Mullar Mohamed Omary, alishafariki. Nahisi "Mullah" ni cheo, kama ilivyo "Mheshimiwa". Nimehisi tu!kumbe Mullah Mohammed Omary bado yupoo au ni Mullah mungine huyo Wazir mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mullar Mohamed Omary, alishafariki. Nahisi "Mullah" ni cheo, kama ilivyo "Mheshimiwa". Nimehisi tu!kumbe Mullah Mohammed Omary bado yupoo au ni Mullah mungine huyo Wazir mkuu
Bunduki unapewa au unanunua?Hivi hawa jamaa hizo bunduki walikuwa wakipewa na nani
Basi mwenyewe unajikuta mmarekanii .ila wabongo [emoji1787][emoji1787][emoji2089]Us washajenga pipe yao kutoka Tajikistan to Pakistan. Hawana shida tena na Afghanistan.... Ndo maana wamesepa
We lofa kweli miaka 20 kufanya biashara isiyo na faida? Hayo mabichwa yenu muwe mnatumia akili kidogo.Wala siyo watata. Hapo Marekani waliona hakuna faida wanayopata zaidi ya hasara waakamua kusepa.
Vita ni biashara km biashara zingine. Hili wachache sana wanalolijua. Vita vya ufahari, havipo siku hizi.
Hujahisi ndio ukweli mullah ni cheo.Mullar Mohamed Omary, alishafariki. Nahisi "Mullah" ni cheo, kama ilivyo "Mheshimiwa". Nimehisi tu!
Hao Pashtuns asili yao ni IsraelWazayuni wanachukiwa kila mahali dooh
We huyo yesu ulimuona wapi?Kwanin watalban wengi wanafanana na yesu kuanzia mavazi mpaka makobasi?
Umewahi kumwona wapi Yesu?Kwanin watalban wengi wanafanana na yesu kuanzia mavazi mpaka makobasi?
Wazayuni wanachukiwa kila mahali dooh
Hawawajui Israel hao..watapelekewa moto hadi wasalimu amri
Usilolitaka kusikia Israel inapendwa sana ndiyo maana akiwa anawapelekea moto wapelestina hautaona
1. Marekani
2. China
3., Russia
4. Uingereza
Iran, saudia n.k wanaingilia vita vyao sababu wanajua wapelestina ndiyo wachokozi.
Hao Taliban ni genge la kikaidi hakuna kitu hapo.
Hata hivyo Israel hainaga mpango wa kushirikiana na magaidi
Mungu ibariki IsraelUsilolitaka kusikia Israel inapendwa sana ndiyo maana akiwa anawapelekea moto wapelestina hautaona
1. Marekani
2. China
3., Russia
4. Uingereza
Iran, saudia n.k wanaingilia vita vyao sababu wanajua wapelestina ndiyo wachokozi.
Hao Taliban ni genge la kikaidi hakuna kitu hapo.
Marekani siku zote huwa hapigani vita vya hasara. Ukiona kakimbia ujue hasara imepatikana.
Vita ni biashara km biashara zingine na hili watu wengi hawalijui.
Kwa watu waamini mwezi na nyota wanaamini ktk machafuko na hii ndiyo silaha kubwa anayoitumia Marekani
Hawa wengi hawana shule, ukiangalia vyeti vyao ni vya madrasa.
Kwanini nchi za watu waamini mwezi na nyota kuna machafuko ya kivita? Watakuambia ni Marekani. Unajiuliza kwann Marekani.
Hata wewe hapo ukiwa na hela yako, unaweza kulipiga taifa lolote la waamini nyota na mwezi kwasababu uwezo wao wa kifikiri ni mdogo.
Libya wanapigana, Marekani anawangalia jinsi wapumbav wanapigana. Kumbe wanajikomoa wenyewe. Angalia Marekani wanavyojijenga, nenda ukalipue hata jengo moja uone. Utatafutwa popote ulipo na utauliwa
Israel sio inachukiwa inaogopwa hasa na wavaa makobasiWazayuni wanachukiwa kila mahali dooh
Amesepa baada ya kumaliza kaziHawawajui Israel hao..watapelekewa moto hadi wasalimu amri