Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Kuna kitu nimeona ktk last post ya Mange kuhusiana na Makonda. Kwa wanajf tukiacha umbea kando nadhani wale wazee wa critical thinking mtanielewa. Makonda alipoanza kutoa tamko lake kuhusu mashoga wakamatwe pale alianza kujijengea vita ngumu mno na ninakumbuka hata Mange mwenyewe alimuonya.

Sasa Mange ameweka conversation kati yake yy na mtoa ubuyu ambaye ni gay(kwa mwelevu atajua tu nn kinaendelea) na Mange bila kuwa na hakika na hilo kwn kwa mujibu wa hiyo conversation inaonesha bado hajapewa hy sauti inayoprove kuwa mheshimiwa analiwa kiboga na anaiomba toka kwa huyo gay anadai hatamwonesha sura yake. Mhhhhhh sijui wenzangu kama mnawaza kama niwazavyo mie lkn kuna kitu hakiko sawa, kuna mtu anatumika ukizingatia ushoga kwa sasa umeongezeka kwa kiasi kikubwa na wakubwa serikalini pia ndo wanunuzi wakubwa wa viboga.

Ukirudi kwenye biti alilomchimba mwenye mkoa wa dar eti asithubutu kumshtaki kwani atachafua hali ya hewa obvious anataka kumpa jambajamba huyu mwenye kutukamata kwenye guest house tukiwa na michepuko yetu, na anadai hy ndio ticket yake ya kujia bongo na ole wamsumbue. Huyu dada anatatizo wakuu, anahitaji maombi basing kwenye post zake. Nafikiri Psychologists hapo mnaweza kupata chochote kitu kutoka kwenye posts zake na kuweza kujua anasumbuliwa na nini.
 
Hawawezzi kudakwa kirahisi HVO wengi wanatumia mafekero
Hata likiwa fekero lazima udakwe mpnz, mfano sie tunaotumia fb pia huwa naangalia nikifungua fekero wote niliowafollow fb na wako insta wanapata ujumbe kuwa fulani yupi insta kama fulani, hata Linda alidakwa na Mange kwenye fekero moja kwa style hy. Lkn pia wakiamua tu kukusearch kivingine kama ip adress unadakwa aiseee
 
Kuna kitu nimeona ktk last post ya Mange kuhusiana na Makonda. Kwa wanajf tukiacha umbea kando nadhani wale wazee wa critical thinking mtanielewa. Makonda alipoanza kutoa tamko lake kuhusu mashoga wakamatwe pale alianza kujijengea vita ngumu mno na ninakumbuka hata Mange mwenyewe alimuonya.

Sasa Mange ameweka conversation kati yake yy na mtoa ubuyu ambaye ni gay(kwa mwelevu atajua tu nn kinaendelea) na Mange bila kuwa na hakika na hilo kwn kwa mujibu wa hiyo conversation inaonesha bado hajapewa hy sauti inayoprove kuwa mheshimiwa analiwa kiboga na anaiomba toka kwa huyo gay anadai hatamwonesha sura yake. Mhhhhhh sijui wenzangu kama mnawaza kama niwazavyo mie lkn kuna kitu hakiko sawa, kuna mtu anatumika ukizingatia ushoga kwa sasa umeongezeka kwa kiasi kikubwa na wakubwa serikalini pia ndo wanunuzi wakubwa wa viboga.

Ukirudi kwenye biti alilomchimba mwenye mkoa wa dar eti asithubutu kumshtaki kwani atachafua hali ya hewa obvious anataka kumpa jambajamba huyu mwenye kutukamata kwenye guest house tukiwa na michepuko yetu, na anadai hy ndio ticket yake ya kujia bongo na ole wamsumbue. Huyu dada anatatizo wakuu, anahitaji maombi basing kwenye post zake. Nafikiri Psychologists hapo mnaweza kupata chochote kitu kutoka kwenye posts zake na kuweza kujua anasumbuliwa na nini.
ile ni too much
 
Duh, haya sasa ngoja tuone mwisho wa game itakuwaje, naona mama wa rolex kaamua kuachana na u madam na kuwa mswazi haswaaa
Umadame wafanya mchezo nini?Wale (Madame) walizaliwa vile na sio kujifunzia ukubwani.
Ndio maana Mange yanamshinda.
 
Kumbe Ndio yuko hivi si Ndio huyu humsumbua Sana Yule Jamaa mboooooooooonge
 
Anaishi UK nadhani.
1473394732342.png
1473394751410.png
Bhoke mtupu...hapa mange hakuchepuka hataaa, ila jamaa ananifurahisha swagaz zakee, English yake matata...
 
Ndo maana nilikua naona picha za bhoke akipiga na gonga sasa nikajua tu labda wamefanana sio Wa mange,ndo unanitoa ushamba hvyo, huyo gonga Nina file lake kitambo tu,yan namjua vzur,aaaah ngoja binamu nitarud,wacha pressure ishuke kwanza
muda unakwenda tunalisubur file la Frank
 
Kweli nilijua tu Mange hawezi kuacha umbea kama alivyo aga, eti ninaokoka?! Thubutu ugomvi ndio starehe yake aache aishi kwa sononeko? maskini makonda kwa hili kweli ninamchukia mange kama nilivyomchukia kipindi kile anamtukana Lowasa, kuzaa ni majaliwa jamani yeye mwenye watoto mbona si mwema useme Mungu kamlipa wema wake?! hovyo sana huyu mwanamke.
 
Kweli nilijua tu Mange hawezi kuacha umbea kama alivyo aga, eti ninaokoka?! Thubutu ugomvi ndio starehe yake aache aishi kwa sononeko? maskini makonda kwa hili kweli ninamchukia mange kama nilivyomchukia kipindi kile anamtukana Lowasa, kuzaa ni majaliwa jamani yeye mwenye watoto mbona si mwema useme Mungu kamlipa wema wake?! hovyo sana huyu mwanamke.
Yani sasa hivi ni kama kamwagiwa petrol...uwazimu wake umezidi sasa japo simfagilii Madereva....
 
Back
Top Bottom