Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Shoga natamani kuweka maumbea nashindwa sbbu ya picha nikitaka appload pic inaload then inastop natumia app ya JF
Hebu nicheki PM nikupe maujanja,ila uandae akili [emoji16][emoji16][emoji16]
Si unajua wambea wanakuwaga na akili kubwa?
Hiyo njia ni ngumu kidogo lakini ukishaizoea utakuja kunishukuru hapa.
Karibu...

Period
 
Hyo mme wake n km mkurya hatak mwanamke anaongea sn na kujifanya anajua kila kt km mc!
 
Hebu nicheki PM nikupe maujanja,ila uandae akili [emoji16][emoji16][emoji16]
Si unajua wambea wanakuwaga na akili kubwa?
Hiyo njia ni ngumu kidogo lakini ukishaizoea utakuja kunishukuru hapa.
Karibu...

Period
Nakuja fastaa Nifah wangu kila nikitaka kuweka hbr pic zinagoma nguvu zote zinaniisha nabakia kucomment tu [emoji134] [emoji134]
 
Aombe msamaha kwa Mungu wake na kuishi kwa maadili ya mtoto wa Kiislam ingetosha.
Hilo jambo Mange hatokaa alifanye.
Kuna kipindi aliweka post katika blog yake marehemu akiuponda uislam haswaaaa.
Kipindi hicho bado yupo na muzungu na ilikuwa inakaribia Ramadhan watu wakawa wanamponda kuuliza atafungaje huku mume mkristo?

Yule alishautupa uislam,sikio la kufa lile.

Period.
 
Nifah sijajutia kukupenda wallah [emoji7][emoji7]nilikua napata shida mbea mimi kwenye kuapload pic
 
Nifah sijajutia kukupenda wallah [emoji7][emoji7]nilikua napata shida mbea mimi kwenye kuapload pic
Karibu sweetheart [emoji7][emoji7][emoji7]
Am happy jamaniiiii.
Wewe ni kichwaaaa [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Hahahhh sawa mwalimu wangu mekuelewa [emoji28][emoji28]
 
G
Mbona rahisi sana!Ruge kawa muislamu amuoe Zamaradi
Na ubuyu unanoga ukiwa fasta kung 'amua mambo!
 
miss uu[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Hebu nicheki PM nikupe maujanja,ila uandae akili [emoji16][emoji16][emoji16]
Si unajua wambea wanakuwaga na akili kubwa?
Hiyo njia ni ngumu kidogo lakini ukishaizoea utakuja kunishukuru hapa.
Karibu...

Period
nimerudi mmbea mwenzenu niambieni kilichojiri leo
mbona sijaona bomu?
 
Nakuambia nimekaa tu sina hamu.Kama ataweka sawa,asipoweka kheri pia.
hata sitaki tena jamani tunapotezeana muda
kuna siku nimeenda ubungo nilitumwa nikakuta jamaa kapanda kwenye machuma pale darajani eti anataka kujiua nilisubirije nione
masaa 2 mazima hata hakujirusha nilichukiaje
ndo ya kp sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…