Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Si naskia ana urai wa ukoRais wao, je kwa rais wa wengine? Hivi huko anaruhusiwa hata kupiga kura kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si naskia ana urai wa ukoRais wao, je kwa rais wa wengine? Hivi huko anaruhusiwa hata kupiga kura kweli?
Block mkuu anakupiga kufuliSolex ni nini, if I may ask.
Bado hajaupataSi naskia ana urai wa uko
Kumbe badoBado hajaupata
Block[emoji3] [emoji3]Solex ni nini, if I may ask.
Ila KP kiboko yake mangeView attachment 397543View attachment 397544View attachment 397545 hy ni juzi, kp alimjibu Mange baada ya Mange kuweka post kuwa uandishi wa kp umebadilika baada ya kudakwa, so obvious atakuwa amebadili ip adress kuwaconfuss polisi wa huko Finland kwa kumpa mtu mwingine
Block mkuu anakupiga kufuli
Usijari mkuuKumbe duh. Asanteni jamabi mnisamehe bure si wa hiyo social media.
KP ni sweetheart.Ni kweli usemalo nilimfata dm insta akanambia yuko busy kazini akipata nafasi ndo hupost au Mange akipost ujinga basi huja kwa dharura
[emoji23][emoji23][emoji23] KP ni nomareeeeeView attachment 397543View attachment 397544View attachment 397545 hy ni juzi, kp alimjibu Mange baada ya Mange kuweka post kuwa uandishi wa kp umebadilika baada ya kudakwa, so obvious atakuwa amebadili ip adress kuwaconfuss polisi wa huko Finland kwa kumpa mtu mwingine
WEWE ugua tu-hawezi kuruhusiwa kumchafua mtu anayepigania democracy TanzaniaKP ni sweetheart.
Hata mimi nimewahi chat nae sana DM,always huwa namuambia vile nampenda.
Nampenda kweli KP [emoji7][emoji7][emoji7]
Akiwa ndio yeye kweli aliyekamatwa nitaugua mwenzenu [emoji24][emoji24][emoji24]
Hawezi kunipa le super kiss,yeye anataka wabebz wanaozungumzia kupatwa kwa jua,uchaguzi wa USA,mimi wa kuomba bundle na hela ya saloon sio type yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akija lazima atakupa le super kiss you know
[emoji23][emoji23][emoji23]
Katika suala la bunge live,UKUTA na mengineyo ya aina hiyo huwa namuunga mkono Mange...kabisa.WEWE ugua tu-hawezi kuruhusiwa kumchafua mtu anayepigania democracy Tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23] aliyekuambia hivyo kakudanganya.Hawezi kunipa le super kiss,yeye anataka wabebz wanaozungumzia kupatwa kwa jua,uchaguzi wa USA,mimi wa kuomba bundle na hela ya saloon sio type yake
mazungumzo yake na Nasrainternational ni soko la hisa,world pollution,ozone layer,wall street,nikei average-akikutana na mimi anapiga picha tuu na kuni dismiss[emoji23][emoji23][emoji23] aliyekuambia hivyo kakudanganya.
Le Mutuz ni mutu ya watu,hachagui habagui u know [emoji23][emoji23][emoji23]
I love it
[emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa nasita kuamini sasa naamini wewe ndiye Nasra mwenyewe.mazungumzo yake na Nasrainternational ni soko la hisa,world pollution,ozone layer,wall street,nikei average-akikutana na mimi anapiga picha tuu na kuni dismiss
Nishakuwa Nasra,mwenzangu hujiamini? au na wewe mtu wa viwango vya chini kama mimi???[emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa nasita kuamini sasa naamini wewe ndiye Nasra mwenyewe.
Huyo Le Mutuz unamuona booooonge la bwana mwenyewe [emoji12]
[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] aliyekuambia hivyo kakudanganya.
Le Mutuz ni mutu ya watu,hachagui habagui u know [emoji23][emoji23][emoji23]
I love it