utala utala TU
Senior Member
- Aug 13, 2024
- 187
- 275
Wanamaanagani au kunamtu keshajichanganya nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dahhhh😆😆😆vita ni sunnah ya mtume
Saaaguda mwanangu nakuita kwa sauti saguda mutu wangu wa nguvu saguda de 47Dahhhh😆😆😆
Vita zao hao jamaa huwa haziishi.Warushe bomu Israel, Israel wakianza kujibu mapigo watatoka humo ofisin
Wengi ni salafy.Hivi taleban ni washia au Sunni?
Nambie mkulungwaSaaaguda mwanangu nakuita kwa sauti saguda mutu wangu wa nguvu saguda de 47
Iran, pakistan,kyrzygstan,yaani kote amani tuHawa wamepakana na nchi gani kwani?
Wanataka kuwawahi 72True warriors, they like to die like real soldiers, siyo kufa na kipindupindu, U.T.I au malaria
Labda mito ya Paulo inashukia kwenye njia panda ya Damascus na Jerusalem afu pembeni yake kuna mti unaitwa kimvuli cha shetan alicho lala Paulo.Hahah! Wanaona wanachelewa kwenda kwenye mito ya pombe na mabikra.
Tatizo lao kukataa umagharibi na kulinda thamani ya mwanamke? Au vipi?Yani hawa wavaa kanzu wana matatizo sana