Taliban wadai Wamechoka kukaa ofisini wanataka kupigana vita😅

Taliban wadai Wamechoka kukaa ofisini wanataka kupigana vita😅

TALIBAN,HOUTH,HAMAS,HEZBOLAH,Al-Qaeda
Yote yameanzishwa na USA
Hayajaanzishwa na Marekani ila kwa nyakati tofauti yametumiwa na Marekani au Israel kusaidia Maslahi ya Marekani.

Sina uhakika na Houthis

Taliban ameachiwa Silaha nyingi sana ambazo wakienda vita na Iran, Taliban wanaweza kuteka mikoa ya Iran mwaka jana Iran na Taliban waligombana kuhusu mito, Taliban walifanikiwa kuteka hadi maeneo ya Iran.

Imechukua miezi zaidi ya 16 Askari wa Ukraine kujifunza kurusha ndege za Nato kwa Muda wa miezi 8 na zaidi, ila Taliban leo wanaendesha Helicopter za Jeshi

So at one point Marekani aliwahi kuwaza Talibani watatumikaje
 
ro3ZghU.jpg


Baada ya Muda utakuja kusikia Taliban wameingia mikataba na Kampuni za Marekani kukarabati ndege
 
Israel anajua kuongea lugha moja na magaidi. Iwe Palestine, Yemen, Lebanon, Iraq, Iran ukiingia anga zake anakubamiza
Wewe ropoka kama unavyoropoka ila shukuru Mungu Israel haijapakana na Afghanistan ama Pakistan.
Hao watu huwezi kuwadhibiti kama Gaza au Yemen.
Ugomvi wao hauishi,hiyo USA miaka 20 constantly imekua ikishambuliwa na kupoteza askari wengi na vifaa vingi vya vita kiasi wakaamua kuondoka Afghanistan.
Hao jamaa achana nao kabisa wana ugomvi usioisha Israel hawezi kuwa maintain TUSIDANGANYANE.
 
Baada ya miaka mitatu bila vita nchini kwao., Wataleban wanasema wamechoka kukaa ofisini na sasa wanataka kupigana vita.

Msemaji wa Taleban Mullah Janan, alinukuliwa akisema "Tuna kiu ya vita sasa, tunatarajia tutapigana vita karibuni, tumechoka kukaa tu ofisini na tunategemea karibuni tutakuwa vitani"


View: https://x.com/SprinterFamily/status/1826029835141132627?t=tamwLUyNKRU0XoE4UQ6LLQ&s=19

=================

Sitting in an office is boring’: Taliban soldiers long for war
From the ‘thrill’ of guerrilla warfare to the humdrum of government jobs, former Afghanistan insurgents are struggling to cope with change
Mullah Janan stares blankly at the stack of papers on his desk each morning, the weight of boredom pressing down on him.

For over 15 years, he fought foreign and Afghan forces in southern Helmand province, leading his band of fellow Taliban fighters in a seemingly endless insurgency.

But those days are long gone now.

Three years ago, after two decades of war, the Taliban took over Afghanistan following the withdrawal of international forces.

They entered Kabul on August 15, 2021, after Ashraf Ghani, the US-backed president, fled and the Western-supported Afghan security forces collapsed.

‘I ask myself what exactly I am doing’
Many of the Taliban who once celebrated the “victory” are now disillusioned by the confusing peace and the monotonous routine of office jobs. Across the country, government departments are staffed by bearded men whose primary experience is waging war.

Mullah Janan, 38, was offered a desk job at a local district office in November 2021.

It was a far cry from the “thrill” of guerrilla warfare, the adrenaline of ambushes and firefights.

“It does not look like I thought. It is boring,” he tells The Telegraph on a hot August day in Helmand after working for eight hours.

“We did not expect to take over the country that fast, so we never had a chance to think about adequately governing the nation,” he recalls.

“We had some sort of shadow governments in our controlled areas before, but we would go to war before and after that.”

Now his days are consumed by the monotony of bureaucracy – filling out forms, processing paperwork, and attending mind-numbing meetings.

“Sometimes I ask myself what exactly I am doing. I was raised and trained to be at war, to be a fighter not behind a desk with my green and black [tea] always ready,” he says.




Mkuu kwa heshima ya kipekee kabisa naomba nikupongeze kwa hii TITLE mujarabu ya uzi wako pendwa. Kwa kweli nimecheka hadi mbavu zinauma. Mm ni mtaalamu wa title lakini nimekuvulia kofia.

Baada ya pongezi sasa turejee kwenye mada. Ni kweli mbilinge za hawa jamaa hazijasikika kwa muda mrefu. Nawaunga mkono watafute namna yoyote itakayowezekana waingie vitani.
 
Baada ya miaka mitatu bila vita nchini kwao., Wataleban wanasema wamechoka kukaa ofisini na sasa wanataka kupigana vita.

Msemaji wa Taleban Mullah Janan, alinukuliwa akisema "Tuna kiu ya vita sasa, tunatarajia tutapigana vita karibuni, tumechoka kukaa tu ofisini na tunategemea karibuni tutakuwa vitani"


View: https://x.com/SprinterFamily/status/1826029835141132627?t=tamwLUyNKRU0XoE4UQ6LLQ&s=19

=================

Sitting in an office is boring’: Taliban soldiers long for war
From the ‘thrill’ of guerrilla warfare to the humdrum of government jobs, former Afghanistan insurgents are struggling to cope with change
Mullah Janan stares blankly at the stack of papers on his desk each morning, the weight of boredom pressing down on him.

For over 15 years, he fought foreign and Afghan forces in southern Helmand province, leading his band of fellow Taliban fighters in a seemingly endless insurgency.

But those days are long gone now.

Three years ago, after two decades of war, the Taliban took over Afghanistan following the withdrawal of international forces.

They entered Kabul on August 15, 2021, after Ashraf Ghani, the US-backed president, fled and the Western-supported Afghan security forces collapsed.

‘I ask myself what exactly I am doing’
Many of the Taliban who once celebrated the “victory” are now disillusioned by the confusing peace and the monotonous routine of office jobs. Across the country, government departments are staffed by bearded men whose primary experience is waging war.

Mullah Janan, 38, was offered a desk job at a local district office in November 2021.

It was a far cry from the “thrill” of guerrilla warfare, the adrenaline of ambushes and firefights.

“It does not look like I thought. It is boring,” he tells The Telegraph on a hot August day in Helmand after working for eight hours.

“We did not expect to take over the country that fast, so we never had a chance to think about adequately governing the nation,” he recalls.

“We had some sort of shadow governments in our controlled areas before, but we would go to war before and after that.”

Now his days are consumed by the monotony of bureaucracy – filling out forms, processing paperwork, and attending mind-numbing meetings.

“Sometimes I ask myself what exactly I am doing. I was raised and trained to be at war, to be a fighter not behind a desk with my green and black [tea] always ready,” he says.




dah aisee watu wamechoka naona israel anawachelewesha majamaa kuwahi mabikra 72
 
Baada ya miaka mitatu bila vita nchini kwao., Wataleban wanasema wamechoka kukaa ofisini na sasa wanataka kupigana vita.

Msemaji wa Taleban Mullah Janan, alinukuliwa akisema "Tuna kiu ya vita sasa, tunatarajia tutapigana vita karibuni, tumechoka kukaa tu ofisini na tunategemea karibuni tutakuwa vitani"


View: https://x.com/SprinterFamily/status/1826029835141132627?t=tamwLUyNKRU0XoE4UQ6LLQ&s=19

=================

Sitting in an office is boring’: Taliban soldiers long for war
From the ‘thrill’ of guerrilla warfare to the humdrum of government jobs, former Afghanistan insurgents are struggling to cope with change
Mullah Janan stares blankly at the stack of papers on his desk each morning, the weight of boredom pressing down on him.

For over 15 years, he fought foreign and Afghan forces in southern Helmand province, leading his band of fellow Taliban fighters in a seemingly endless insurgency.

But those days are long gone now.

Three years ago, after two decades of war, the Taliban took over Afghanistan following the withdrawal of international forces.

They entered Kabul on August 15, 2021, after Ashraf Ghani, the US-backed president, fled and the Western-supported Afghan security forces collapsed.

‘I ask myself what exactly I am doing’
Many of the Taliban who once celebrated the “victory” are now disillusioned by the confusing peace and the monotonous routine of office jobs. Across the country, government departments are staffed by bearded men whose primary experience is waging war.

Mullah Janan, 38, was offered a desk job at a local district office in November 2021.

It was a far cry from the “thrill” of guerrilla warfare, the adrenaline of ambushes and firefights.

“It does not look like I thought. It is boring,” he tells The Telegraph on a hot August day in Helmand after working for eight hours.

“We did not expect to take over the country that fast, so we never had a chance to think about adequately governing the nation,” he recalls.

“We had some sort of shadow governments in our controlled areas before, but we would go to war before and after that.”

Now his days are consumed by the monotony of bureaucracy – filling out forms, processing paperwork, and attending mind-numbing meetings.

“Sometimes I ask myself what exactly I am doing. I was raised and trained to be at war, to be a fighter not behind a desk with my green and black [tea] always ready,” he says.




afu kuna vishoga vinajipambanua ya kwamba tunataka tumalize ugaidi...ugaidi kama dawa za kulevya people ae enjoy to be terrorist like them enjoying to be UPINDE,may Allah bless terrorists
 
Kwamba hawaoni kama waarabu wenzao wanapelekewa moto na Israel si wakaunge mkono juhudi za kupigana na Wayahudi kama wanataka vita au ndio wanatafuta sababu ya kuwahi kuogelea kwenye mito ya pombe tamu na pisi kali za peponi
 
Mateso zaidi ya dada zako kutembea nusu uchi na kujiuza kona bar?
Manamake mengine tabu sana, utakuta kabla ya kuolewa alitembea na wanaume zaidi ya 10 halafu leo ndio wa kwanza kujifanya kufundisha wengine maadili. Bure kabisa.
 
Baada ya miaka mitatu bila vita nchini kwao., Wataleban wanasema wamechoka kukaa ofisini na sasa wanataka kupigana vita.

Msemaji wa Taleban Mullah Janan, alinukuliwa akisema "Tuna kiu ya vita sasa, tunatarajia tutapigana vita karibuni, tumechoka kukaa tu ofisini na tunategemea karibuni tutakuwa vitani"


View: https://x.com/SprinterFamily/status/1826029835141132627?t=tamwLUyNKRU0XoE4UQ6LLQ&s=19

=================

Sitting in an office is boring’: Taliban soldiers long for war
From the ‘thrill’ of guerrilla warfare to the humdrum of government jobs, former Afghanistan insurgents are struggling to cope with change
Mullah Janan stares blankly at the stack of papers on his desk each morning, the weight of boredom pressing down on him.

For over 15 years, he fought foreign and Afghan forces in southern Helmand province, leading his band of fellow Taliban fighters in a seemingly endless insurgency.

But those days are long gone now.

Three years ago, after two decades of war, the Taliban took over Afghanistan following the withdrawal of international forces.

They entered Kabul on August 15, 2021, after Ashraf Ghani, the US-backed president, fled and the Western-supported Afghan security forces collapsed.

‘I ask myself what exactly I am doing’
Many of the Taliban who once celebrated the “victory” are now disillusioned by the confusing peace and the monotonous routine of office jobs. Across the country, government departments are staffed by bearded men whose primary experience is waging war.

Mullah Janan, 38, was offered a desk job at a local district office in November 2021.

It was a far cry from the “thrill” of guerrilla warfare, the adrenaline of ambushes and firefights.

“It does not look like I thought. It is boring,” he tells The Telegraph on a hot August day in Helmand after working for eight hours.

“We did not expect to take over the country that fast, so we never had a chance to think about adequately governing the nation,” he recalls.

“We had some sort of shadow governments in our controlled areas before, but we would go to war before and after that.”

Now his days are consumed by the monotony of bureaucracy – filling out forms, processing paperwork, and attending mind-numbing meetings.

“Sometimes I ask myself what exactly I am doing. I was raised and trained to be at war, to be a fighter not behind a desk with my green and black [tea] always ready,” he says.




Waende wakafanye charity pale Gaza
 
Tatizo lao kukataa umagharibi na kulinda thamani ya mwanamke? Au vipi?

Wewe unaona raha kuwa kama Tanzania ilivyo sasa? Hakuna maadili hata kidogo, pengine hapo ulipo kila mwanamme anayeingia kwenu unaambiwa "mwamkie baba'ko!

Kama si tatizo hilo ni nini?
Unadhani hata wanajitambua hawa ikiwa Mungu wanaye Muabudu ni binadamu afu juu ya hapo wanadai kazaliwa kwenye zizi la ngo'mbe 😄
 
Back
Top Bottom