Taliban waichukua Kabul, Je Waarabu kuomba msamaha Marekani na kuwaomba warudi kuikomboa nchi

Taliban waichukua Kabul, Je Waarabu kuomba msamaha Marekani na kuwaomba warudi kuikomboa nchi

Sio hata aibu. Sio Taliban iliwaleta Marekani na wenzake Afghanistan - ni al-qaida na mission iko accomplished! Kama al-qaida itaanza tena basi kutakuwa na mtazamo mwingine.

Mkuu, huwa unapata heshima yangu lakini kumlaumu Biden kwa hili hukuangalia vizuri.

a) Trump alifanya makubaliano/mazungumzo na Taliban akiitenga serikali ya Afghanistan. Baada ya hapo Taliban wakafanya mazungumzo butu na serikali. Trump set a wrong tone!!
b) Russia walifanya vita na hata wao waliondoka kama Wamarekani. Hakuna kitu Marekani wangefanya kama wamefundisha wanajeshi na special forces ambazo baadae wana-surrender!! Taliban ni itikadi ya kidini na hivo ina nguvu ya ushawishi kwa raia wengi sana (hakuna urahisi wa kuondoa itikadi hii)!

Marekani ataondoka na itasemwa ameshindwa lakini maana yake ni kuwa angetaka kubaki, angebaki muda mrefu sana!! Biden kachukua uamuzi mgumu sana lakini ukweli ni kuwa hakukuwa na sababu ya kubaki mwaka mmoja zaidi! Kubaki ilimaanisha miongo kadhaa!!

At times pursuing the impossible makes no sense! It can be costly!
Ni aibu kubwa sana kwa Biden!

Biden huyu huyu na timu yake ndo walisimamia mauaji ya Benghazi! Unabisha?

Marekani haikupaswa kuondoka ilivyoondoka!

Walau wangeondoka kama walivyoondoka kule Vietnam, nchi isingeangukia mikononi mwa Taliban haraka kiasi hiki!

Liko wapi jeshi la watu 300,000 lililoanzishwa na kupewa mafunzo na Marekani?

Ni wapi hilo jeshi limetoa hata resistance ya uongo na kweli?

Biden ndo kaamua kukurupuka kutoka. Biden ndo anawajibika kwa kila linalotokea na kwa kila litalotokea chini ya Taliban kuanzia sasa na kwenda mbele.
 
kwa lugha moja mashirazi ni waarabu, unajua wakatoliki, wa-TAG-, Walutheri, wa anglikan wote ni WAKRISTO , ndivyo ilivyo kwa wa-afghanstan ni WAARABU.

duniani sisi tunatambua ,
1. WAZUNGU.
2. WAAFRIKA
3. WAARABU
4. WA-ASIA.
Washirazi ni waajemi aka Persians ambao ndio wairani
Nao wanajijua kuwa sio waarabu
Ila watu wanapenda kuwapaka uarabu wasio nao
 
kwa lugha moja mashirazi ni waarabu, unajua wakatoliki, wa-TAG-, Walutheri, wa anglikan wote ni WAKRISTO , ndivyo ilivyo kwa wa-afghanstan ni WAARABU.

duniani sisi tunatambua ,
1. WAZUNGU.
2. WAAFRIKA
3. WAARABU
4. WA-ASIA.
Kwahiyo kwa akili hizi Wajapan nao ni waarabu kisa ni wa Asia?

Acha kujiaibisha wewe,Afghanistan sio waarabu ficha ujinga wako kwa kukaa kimya.
 
Yaan hizo jamii ulizokoti zote ni za kiarabu isipokuwa wasomali tyu, kutokuw ktk muungano wa nchi za kiarabu haimaanishi kuwa wao sio waarabu
 
Hapo ndo umesema nini sasa? 🤣🤣🤣
My bad. Hata wewe umewahi kukosea wakati ukiandika ndio maana kuna options kadhaa kama
Erase
Delete
Stub
Edit n.k
Now lets go to the topic

Moderna has charged countries between 4 and 13 times the potential cost price of the vaccine and reportedly offered South Africa a price between $30-42 a dose ―nearly 15 times higher than the potential production cost.
On the other hand

Johnson na johnson $10 per dose
Pfizer $19.50
N'vax kwa dola 16.

Sasa nchi yako imepokea dozi milioni 1 kama msaada nani ame cover hiyo
$10x1, 000, 000/-
 
Hii nchi inahitaji kubadilisha mitaala ya elimu . Ujinga ni mwingi sana .nani amekwambia Afghanistan ni nchi ya kiarabu? Muwe hata mna Google tu ili kujiongezea maarifa siyo kila kitu mpaka ufundishwe darasani.
Ndugu yangu hili swala la Human geography linatatiza watu wengi sn DUNIANI kwahiyo kwa TANZANIA wala usishangae kuona watu wanasema WA-AFGHAN ni waarabu ni kuwaelekeza tu.

Nakingine nakupa WATANZANIA WALIO WENGI NCHI ikiwa ina waislam wengi wao huifahamu kama WAARABU hujawahi kuona wasomali wanawaita hawa waarabu.
 
Back
Top Bottom