Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

Na tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa

Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.

Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki

Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]za saizi kolo
 
Mayele ndio kaibeba Yanga msimu huu mpaka kuchukua ubingwa. Japokuwa Mayele ana magoli machache kulinganisha na idadi ya mechi alizocheza, lakini yeye ndio mwenye magoli mengi, assist nyingi na magoli mengi ya kuipa ushindi timu yake msimu huu.

Kwa maoni yangu, Mayele ni mchezaji wa kiwango cha kawaida kiufungaji japokuwa ni mfungaji bora kwa msimu huu.
 
Mayele ndio kaibeba Yanga msimu huu mpaka kuchukua ubingwa. Japokuwa Mayele ana magoli machache kulinganisha na idadi ya mechi alizocheza, lakini yeye ndio mwenye magoli mengi, assist nyingi na magoli mengi ya kuipa ushindi timu yake msimu huu.

Kwa maoni yangu, Mayele ni mchezaji wa kiwango cha kawaida kiufungaji japokuwa ni mfungaji bora kwa msimu huu.
Ssa kama mayele wakawaida mugali itakuwaje
 
Back
Top Bottom