Hebu nicheki PM nikupe maujanja,ila uandae akili [emoji16][emoji16][emoji16]Shoga natamani kuweka maumbea nashindwa sbbu ya picha nikitaka appload pic inaload then inastop natumia app ya JF
Nakuja fastaa Nifah wangu kila nikitaka kuweka hbr pic zinagoma nguvu zote zinaniisha nabakia kucomment tu [emoji134] [emoji134]Hebu nicheki PM nikupe maujanja,ila uandae akili [emoji16][emoji16][emoji16]
Si unajua wambea wanakuwaga na akili kubwa?
Hiyo njia ni ngumu kidogo lakini ukishaizoea utakuja kunishukuru hapa.
Karibu...
Period
Hilo jambo Mange hatokaa alifanye.Aombe msamaha kwa Mungu wake na kuishi kwa maadili ya mtoto wa Kiislam ingetosha.
HahahhhKaribu sweetheart [emoji7][emoji7][emoji7]
Am happy jamaniiiii.
Wewe ni kichwaaaa [emoji122][emoji122][emoji122]
Halooooo mambo si ndio haya sasa?View attachment 392886Diamond na mzimbambwe
Hahahhh sawa mwalimu wangu mekuelewa [emoji28][emoji28]Halooooo mambo si ndio haya sasa?
Mbea wewe sikuweziiii uwiiiii nakupendaje sasa?
Sikiliza wakati wa kuchukua screenshot ili ulete ubuyu vizuri...
Screenshot ya kwanza chukua picha,ya pili chukua maelezo.
Ubuyu on fleek...raha sana.[emoji39][emoji39][emoji39]
Na ubuyu unanoga ukiwa fasta kung 'amua mambo!Mbona rahisi sana!Ruge kawa muislamu amuoe Zamaradi
Halooooo mambo si ndio haya sasa?
Mbea wewe sikuweziiii uwiiiii nakupendaje sasa?
Sikiliza wakati wa kuchukua screenshot ili ulete ubuyu vizuri...
Screenshot ya kwanza chukua picha,ya pili chukua maelezo.
Ubuyu on fleek...raha sana.[emoji39][emoji39][emoji39]
miss uu[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8][emoji23] Nimerudije mpendwa
Nilikumiss pia!
NILIPATA JIBABU BILLIONEA[emoji28] I HAD TO ACT LIKE A MADAM KIDOGO ILI KWENDA NA KASI YA BABU[emoji23] (thubutuuuu!!! )
Well, fake identity muhumi atii... ubaya unakuja pale inapotokea visokorokwinyo wanapokufaham, watataka umwamba watu wote wakufahamu.
Mange alidhani watu wana shida ya Kumfahamu KP[emoji14] [emoji33] KP amekuwa kama shujaa machoni pa watu; amefanya jambo ambao watu wengi wametamani Ila wameshindwa[emoji28] kufanya,
Sasa Kumfahamu KP imekosa msisimko na comments chacheee.. Why?
Kwa kuwa watu hawana nia wala interest na KP wana interest na Habari za jinn kisirani Mange!! Kwan KP ndiye Alikuwa anajitapa yeye tajiri kuliko waswahili wote? Yeye ndio alichafua watu na kugombana na mamia? Yeye ndio alikua kinara wa kuchafua upinzan na sasa hivi raisi aliyepo madarakani?
Fake identity muhimuuuu....
nimerudi mmbea mwenzenu niambieni kilichojiri leoHebu nicheki PM nikupe maujanja,ila uandae akili [emoji16][emoji16][emoji16]
Si unajua wambea wanakuwaga na akili kubwa?
Hiyo njia ni ngumu kidogo lakini ukishaizoea utakuja kunishukuru hapa.
Karibu...
Period
nasikia ruge anaitwa abdalah siku hiziG
Na ubuyu unanoga ukiwa fasta kung 'amua mambo!
duuuh yaani sio fair jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bomu bado,kasema ataliweka usiku.
Mara aseme ataweka WhatsApp. ..
Taabu tupu.
hata sitaki tena jamani tunapotezeana mudaNakuambia nimekaa tu sina hamu.Kama ataweka sawa,asipoweka kheri pia.