia waona wafanya maisha yetu pengine yawe mafupi!
Maana sio nidham ya kula tu inayo fupisha masha yetu!!!
Jamii ambayo haina wazee ni rahisi sana kuyumbishwa!!!
 
Na Italy pia mkuu!
Huku kwetu kutoboa 60 kweli imekuwa shidah ma Babu zetu waliishi miaka mingi sana hii Dunia ina maharamia waona wafanya maisha yetu pengine yawe mafupi!
Maana sio nidham ya kula tu inayo fupisha masha yetu!!!
Jamii ambayo haina wazee ni rahisi sana kuyumbishwa!!!
Tena wazee wenye busara! Na heshima zao kuwapata hao umepata lulu

Achana na hawa wanaoitana bebii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natural selection
Sasa huoni kuwa hata wewe unayejiona chuma ni kuwa ukipata huo ugonjwa hata kama uwezekeno wa kufa ni mdogo kabisa lakini bado utawaambukiza wengine wenye umri mkubwa na wenye magonjwa mengine? Huoni kuwa tusipochukuwa tahadhari baada ya muda dunia itakuwa imepoteza wazee wengi na watu waliokuwa na magojwa mengine kama pumu nk? Hilo kwako ni poa?
 
Ndugu yangu... wewe huna ndugu, jamaa na marafiki na hata binadamu wenzako wenye umri juu ya miaka 50? Au nilulize hivi: Hii dunia haina watu wenye umri zaidi ya miaka 50? Acha ubinafisi! Kwa kuwa jambo halikupati wewe basi usione halina hatari. Ndiyo maana huwa nasema waafirika bado tupo kwenye stages za mwanzoni za evolution kulinganisha na wazungu. Mwafrika kama kitu hakimhusu basi yeye ataweka mguu juu na kufurahia. Thanks, watu weupe wengi hawana mawazo kama haya. Huwa wanajali shida inapompata binadamu yoyote bilka kujali kama inawahusu.
Watu weupe ndio wapuuzi kuliko weusi,weupe ni wanafiki sana na hawana ubinadamu hata chembe.

Huo ugonjwa umetengenezwa na hao unao wasifia.sisi weusi tuna ujinga wetu mdogo mdogo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuokota vitu na kuvileta kama vilivyo. Umeahajiuliza kwanini Italy watu wanakufa sana kwa corona kuliko nchi zingine?
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.02 ya waliokufa kwa Corona wako chini ya 50yrs, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu weupe ndio wapuuzi kuliko weusi,weupe ni wanafiki sana na hawana ubinadamu hata chembe.

Huo ugonjwa umetengenezwa na hao unao wasifia.sisi weusi tuna ujinga wetu mdogo mdogo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuhakikishia tungekuwa na ''ujinga mdogo mdogo tu'' kama unavyosema wewe basi tungekuwa matajiri sana.
 
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.02 ya waliokufa kwa Corona wako chini ya 50yrs, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?
ndugu hii post yako hebu soma vizuri ulichaondika, inawezekana wewe ndio umepanic? wenzako wnawafikiria watu walionao karibu kama wazee, watoto na walio na matatizo ktk kinga zao za mwili halafu hiyo 0.02 unaweza kuwa ndio we wewe!!?
 
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.02 ya waliokufa kwa Corona wako chini ya 50yrs, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?
Nani amekudanganya Mkuu? Hebu angalia hapa chini;

Europe's 'youngest' coronavirus death: Spanish football coach dies from disease aged just 21
Luke Andrews For Mailonline
A 21-year-old Spanish football coach has died of coronavirus after doctors also diagnosed him with leukaemia.

Francisco Garcia, who managed the junior team of Malaga-based club Atletico Portada Alta, was rushed to hospital with severe symptoms of the virus.

But when he arrived doctors also identified the deadly blood cancer. They said he would have survived if he was not suffering from the pre-existing condition.

Europe's 'youngest' coronavirus death: Spanish football coach dies from disease aged just 21
 
Back
Top Bottom