mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
Jitahid kusoma jaman mnadanganywa kuhusu iyo corona sio serious kihivyo
Jamaa uuko sawa inawaua wazee na wenye upungufu wa kika mwilin wenye magonjwa kama sukar na presha ila kwa mtu wa kawaida chinya miaka 60 si rahis kufa kwa corona
Itakuwa vizuri kama utafata ushauri wako na kusoma uzuri juu ya kinachoelezwa na wataalamu wa tiba duniani juu ya ugonjwa huu.