Taliban: Tupo tayari kushirikiana na nchi zote duniani isipokuwa Israel

Taliban: Tupo tayari kushirikiana na nchi zote duniani isipokuwa Israel

Usilolitaka kusikia Israel inapendwa sana ndiyo maana akiwa anawapelekea moto wapelestina hautaona
1. Marekani
2. China
3., Russia
4. Uingereza
Iran, saudia n.k wanaingilia vita vyao sababu wanajua wapelestina ndiyo wachokozi.
Hao Taliban ni genge la kikaidi hakuna kitu hapo.

Ulishuhudia kama wapalestina ni wachokozi? Au mahaba yamezidi mpaka unaamua uropoke. Ardhi wanayokalia ni yawapalestina, na bado wanajichukulia ardhi kana kwamba ni halali yao, hayo huyaoni!!!! Lile tukio limetokea msikitini waisrael wamewauwa wapalestina unataka kusema walichokozwa!!!!


Ndiyomaana mzungu anamdharau mtu mweusi, imefikia unaitwa Sokwe na kutupiwa miganda ya ndizi na chupa za maji. Wakati mwarabu hawezi kufanya huo ushenzi n still munawaandama na kuwachukia. Munachekesha kwelikweli mzehe
 
Usilolitaka kusikia Israel inapendwa sana ndiyo maana akiwa anawapelekea moto wapelestina hautaona
1. Marekani
2. China
3., Russia
4. Uingereza
Iran, saudia n.k wanaingilia vita vyao sababu wanajua wapelestina ndiyo wachokozi.
Hao Taliban ni genge la kikaidi hakuna kitu hapo.
Mungu ibariki Israel
 
Marekani siku zote huwa hapigani vita vya hasara. Ukiona kakimbia ujue hasara imepatikana.
Vita ni biashara km biashara zingine na hili watu wengi hawalijui.
Kwa watu waamini mwezi na nyota wanaamini ktk machafuko na hii ndiyo silaha kubwa anayoitumia Marekani
Hawa wengi hawana shule, ukiangalia vyeti vyao ni vya madrasa.
Kwanini nchi za watu waamini mwezi na nyota kuna machafuko ya kivita? Watakuambia ni Marekani. Unajiuliza kwann Marekani.
Hata wewe hapo ukiwa na hela yako, unaweza kulipiga taifa lolote la waamini nyota na mwezi kwasababu uwezo wao wa kifikiri ni mdogo.
Libya wanapigana, Marekani anawangalia jinsi wapumbav wanapigana. Kumbe wanajikomoa wenyewe. Angalia Marekani wanavyojijenga, nenda ukalipue hata jengo moja uone. Utatafutwa popote ulipo na utauliwa

Kwahiyo uisilamu unaamini Mwezi na nyota??? Una uhakika unachokiongea?
 
Back
Top Bottom