Taliban wadai Wamechoka kukaa ofisini wanataka kupigana vita😅

TALIBAN,HOUTH,HAMAS,HEZBOLAH,Al-Qaeda
Yote yameanzishwa na USA
Hayajaanzishwa na Marekani ila kwa nyakati tofauti yametumiwa na Marekani au Israel kusaidia Maslahi ya Marekani.

Sina uhakika na Houthis

Taliban ameachiwa Silaha nyingi sana ambazo wakienda vita na Iran, Taliban wanaweza kuteka mikoa ya Iran mwaka jana Iran na Taliban waligombana kuhusu mito, Taliban walifanikiwa kuteka hadi maeneo ya Iran.

Imechukua miezi zaidi ya 16 Askari wa Ukraine kujifunza kurusha ndege za Nato kwa Muda wa miezi 8 na zaidi, ila Taliban leo wanaendesha Helicopter za Jeshi

So at one point Marekani aliwahi kuwaza Talibani watatumikaje
 
Israel anajua kuongea lugha moja na magaidi. Iwe Palestine, Yemen, Lebanon, Iraq, Iran ukiingia anga zake anakubamiza
Wewe ropoka kama unavyoropoka ila shukuru Mungu Israel haijapakana na Afghanistan ama Pakistan.
Hao watu huwezi kuwadhibiti kama Gaza au Yemen.
Ugomvi wao hauishi,hiyo USA miaka 20 constantly imekua ikishambuliwa na kupoteza askari wengi na vifaa vingi vya vita kiasi wakaamua kuondoka Afghanistan.
Hao jamaa achana nao kabisa wana ugomvi usioisha Israel hawezi kuwa maintain TUSIDANGANYANE.
 
Mkuu kwa heshima ya kipekee kabisa naomba nikupongeze kwa hii TITLE mujarabu ya uzi wako pendwa. Kwa kweli nimecheka hadi mbavu zinauma. Mm ni mtaalamu wa title lakini nimekuvulia kofia.

Baada ya pongezi sasa turejee kwenye mada. Ni kweli mbilinge za hawa jamaa hazijasikika kwa muda mrefu. Nawaunga mkono watafute namna yoyote itakayowezekana waingie vitani.
 
dah aisee watu wamechoka naona israel anawachelewesha majamaa kuwahi mabikra 72
 
Hahah! Wanaona wanachelewa kwenda kwenye mito ya pombe na mabikra.
Hawa ndugu zake bibi FaizaFixy na FaizaFoxy kwanini wasije Tanganyika watusaidie kupambana na huyu mkoloni kutoka Zanzibar anayeuza rasilimali za Tanganyika kila kukicha?
 
afu kuna vishoga vinajipambanua ya kwamba tunataka tumalize ugaidi...ugaidi kama dawa za kulevya people ae enjoy to be terrorist like them enjoying to be UPINDE,may Allah bless terrorists
 
Kwamba hawaoni kama waarabu wenzao wanapelekewa moto na Israel si wakaunge mkono juhudi za kupigana na Wayahudi kama wanataka vita au ndio wanatafuta sababu ya kuwahi kuogelea kwenye mito ya pombe tamu na pisi kali za peponi
 
Mateso zaidi ya dada zako kutembea nusu uchi na kujiuza kona bar?
Manamake mengine tabu sana, utakuta kabla ya kuolewa alitembea na wanaume zaidi ya 10 halafu leo ndio wa kwanza kujifanya kufundisha wengine maadili. Bure kabisa.
 
Waende wakafanye charity pale Gaza
 
Unadhani hata wanajitambua hawa ikiwa Mungu wanaye Muabudu ni binadamu afu juu ya hapo wanadai kazaliwa kwenye zizi la ngo'mbe 😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…