ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
kipaji cha ubishi unacho utafika mbaliUkipata nafasi angalia tena mechi na Raja kule Morocco halafu uniambie Denis Kibu ni mchezaji mbovu. Matter of fact, angalia game yoyote kati ya 10 zilizopita za Simba.
Katika vikosi vyote vya Simba na Yanga, naweza kusema ndiye mchezaji anayecheza mpira kwa usahihi sasa hivi.
Ndugu yangu ukiamka njoo na takwimu za jana na juzi tuendelee. 😅😅😅Leo Kibu kaupiga mwingi ,kachangia goli #TakwimuZiendelee
AahaaàKitu gambaniView attachment 2584811
Baleke anakiwashaNaombeni mnisaidie kumuangalia Kibu jamani. 🤣🤣🤣View attachment 2584953
Kwa mbaali. 🤣🤣Baleke anakiwasha
Nnayo ya hatrickTuma na ya Aziz Ki ya jana akijaribu kupiga mpira kwa kisigino ili tucheke zaidi.
Kwa nafasi anayocheza kibu huwez kumshindanisha kwa harakati, unamshindanisha kwa magoli tu.Ukipata nafasi angalia tena mechi na Raja kule Morocco halafu uniambie Denis Kibu ni mchezaji mbovu. Matter of fact, angalia game yoyote kati ya 10 zilizopita za Simba.
Katika vikosi vyote vya Simba na Yanga, naweza kusema ndiye mchezaji anayecheza mpira kwa usahihi sasa hivi.
Tunaomba update Mkuu.Uto leo ndo mwisho wa kuongoza ligi
Kibu kwa sasa anafanya kazi aliyotumwa uwanjani ndiyo maana akiwa fit ana uhakika wa kuanza katika kikosi cha Simba. Hakuna mwanasimba au kocha wa Simba anayemlalamikia kwa kutofunga magoli maana hilo siyo jukumu lake la msingi.Kwa nafasi anayocheza kibu huwez kumshindanisha kwa harakati, unamshindanisha kwa magoli tu.
Duuu, kumbe kuna wachezaji hawaruhusiwi kufungaKibu kwa sasa anafanya kazi aliyotumwa uwanjani ndiyo maana akiwa fit ana uhakika wa kuanza katika kikosi cha Simba. Hakuna mwanasimba au kocha wa Simba anayemlalamikia kwa kutofunga magoli maana hilo siyo jukumu lake la msingi.
Ndiyo uelewa wako ulipoishia hapo?Duuu, kumbe kuna wachezaji hawaruhusiwi kufunga
Kibu hawezi kuanza mbele ya sackoNdiyo uelewa wako ulipoishia hapo?
Kibu ana uhakika wa namba kuliko Kyombo na Sakho ambao wamefunga magoli hivi karibuni na wanaweza cheza namba yake. Litafakari hilo utapata majibu yote.
Wanasimba wote huwa tunalalamika Kibu anapokosa magoli. Acha upotoshaji, yaani jukumu la mchezaji no 10 uwanjani unasema sio kufunga? We ni taahira?Kibu kwa sasa anafanya kazi aliyotumwa uwanjani ndiyo maana akiwa fit ana uhakika wa kuanza katika kikosi cha Simba. Hakuna mwanasimba au kocha wa Simba anayemlalamikia kwa kutofunga magoli maana hilo siyo jukumu lake la msingi.
Tusubiri tuone mechi chache muhimu zijazo dhidi ya Wydad na Yanga ataanza nani. Hakuna mechi ya muhimu ya hivi karibuni ya Simba ambayo Kibu alikuwa fiti halafu hakuanza.Kibu hawezi kuanza mbele ya sacko
Niambie kati ya mechi 10 zilizopita za Simba, mechi ambayo Kibu alikosa goli hata moja la wazi. Jana Mayele kakosa magoli mangapi?Wanasimba wote huwa tunalalamika Kibu anapokosa magoli. Acha upotoshaji, yaani jukumu la mchezaji no 10 uwanjani unasema sio kufunga? We ni taahira?
Ana assist ngpNiambie kati ya mechi 10 zilizopita za Simba, mechi ambayo Kibu alikosa goli hata moja la wazi. Jana Mayele kakosa magoli mangapi?
Goli la pili la juzi dhidi ya Ihefu, angekuwa mtu mwingine yoyote angejaribu kufunga mwenyewe na Kibu angeweza kufunga pale ila kama nilivyokwambia anaelewa jukumu lake la msingi na alilitekeleza vizuri, leo hii tunamshangilia Baleke.
Sina hizo takwimu labda tumuulize Ramadhani Mbwaduke kama yupo humu. Ninachojua anazo assist mechi mbili muhimu zilizopita.Ana assist ngp
Kibu hata Ihefu hapati namba ni kwa vile Simba mbovuUkipata nafasi angalia tena mechi na Raja kule Morocco halafu uniambie Denis Kibu ni mchezaji mbovu. Matter of fact, angalia game yoyote kati ya 10 zilizopita za Simba.
Katika vikosi vyote vya Simba na Yanga, naweza kusema ndiye mchezaji anayecheza mpira kwa usahihi sasa hivi.