Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

yeah its true but life won't be the same again.. hata ningekua Mimi ningetafuta kazi unajishusha tuuu sema kwa jeuri za mange sijuiiii..
Hapo sawa, ni jinsi gani atajishusha aweze kusahau nguo nzuri viatu vizuri maisha ya bata Mbona atakua poa tu, ila mi ningekua Mange kurudi bongo baada ya ndoa kuisha atakaua kajishusha sana, akomae tu.
 
Princess Nifaa. Hapa ndipo watu wajifunze madara ya kuwachimbia kaburi watu wengine.

Huyu dada Amrudie Muumba wake kwa Toba Maana amechangia kuwachafua watu wengi sana na kusababisha athari kubwa juu ya watu aliowachafua.

Malipo ni hapa hapa Duniani, usifuraie mabaya ya mwenzako, bali mwombee mwenzako pindi anapopitia majaribu ya dunia, sasa huyu binti hakufanya hivi bali alichekelea na kuwapaka watu matope, haya ndiyo malipo yake.
 
Teh teh ehee! Mange sio wa kumchokoza kwa kiwango hiki we Nifa...atakucharua hadi ujute
 
Loh hivi ni kweli kaachwa? Mi nlijua ni maneno tu ya wabaya wake. Na kuhusu huzuni ya leo sio lazima iwe ni kwaajili hiyo...yapo mengi mtu anayapitia inawezekana ni jambo jingine kabisaa
Mkuu maswali gani sasa hayo?Huogopwi kuitwa mwanaume wa dar!
 
Nifah mama huyu mpare labda asikusome maana daaa naogopa mdomo wake jaman,maana atakusanya data cjui wapi atakuchamba huyooooo
Nyi ndo mnae mpa bichwa...ifikie kipindi Mange aache hii tabia itaathiri hadi kizazi chake cha nne , ni hatari sana kwamba mtu unagombana na kila mtu ili uitwe bingwa maana nyuma ya hizo chuki hujui watu wanafanya kitu gani!! Mange aache huo upumbavu wake kupitia yeye watu wengi wanaumia
Anaboa kwakweli ukiondoa miugomvi yake Mange ana akili sana sijui mapungufu yake ndio hiyo kugombana na kila mtu aaah
 
biashara ya Wema inahusikaje kwenye hii thread? Anzisha thread yako utangaze hii biashara kwenye matangazo madogo madogo.

Sorry mkuu, nimekosea nimekosea.

Naona kama umepanic!
 
Nyi ndo mnae mpa bichwa...ifikie kipindi Mange aache hii tabia itaathiri hadi kizazi chake cha nne , ni hatari sana kwamba mtu unagombana na kila mtu ili uitwe bingwa maana nyuma ya hizo chuki hujui watu wanafanya kitu gani!! Mange aache huo upumbavu wake kupitia yeye watu wengi wanaumia
Anaboa kwakweli ukiondoa miugomvi yake Mange ana akili sana sijui mapungufu yake ndio hiyo kugombana na kila mtu aaah
Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake, na hatuwezi kusema yanayofafana hata mara moja sawa mkuu,huo n mtazamo wangu na nnampaje kichwa?nmeongea kitu nnachokionaga akisema anakaa kimya den akirudi ujue anakuja kuyaanika ayajuayo yy
 
Kuna watu wanaishi US hawana vibali lakini wamenyoosha life, matatizo ya Mange alizidi sana kuishi kama public figure, ukiishi maisha ya kawaida watu hawajui, wengine tunakuja JF baada ya kuchambisha vibibi, kusafisha ofisi lakini tunajua ni kwamuda na tuna malengo. Alipokuwa na Da Zenat angechacharika na kazi asingeshidwa kumlipa $300 kwa mwezi walizokubaliana. Lakini no body is perfect, tunajfunza kutokana na makosa, ajipange upya.
 
Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake, na hatuwezi kusema yanayofafana hata mara moja sawa mkuu,huo n mtazamo wangu na nnampaje kichwa?nmeongea kitu nnachokionaga akisema anakaa kimya den akirudi ujue anakuja kuyaanika ayajuayo yy
Pole kama umekua offended na post yangu!! Ninachomaanisha hizi sifa mnazompa za kwamba anajua kulipua mabomu ndo zinamuharibu! Maana kikweli hili life alilochagua linampa stress hadi ye mwenyewe fikiria mpaka anatishiwa bastola mara kuwekewa vizuizi vya kusafiri ni jambo baya!
Once again pole sana kama nimekukwaza
 
sipati akirudi hapa ataishije manake ana maadui wengi sana aliowachambua kwenye mtandao wake na wengine wamepoteza mahela mengi kujisafisa kwasabbu yake.uadui mwingine wa kujitakia huu. namshauri apambane aishi tu hukohuko ulaya hadi uzeeni.
 
kama ni kweli Mange kaachika kuna watakaofanya sherehe. huyu dada amedhalilisha watu wengi mno mitandaoni jamani. Viongozi, watu wa kawaida na kadhalika. Akirudi bongo huyu wallahi watamdaka, hata kwa kumsingizia kesi. hafai katika jamii. muda mwingi yuko mitandaoni kudhalilisha watu, kuwatukana kupita maelezo. hata kama una data, kuna kiwango jamani. maisha ya ajabu uliyopata wakati unakua yasikufanye umalizie hasira wasiohusika.
anapenda malumbano na wivu uliopitiliza. ukitaka kumkomesha, usijibizane nae. Alimchokonoa sana Zari wa Diamond, lakini Zari akawa kimya akabaki na aibu. ndio dawa ya huyu kichaa wa kipare.
 
Nyi ndo mnae mpa bichwa...ifikie kipindi Mange aache hii tabia itaathiri hadi kizazi chake cha nne , ni hatari sana kwamba mtu unagombana na kila mtu ili uitwe bingwa maana nyuma ya hizo chuki hujui watu wanafanya kitu gani!! Mange aache huo upumbavu wake kupitia yeye watu wengi wanaumia
Anaboa kwakweli ukiondoa miugomvi yake Mange ana akili sana sijui mapungufu yake ndio hiyo kugombana na kila mtu aaah
Na inamgharimu kweli Shamimu msikie kwenye Tredio ni hafai kwa pfyyyy!
 
daah huyu dada alikuwa anamtukana lowassa kipindi cha uchaguzi sina hamu...mange malipo ni hapa hapa duniani umetukana wengi sana umeumiza wengi sana mungu hawezi kukuacha hivi hivi ujione umeshinda,
hata kama ulikuwa humtaki lowassa japo ungekuwa unamkataa kwa hoja kistaarabu sio kwa udhalilishaji ule.
na kuna watu wengi tu ambao hawajawahi kukukosea kwa lolote ulikuwa unawadhalilisha enzi za blog na sasa Ig. tubu zambi dada machozi ya watu wazima ni mkosi kama hukufunzwa na mamako sie waja ndio tunakunza hivyo.
 
Back
Top Bottom