Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Mwishowe atakuja kupigwa pipe mbele ya watoto! Mpige marufuku hata kuja kuwaona! Kama alikuwa anawapenda kwa nini alidai talaka?Maajabu Hawa watoto walipokua kwa mama Yao walikua Hali mbaya kihisia kuliko nilivyonao Sasa na step mother wao.... Mama analala nje siku mbili ya tatu ndo anarudi utasema Bora nn??