sasa kwenda kwa mwaka ni ajabu kwani?! Na Mtu huwezi kuzaa mpaka uwende huko ?! Ujaona watu wanakaa kwenye Ndoa miaka 10 akitoka hapo baada Ya mwaka anazaa Na mwanaume nae hivyo hivyoKwani atakuambia shoga?Ohoooo mjini hapa.
mbona mimi age ya makonda na sina mtotoMaana hapo anesha onyesha ni kweli Makonda hana Mtoto.....
Hukutuma namba bhna binamuUwiiiii binamu nilikuwa nasinzia usingizi wote umekata ujue?
Nipe huo ubuyu basi mpenzi [emoji39][emoji39][emoji39]
Halafu wewe mzinguaji kinoma,uliniambia nikutumie namba nikakutumia uniunganishe kwenye umbea hadi leo kimya [emoji45][emoji45]
Hakuna ajabu,nawe usikatae Mboni kwenda kwa Mwaka kusaka tiba mbadala.sasa kwenda kwa mwaka ni ajabu kwani?! Na Mtu huwezi kuzaa mpaka uwende huko ?! Ujaona watu wanakaa kwenye Ndoa miaka 10 akitoka hapo baada Ya mwaka anazaa Na mwanaume nae hivyo hivyo
Wewe ndo liongo grade A...alisema mwenyewe kwa mdomo wake mambo mawili 1st anamshukuru mungu, pili ni matokeo ya Dr. Mwaka na mitishamba yake...Acha uwongo namjua Mboni haswa Na nimtu wangu wa Karibu hajawahi hata kanyaga hapo kwa mwaka...ni wakat tu mungu kamjaalia
Bonge moja la kichwa nilikuwa nakisubiria humu ndani...I rejoice to see ya WarumiAaah umbea uliupata wapi? Kumbe na wewe unamjua
Aaah ahsante binamuBonge moja la kichwa nilikuwa nakisubiria humu ndani...I rejoice to see ya Warumi
Kuna ukweli flani hapo huyo mange hawezi ota ama kweli dunia haina siriMaana hapo anesha onyesha ni kweli Makonda hana Mtoto.....
Poa nimeona, binamu nimeingia insta kwa mange daaah. Yule mwanamke ni kichaa jaman, sijui kusoma Dubai na kuolewa na Mzungu US ndo kunampa jeuri hivi huyu mwanamke, maana anajiamini hatar, huyu mange sio Wa kawaida, kuna watu wakubwa wanamlinda maana sio kwa kutumbua majipu Kyle, ajaajajaWeeeee huku kutafutana ubaya sasa.
Sio case,ngoja nifanye hivyo tena.
leta file la baba bhoke kwanzaPoa nimeona, binamu nimeingia insta kwa mange daaah. Yule mwanamke ni kichaa jaman, sijui kusoma Dubai na kuolewa na Mzungu US ndo kunampa jeuri hivi huyu mwanamke, maana anajiamini hatar, huyu mange sio Wa kawaida, kuna watu wakubwa wanamlinda maana sio kwa kutumbua majipu Kyle, ajaajaja
Duh, kumbe sheeda ee, au ndo mashoga wanaoendaga gym ee, maana mwili umejengeka kimazoeziNi kweli, lemutuz hajadanganya binamu, ngoja ntakupa umbea Wa mastaa wote aliolala nao ,aaah aaah uwii nilikua sijui kama n baba watoto Wa mange,yan ningekua nishamwaga ubuyu zaman
Nahisi wataanza kukamatwa wanaompa Ubuyu, maana kuna watu wengi wana mtumia ubuyu.Kuna ukweli flani hapo huyo mange hawezi ota ama kweli dunia haina siri
Na ubuyu huu ni zaidi ya wazenji walahLeo ni ubuyu day...wambea tumeshibaje?
Heheeeee [emoji39][emoji39][emoji39]
Shangaa na ww!..yaani hii siri mboni kwenda kwa mwaka aliizungumza hadharani! Tena kipindi Mwaka hajatumbuliwaa cjui ndo sharti kwa Wateja umtangaze,...lkn mboni her toddler kampata pale ( according to her)Kwani atakuambia shoga?Ohoooo mjini hapa.
Hawawezzi kudakwa kirahisi HVO wengi wanatumia mafekeroAisee!!!
Nahisi wataanza kukamatwa wanaompa Ubuyu, maana kuna watu wengi wana mtumia ubuyu.
Yaani leo ni nyokoooo! ....mange kanivurugaaa! Churaa anaruka ruka churaa...kile kichwa hapana aseeUwiiiiiiii mambo yamezidi kuwa makubwa [emoji134][emoji134][emoji134].
Siku ya leo ni balaa tupu.