WAKO WAPI WATU WAKO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 2,373
- 3,139
Huyu kibu arudishiwe Uraia wake wa Burundi tu.....tutamuonea bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo kibu ni mtanzania wa mchongoHuyu kibu arudishiwe Uraia wake wa Burundi tu.....tutamuonea bure
[emoji1]habari chief[emoji3062][emoji3062][emoji3062][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]za saizi koloNa tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
Keshakimbia uzi uyo anachungulia kwa mbali Kama mjusi aliyebanwa na mlangoBaba tupe takwimu za Kibude Kibudenga [emoji23][emoji23]
Vipi kibu aliondoka simba au takwimu kimyaView attachment 2058407
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uhali ganiUto leo ndo mwisho wa kuongoza ligi
Takwimu zinatia uchungu kweliView attachment 2058407
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaaaa.. [emoji23][emoji23] aibuuu[emoji23]utasikia mtu anavimba anasema unamujua mayelee wewe
maji yamejitenga au bado?
Hataki hata kuuona huu uzi kaanzisha mwengine wa Ki Aziz siku si nyingi nao ataukimbiamaji yamejitenga au bado?
Jamaa anapenda kujiaibisha bora akomae jukwaa la Siasa tu.Hataki hata kuuona huu uzi kaanzisha mwengine wa Ki Aziz siku si nyingi nao ataukimbia
Mbumbumbu ni mbumbumbu tu!
Ssa kama mayele wakawaida mugali itakuwajeMayele ndio kaibeba Yanga msimu huu mpaka kuchukua ubingwa. Japokuwa Mayele ana magoli machache kulinganisha na idadi ya mechi alizocheza, lakini yeye ndio mwenye magoli mengi, assist nyingi na magoli mengi ya kuipa ushindi timu yake msimu huu.
Kwa maoni yangu, Mayele ni mchezaji wa kiwango cha kawaida kiufungaji japokuwa ni mfungaji bora kwa msimu huu.