Taliban: Tupo tayari kushirikiana na nchi zote duniani isipokuwa Israel

Taliban: Tupo tayari kushirikiana na nchi zote duniani isipokuwa Israel

Marekani siku zote huwa hapigani vita vya hasara. Ukiona kakimbia ujue hasara imepatikana.
Vita ni biashara km biashara zingine na hili watu wengi hawalijui.
Kwa watu waamini mwezi na nyota wanaamini ktk machafuko na hii ndiyo silaha kubwa anayoitumia Marekani
Hawa wengi hawana shule, ukiangalia vyeti vyao ni vya madrasa.
Kwanini nchi za watu waamini mwezi na nyota kuna machafuko ya kivita? Watakuambia ni Marekani. Unajiuliza kwann Marekani.
Hata wewe hapo ukiwa na hela yako, unaweza kulipiga taifa lolote la waamini nyota na mwezi kwasababu uwezo wao wa kifikiri ni mdogo.
Libya wanapigana, Marekani anawangalia jinsi wapumbav wanapigana. Kumbe wanajikomoa wenyewe. Angalia Marekani wanavyojijenga, nenda ukalipue hata jengo moja uone. Utatafutwa popote ulipo na utauliwa
Waarabu wa jf hawawezi kuelewa hili
 
Marekani siku zote huwa hapigani vita vya hasara. Ukiona kakimbia ujue hasara imepatikana.
Vita ni biashara km biashara zingine na hili watu wengi hawalijui.
Kwa watu waamini mwezi na nyota wanaamini ktk machafuko na hii ndiyo silaha kubwa anayoitumia Marekani
Hawa wengi hawana shule, ukiangalia vyeti vyao ni vya madrasa.
Kwanini nchi za watu waamini mwezi na nyota kuna machafuko ya kivita? Watakuambia ni Marekani. Unajiuliza kwann Marekani.
Hata wewe hapo ukiwa na hela yako, unaweza kulipiga taifa lolote la waamini nyota na mwezi kwasababu uwezo wao wa kifikiri ni mdogo.
Libya wanapigana, Marekani anawangalia jinsi wapumbav wanapigana. Kumbe wanajikomoa wenyewe. Angalia Marekani wanavyojijenga, nenda ukalipue hata jengo moja uone. Utatafutwa popote ulipo na utauliwa
Hii takataka uliyokuja kuimwagia hapa,siku nyingine imwagie kwenu huko ili kupunguza kuonekana wewe ni hamnazo,unaandika kishabiki bila kutumia akili,hapa hatujadili ligi ya Uingereza,

Vp hapo California maisha yanaendaje?
 
Acha kuwatetea
Na Cambodia na Vietnam walijenga Pipe pia?

US wanachojua ni kushambulia kwa njia ya Anga, mkiwamudu huko Ardhini ni wepesi sana
Hapa Tunaongelea Afghanistan. Haya niambie kama kuiba alikuwa 20years pale. Sasa akae now apate nini hasa. Akishamaliza alichokipata a naondoka. We unadhani hiyo 20 years aliyokaa hapo alikiw kaishika mtutu mda wote. Alikuwa na deals zake kamaliza a nasepa. Then same way anavyopunguza wajeda Iraq kama bado hajamaliza wote ashapata anachokitaka. Vietnam ndo vita ambayo USA akilishindwa. We mtu kakaa kwenye nchi yako miaka 20 we umetuliza pumbu then kaondoka basi eti wajiona umeshinda mechi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jua kuwa ashafanya yake kamaliza. Kasepa.
 
Uzuri wa Israel yeye anaendelea na Maisha yake vizuri... so Taleban wanajitekenya tu wenyewe kisha wanacheka... imagine Nchi ipo hoi and then unajimwmbafai sitaki urafiki na nchi yenye watu wenye akili sana nipo radhi kuwa na urafiki na wajinga na wapumbavu... so Taleban wanaonesha bado wana ujinga akilini kama zamani tu
 
Hivi hawa jamaa hizo bunduki walikuwa wakipewa na nani
Taliban
tusisumbuane_team_20210824_194401_0.jpg
 
Kati ya taleban waliokomboa nchi yao kutoka kwa vibaraka wa kikafiri NA israel iliyovamia ardhi ya wapalestina na ictoshe wanauwa, je, ni nani hapo gaidi???? Ongea tu ukweli!
Hivi toka lini Israel ikaivamia ardhi yake pale ni Israel imerudi kwenye ardhi za mababu zake mpalestina ni ametokea Jordan na misri ndio kwao
 
Hivi toka lini Israel ikaivamia ardhi yake pale ni Israel imerudi kwenye ardhi za mababu zake mpalestina ni ametokea Jordan na misri ndio kwao

Kweli wewe ndio paschal usiejuwa wanachokiamini miyahudi yako.

Unaukubali ukristo, ilihali wayahudi hawaukubali,,,,,

Unamkubali yesu, ilihali wao wanamkana yesu,,,,,,



Aibu yenu wagalatia👆🏽
 
Back
Top Bottom