Taliban: Tupo tayari kushirikiana na nchi zote duniani isipokuwa Israel

Taliban: Tupo tayari kushirikiana na nchi zote duniani isipokuwa Israel

Hivi toka lini Israel ikaivamia ardhi yake pale ni Israel imerudi kwenye ardhi za mababu zake mpalestina ni ametokea Jordan na misri ndio kwao

Hujui historia ya wapalestina babaa,,, kwa taarifa yako waisraeli ni wavamizi pale,,, ardhi yenyewe inawasuta. Mfano waje Tanzania wachukuwe kanda ya ziwa wajimirikishe na wadai ardhi ni yao kihalali, utajickiaje mzehe!!!!! Kiukweli wengi wenu munawachukia sana sana waarabu na huu ndio ukweli wenyewe enyi wagalatia na sababu za msingi hamuna,,, na uisilamu munaupiga vita kwelikweli. Lakini mwisho wa cku munaishia kugonga mwamba. Uisilamu utaendelea kuwepo, na watu wanaendelea kusilimu cku hadi cku, duniani kote.
 
Usilolitaka kusikia Israel inapendwa sana ndiyo maana akiwa anawapelekea moto wapelestina hautaona
1. Marekani
2. China
3., Russia
4. Uingereza
Iran, saudia n.k wanaingilia vita vyao sababu wanajua wapelestina ndiyo wachokozi.
Hao Taliban ni genge la kikaidi hakuna kitu hapo.
Unaongea kishabiki.
Kutokuingilia kwa hizo nchi haimaanishi Israel inapendwa.
Bali US ndiye anayeikingia kifua Israel in all aspects.
Kama anapendwa sana kwann mwaka huu june nchi kama Australia,nchi za yugoslavia na US wenyewe walimkosoa alipokua akilipua Gaza na kuua watoto.Kiasi bunge la senate US walitoa tamko hawatakubali Israel ipewe donation tena ya silaha km kazi yao ndo hiyo.
Utasemaje wanapendwa?
 
Baada ya kuona baba yako anaambiwa neno hilo na mama yako unafikiri wote tuko kama hivyo.
Hapo biashara imeisha, hasara imepatikana na hakuna tena faida ndiyo maana Biden ameamua arudishe kikosi nyumbani.
Vita ni biashara km biashara zingine.
We lofa kweli miaka 20 kufanya biashara isiyo na faida? Hayo mabichwa yenu muwe mnatumia akili kidogo.
 
Kwanini Marekani amkingie kifua Israel? Ndiyo ujue mtoto wa boss naye ni boss.
Israel hawezi kuua watoto? Watoto wanakosa gani?
Iko hivi
Hao wapiganaji wakipalestina. Wanarusha mabomu Israel ambapo sehemu wanarushia mabomu kuna familia zao. (wanamtengenezea Israel kesi kwakujiona wajanja). Anachofanya Israel analirudisha hapo hapo sasa linakutana na hao watoto.
Mm unipige ngumi halafu ujifiche nyuma ya mtoto, nakwambia toka hapo tupigane wawili lkn bado unamng'ang'ania mtoto km kinga yako. Kinachofatia hapo nakupiga wewe na mtoto wako. Ndicho kilitokea huko
Unaongea kishabiki.
Kutokuingilia kwa hizo nchi haimaanishi Israel inapendwa.
Bali US ndiye anayeikingia kifua Israel in all aspects.
Kama anapendwa sana kwann mwaka huu june nchi kama Australia,nchi za yugoslavia na US wenyewe walimkosoa alipokua akilipua Gaza na kuua watoto.Kiasi bunge la senate US walitoa tamko hawatakubali Israel ipewe donation tena ya silaha km kazi yao ndo hiyo.
Utasemaje wanapendwa?
 
Hao wapelestina ndiyo uzao wa Ismail. Mama yao ni kijakazi
Wenye ardhi ni Waisrael. Ndiyo maana unaona Wapelestina wanapigwa na hakuna taifa lolote linalowatetea hata Iran ambaye anajitapa anauwezo wa kuipiga Israel lakini bado hawapi msaada ndugu zake.
Nyuma ya Israel utamkuta Marekani anamsaidia na mataifa mengine.
Hujui historia ya wapalestina babaa,,, kwa taarifa yako waisraeli ni wavamizi pale,,, ardhi yenyewe inawasuta. Mfano waje Tanzania wachukuwe kanda ya ziwa wajimirikishe na wadai ardhi ni yao kihalali, utajickiaje mzehe!!!!! Kiukweli wengi wenu munawachukia sana sana waarabu na huu ndio ukweli wenyewe enyi wagalatia na sababu za msingi hamuna,,, na uisilamu munaupiga vita kwelikweli. Lakini mwisho wa cku munaishia kugonga mwamba. Uisilamu utaendelea kuwepo, na watu wanaendelea kusilimu cku hadi cku, duniani kote.
 
Kwanini Marekani amkingie kifua Israel? Ndiyo ujue mtoto wa boss naye ni boss.
Israel hawezi kuua watoto? Watoto wanakosa gani?
Iko hivi
Hao wapiganaji wakipalestina. Wanarusha mabomu Israel ambapo sehemu wanarushia mabomu kuna familia zao. (wanamtengenezea Israel kesi kwakujiona wajanja). Anachofanya Israel analirudisha hapo hapo sasa linakutana na hao watoto.
Mm unipige ngumi halafu ujifiche nyuma ya mtoto, nakwambia toka hapo tupigane wawili lkn bado unamng'ang'ania mtoto km kinga yako. Kinachofatia hapo nakupiga wewe na mtoto wako. Ndicho kilitokea huko
tatzo lenu mnalishwa sana propaganda.
Nakuuliza maswali matatu ujijibu mwenyewe.
1)Kwanini Israel ililipua jengo la habari la the press la USA na aljazeera ikisema mule Kuna Hamas?Inamaana US inaificha Hamas?
2)Israel ikifanya mashambulizi huwa ni ya anga,kwann wao wanalenga miundombinu muhimu na kulipua katikati ya majengo ya raia?
3)Unasema Hamas wanatumia watu km kinga na unabisha km Israel inaua watoto.Unaikumbuka ripoti ya 2006 watoto wa kipalestina kufukiwa vichwa na wanajeshi wa IDF?
Israel hana ubavu wa vita za confrontation yeye anakuwahi kwa miundombinu na raia.
Rejea vita ya IDF na Hizbollah.Israel ilikua inafaham fika Hizbollah wanapatikana bint jubayl ila wao wakatuma ndege zikalipua katikati ya Lebanon na kuharibu miundombinu na kuua watu je hii imekaaje??
Beirut na Jubayl kushoto na kulia wao wakaenda lipua Beirut hv inaingia akilini?
Pesa za mzee ni za mzee tu siku akigoma kukupa lazma utatapatapa.
 
Hao wapelestina ndiyo uzao wa Ismail. Mama yao ni kijakazi
Wenye ardhi ni Waisrael. Ndiyo maana unaona Wapelestina wanapigwa na hakuna taifa lolote linalowatetea hata Iran ambaye anajitapa anauwezo wa kuipiga Israel lakini bado hawapi msaada ndugu zake.
Nyuma ya Israel utamkuta Marekani anamsaidia na mataifa mengine.
Ismail babaye ni nani?
Ismail babaye Ibrahim na Ibrahim hakuwa myahudi alikua ni muiraqi.
Suala la Israel kuipiga Palestina na mataifa kutokuingilia haihusiani na uhalali wowote wa hiko kitendo.
Hata Russia anai destabilize Ukraine kila leo na hakuna anayeingilia kati.
Hapo wazungu maslahi yao yanaendelea kupatikana hapo middle east ndiomaana Israel anakingiwa kifua ila mataifa kulaani bado yanalaani ikiwemo China,Canada,Australia na mataifa kibao Africa.
 
Back
Top Bottom