Sara
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 1,060
- 932
Hapo sawa, ni jinsi gani atajishusha aweze kusahau nguo nzuri viatu vizuri maisha ya bata Mbona atakua poa tu, ila mi ningekua Mange kurudi bongo baada ya ndoa kuisha atakaua kajishusha sana, akomae tu.yeah its true but life won't be the same again.. hata ningekua Mimi ningetafuta kazi unajishusha tuuu sema kwa jeuri za mange sijuiiii..