TALIBAN imezitaka Urusi na Ukraine kutatua mzozo huo kwa njia za amani

Sikuwahi kujua kwamba Putin ni mpumbavu kiasi hiki.

Unaua innocent souls kwa sababu ambazo hata hazifai kuitwa sababu.

Kwani CCM wanasema je kuhusu Putin?

Kwani hata kuna tamko lolote kumhusu?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duh hawa jamaa wanaturudisha nyuma miaka 700 iliyopita kipindi cha Muddy πŸ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…