Simpendi makonda tangu alivyomtukana lowasa na hata sasa tabia yake ya kufanya kazi kwa kukurupuka, lakini kwa hili daaa, nimemuhurumia.Yani sasa hivi ni kama kamwagiwa petrol...uwazimu wake umezidi sasa japo simfagilii Konda..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simpendi makonda tangu alivyomtukana lowasa na hata sasa tabia yake ya kufanya kazi kwa kukurupuka, lakini kwa hili daaa, nimemuhurumia.Yani sasa hivi ni kama kamwagiwa petrol...uwazimu wake umezidi sasa japo simfagilii Konda..
Sure..mi ananiudhi anafanya harambee fulani hatimizi eg. Kuondoa ombaomba, makahaba na etc...then anakurupukia ishu nyingine,....ila sasa mange anafika mbali coz kila mtu ana personal zake, na ni lazima ziheshimiwe!Simpendi makonda tangu alivyomtukana lowasa na hata sasa tabia yake ya kufanya kazi kwa kukurupuka, lakini kwa hili daaa, nimemuhurumia.
wanashindwa kumkamata?Sure..mi ananiudhi anafanya harambee fulani hatimizi eg. Kuondoa ombaomba, makahaba na etc...then anakurupukia ishu nyingine,....ila sasa mange anafika mbali coz kila mtu ana personal zake, na ni lazima ziheshimiwe!
Sheria ya US. Hairuhusu ( in mange ' s voice)wanashindwa kumkamata?
kutukana marekani sio kosa?Sheria ya US. Hairuhusu ( in mange ' s voice)
Rais wa marekani anaitwa "pussy, bitch" ...yet no one cares ...kutukana marekani sio kosa?
Unaambiwa hapo mange hajatukana ila anaongea fact, by the way ukisema fulani anafirana ni tusi?kutukana marekani sio kosa?
huko wanatishaRais wa marekani anaitwa "pussy, bitch" ...yet nobody care ...
Atakuja guswa ndugu yako utaumia, kamwe usifurahi juu ya hiliacha Makonda anyooshwe...kumsemea vibaya Lowassa alikua anaona sifa...
Seriuos ameguswa mkuu, maneno ya le mbebez nayo makali, ila hapa sasa anayelipia hayo machungu ni madereva[emoji3]Kiukwel safari mange anaonekana kichambo kimempagawisha sana !! Leetuz nation ana hit palepale
Kwani ubalozi wa Tanzania huko US hauwezi kushughulikia hili?Sheria ya US. Hairuhusu ( in mange ' s voice)
Labda kwa utamaduni wa Marekani sawa but kwetu sisi hilo ni kosaUnaambiwa hapo mange hajatukana ila anaongea fact, by the way ukisema fulani anafirana ni tusi?
Sasa yeye anabully watu US....still ana gamba la marekani, so ni mtanzania by nature ila kwa sasa ni muamerica ukiongezea na alivyozaa na mzungu ndo kabisa....Labda kwa utamaduni wa Marekani sawa but kwetu sisi hilo ni kosa
SureView attachment 396599View attachment 396600 Bhoke mtupu...hapa mange hakuchepuka hataaa, ila jamaa ananifurahisha swagaz zakee, English yake matata...
Umeongea jambo la msingi sana.ila naona poa coz ugonjwa wameulea wenyewe mwaka jana mange alikuwa anamtusi lowasa matusi ya nguoni walikuwa wakishangilia....wacha tu watibiwe maradhi ya moyo
Sio tusi na ndio maana hata JF hajawaliwekea **** ila ukiandika jjesica inakuja *****Unaambiwa hapo mange hajatukana ila anaongea fact, by the way ukisema fulani anafirana ni tusi?
ni hatar huko IG pamechafukaaSure...na anyooshweeee.
[HASHTAG]#GoMange[/HASHTAG] [emoji108][emoji108]