Taliban wavamia Iran na kuteka eneo

Taliban wavamia Iran na kuteka eneo

kitonsa

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
1,211
Reaction score
2,649
Iran ipo kwenye wakati mgumu baada ya jeshi la Taliban kuvamia na kuteka eneo

Nia ya Taliban Ni kufika Tehran , kwa siku moja
 

Attachments

  • Screenshot_20230528-171119.png
    Screenshot_20230528-171119.png
    106.3 KB · Views: 14
Hili lilishasemwa na wachambuzi wa masuala ya vita, kuwa vita ya 3 ya Dunia itakuja kwa kugombania maji kama mjuavyo nchi nyingi zinachangia maji pamoja au maji yanatoka nchi moja na kwenda nchi nyingine

Kuna nchi zingine ukiangalia zipo mpaka nchi Tatu zinachangia mto mmoja

Maji ndio uhai wa kila kitu, na hii ndio hatari kubwa zaidi
 
Iran ipo kwenye wakati mgumu baada ya jeshi la Taliban kuvamia na kuteka eneo

Nia ya Taliban Ni kufika Tehran , kwa siku moja

Marekan aliondoka kwa makubaliano na Taliban na ndio maana mpaka ndege ya mwisho inaondoka Kabul inapigiwa makofi na Taliban, sasa US wameona kiherehere cha Iran na drones zake russia wameona isiwe shida wacha waiweke Tehran busy, huku Russia na Zele, kule China na Taiwan, Huku Iran na Teleban baba yeye anarudi kwenye nafasi yake ile ile ya vita ya pili kutoa silaha na chakula kwa mikopo baadae alipwe double lini atashuka kwenye nafasi ya u super power na anatumia akili
 
Marekan aliondoka kwa makubaliano na Taliban na ndio maana mpaka ndege ya mwisho inaondoka Kabul inapigiwa makofi na Taliban, sasa US wameona kiherehere cha Iran na drones zake russia wameona isiwe shida wacha waiweke Tehran busy, huku Russia na Zele, kule China na Taiwan, Huku Iran na Teleban baba yeye anarudi kwenye nafasi yake ile ile ya vita ya pili kutoa silaha na chakula kwa mikopo baadae alipwe double lini atashuka kwenye nafasi ya u super power na anatumia akili
Kuna mbung'o zinaamini eti Us atashushwa na Russia na China.
 
Kuna mbung'o zinaamini eti Us atashushwa na Russia na China.

60% ya export yoote ya China goes to America and west na china anatambua kwamba US ni button ingine, angalia mfano mdogo tu wakati wa msuguano wa kibiashara china walitaka kufanya 5G installation mkwara mmoja huwaei ilikufa mpaka leo na project yoote dunian ilisimamia pale: Russia kwanza kwenye suala la uchum US hana habari nayo anajua ni mzaha
 
Back
Top Bottom