Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Mange kesha haribu tena, piteni jukwaa la habari na hoja mchanganyiko mkajionee tution aliyoitoa kwa wanawake/wasichana, kweli huu mwaka mirembe inamuhusu.
Yarabiiiiiii JF imevamiwa,haya twendeni jamani.
 
Swetie umetiririka haswa, yule mama kweli ana roho nzuri sana na mchapa kazi kweli kweli, ila kumkaribisha Mange kwenye maisha yake ndio kuna mfanya aanikwe hivi, hakuwa na sababu ya kumkumbatia mange kila mahali mapicha eti my mother!? Haa ili iweje. Halaffu mie bado nasisitiza tu hata kama una elimu kiasi gani? Una roho nzuri kiasi gani? Ukikubali kuwa mchepuko huna tofauti na mchepuko mwingine wa manzese kina mwajuma ndala ndefu.
Ana Rohoo nzurii ila kwa Nduguyeee aitwae Bupee Roho yakee inayumbaa..mfano yy kawasaidia Watu wengi sana..ila huyoo Bupe Mtoto Wa shangazi ake ..akisema usimsaidie huyu..Hata kama reason ya kusaidia anaona Ana acha Na kusema ndugu yangu kanikataza..sasa unajiuliza mengiiii..amesoma kwani nini maamuzi akushikiee MTU????OK..hayoo Ni Maisha yakee ila Huyoo Mange mchafuu..naona Hata yy kamchokaa mbona kesi ta Obey alikuwa anahangaika mwenyewe..Na bi mkubwa the Boss alikuwepoo..nakwambiaa Huyoo Mange keshaishaaa
 
Nifah bora umemnyoosha huyu dada asiejua kuishi na mashoga. Nilikua number 1 fan wa mashauzi yake ila alivyokua anamsema Lowassa nilimchukia kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu. Naona kaja kapanic hatari. Mwache aendelee kupanic ila dozi imemuingia.
 
Yani umenitonesha kidonda Nifah! Nimedevelop chuki kali sana kwa Mange sababu ya Lowassa, kile kipindi nlikua nalia sana Mange alizidisha kejeli jamani! nikimuona Lowassa kasimama jukwaani kwa upole bila jazba pamoja na kejeli zote baba wa watu asee i was crying!! Mange utapata shida sana wewe mwanamke ogopa mtu mkimya utaadhirika mdogo mdogo mwishoe ujiue!! Ulilipwa bilioni ngapi kumdhalilisha kiasi kile baba wa watu?
Mimi post za Lowassa nilikuwa sisomi kabisa baada ya kusoma moja ikaniimiza sana. Nikiona picha ya Lowasa nlikuwa naipita tu sisomi
 
Mimi post za Lowassa nilikuwa sisomi kabisa baada ya kusoma moja ikaniimiza sana. Nikiona picha ya Lowasa nlikuwa naipita tu sisomi
Kwa upumbavu wake alituvuna maadui wengi sana!!! Huwezi kumdhalilisha mtu mzima kiasi kile,.. Yani yule at the end of the day atarudishwa Tz moja kwa moja na kwenda kufungiwa milembe
 
Hii ishu naona inaukweli hasa nikikumbuka ile post yake ya kuomba ukuu wa wilaya kama replacement ya mama Malecela. Kwasababu hawezi kuja bongo kupiga mzigo na kumwacha shem mbele, japo hawezi kuupata labda utendaji kata...
Hahahahahaaa wewe muache aendelee kuficha.
Ipo siku kichaa chake kitampanda atayasema yote.
 
Kwa hiyo wanaume kupiga umbea ruksa????
Ukisikia wendawazimu ndio huu sasa.
Mtu humjui,hujamnunulia device wala bando lakini unampangia cha kusema/kufanya humu.
Sasa wewe una tofauti gani na kichaa Mange?
 
Nifah bora umemnyoosha huyu dada asiejua kuishi na mashoga. Nilikua number 1 fan wa mashauzi yake ila alivyokua anamsema Lowassa nilimchukia kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu. Naona kaja kapanic hatari. Mwache aendelee kupanic ila dozi imemuingia.
Mimi post za Lowassa nilikuwa sisomi kabisa baada ya kusoma moja ikaniimiza sana. Nikiona picha ya Lowasa nlikuwa naipita tu sisomi
Uwiiiiiiii kumbe alituumiza wengi hivi jamani?
Mimi nilim-unfollow insta nimerudi kumfollow juzi.
Na blog yake niliacha kuifuatilia kipindi cha kampeni hadi nilipokuja kusikia imekufa.
Mjue huyu mpuuzi alidhani kipindi kile kulivyokuwa na mgogoro CCM akataka kutumia as advantage kwa kumtukana Lowassa ili nae 'afikiriwe'
Wapiiiiiii,nani ampe cheo huyu mwendawazimu?
 
Uwiiiiiiii kumbe alituumiza wengi hivi jamani?
Mimi nilim-unfollow insta nimerudi kumfollow juzi.
Na blog yake niliacha kuifuatilia kipindi cha kampeni hadi nilipokuja kusikia imekufa.
Mjue huyu mpuuzi alidhani kipindi kile kulivyokuwa na mgogoro CCM akataka kutumia as advantage kwa kumtukana Lowassa ili nae 'afikiriwe'
Wapiiiiiii,nani ampe cheo huyu mwendawazimu?
Mimi nilishindwa kuvumilia nikamblast nikala block fasta. Toka kipindi cha kampeni nina kufuli kwa Mange. Na watakaompa cheo watakua hawana akili sawasawa. Kiongozi unafundisha wadada how to use their pussy kupata maisha. Baba Bhoke amchukue mwanae mapema maana hakuna mama wa kumfundisha maadili binti yake pale.
 
Nifah hiyo picha itakuwa kwao Lindi
Thubutuuuuu!
Hapo kama sio Dubai ni Marekani.
Enzi hizo yuko lindoni kumuwinda mzungu wake pori Lance.
Hili jamaa jinga sana.
 
Sitokaa nimsamehe Mange kwa kumdhalilisha Lowassa, labda amuombe mzee msamaha hadharani,najua hawezi kuacha kumsamehe.
Ndipo nami nitakapomsamehe.
Hata wewe nifah mi nishasamehe maana unaambiwa kuwa na moyo mugumu ili adui yako aumbuke
 
Mange buana, wanaomuaminigi wana kazi aiseeee! Sijawahi kumfollow ila nashangaa siku hizi nikienda kwenye acc yake inaonesha kama ameniblock na nikimfoll haikubali!
Hahaaa watu wakirepost post zake huwa tu nacheka maana anavyojitutumua duuu hongera zake. Ila kichwapanzi anamnyoosha haswaa
 
Hata wewe nifah mi nishasamehe maana unaambiwa kuwa na moyo mugumu ili adui yako aumbuke
Umesamehe kwani nilikukosea nini?
Huo muda wa kusamehe wapuuzi sina,heri yako mwenye moyo safi.
 
Umesamehe kwani nilikukosea nini?
Huo muda wa kusamehe wapuuzi sina,heri yako mwenye moyo safi.
Unajua wakati wa kampeni ndugu ni yule aliyekuwa upande wako lakini zaidi ya hapo aaaah niache Sasa maana mabadiliko ukawa ndiyo habari ya mjini
 
nifah kwa sababu wewe mweupe au ubaya wake uko wapi kaa mbali na watoto wake au na wewe ni mhanga
Wewe nae hebu kaa mbali na mimi.
Naona unanikomalia tu.
Nikiwa kwenye anga zangu usinichefue,soma au pita kimyakimya kama mazombi wenzio.
 
Back
Top Bottom