Taliban wavamia Iran na kuteka eneo

Taliban wavamia Iran na kuteka eneo

Huwa nawaambia hapa Bet against Uncle Sam at your own risk , acheni kabisa lile taifa , Marekani thinks 1000 years ahead of every godamn fool
Ukiwaza kwa chuki utaamini jamaa wanaenda kudondoka kesho, wakati ni kinyume chake.
Yaani serious kabisa watu wanaamini China atamuangusha US, hata hawafikirii mara mbili kuhusu kilichomfikisha China pale alipo! Wanafikiri kafika tu kwa kuamua, China naye kalewa sifa.
Ngoja uone atakavyolambishwa sakafu.

Watu wanabaki kuimba nyimbo za BRICS, ambayo kabla hata haijaanza lolote tayari South Africa amewashiwa taa nyekundu, annaanza kujishika magoti kabla hata ya kuanza kutembea, let alone mbio Russia naye ndiye huyo.
India amekua na kujitanua strategically kwa mchoro uliochorwa na CIA. Halafu watu wanatupigia kelele tu hapa.
 
Ilikuwa talban vs polisi wa iran mpaka inafika jana iran jesh la polisi la iran lilikomboa eneo lote na kujibebea hamvee 10 ambazo talbani waliziacha kufikia leo iran imepoteza askari 3 talban imepoteza askari 20 .talbani hawawez kusimama na iran kumbuka ndani ya afghanistan kuna jamii za madhehebu ya shia iran inauwezo wa kuunda kundi la wapiganaji kupitia madhehebu hayo na afghanistan pasikalike kama yemen
ndo ujue hii dini ya kipumbavu unakubalije kutumiwa kisa nyie shia kwa suni
 
Ilikuwa talban vs polisi wa iran mpaka inafika jana iran jesh la polisi la iran lilikomboa eneo lote na kujibebea hamvee 10 ambazo talbani waliziacha kufikia leo iran imepoteza askari 3 talban imepoteza askari 20 .talbani hawawez kusimama na iran kumbuka ndani ya afghanistan kuna jamii za madhehebu ya shia iran inauwezo wa kuunda kundi la wapiganaji kupitia madhehebu hayo na afghanistan pasikalike kama yemen
Acha uongo wewe, wamekufa askari wawili wa Iran na 1 wa Taleban.
Yaani unakimbia kuandika unachotamani kitokee badala kuandika kilichotokea? Haya 'mahaba niue' yanafifisha kabisa uwezo wa akili
 
Hii habari imekuzwa hapa Jf , nilidhani ni uvamizi wa kudhamiria kabisa kuvamia nchi fulani moja kwa moja kumbe ni migogoro ya kawaida ambayo hutokea mipakani baada ya askari kutoelewana.

Mwanzo ulisema hujaiona, nimekuletea source tena ya kiarabu sasa umehamisha magoli, kwa kifupi fisi kala fisi na muendelee hivyo ili dunia tuishi kwa amani, hao mataliban wajilipue lipue kwa Iran ili wawahi mabikira.
 
Mwanzo ulisema hujaiona, nimekuletea source tena ya kiarabu sasa umehamisha magoli, kwa kifupi fisi kala fisi na muendelee hivyo ili dunia tuishi kwa amani, hao mataliban wajilipue lipue kwa Iran ili wawahi mabikira.
Hata Kenya na Tz huwa kunatokeaga shida mipakani ,na sio hao tu ni nchi kibao hata nyinyi wa Kenya mna mgogora na jirani yenu wa siku nyingi kuhusu mpaka .

Sasa mada kawasilisha kama Serikali moja inataka kufanya uvamizi katika nchi nyingine kama Urusi na Ukraine wakati mgogoro hatujafika stage hiyo na wala hakuna aliyemtisha mwenzake sasa mleta mada kaikuza habari kishambenga.
 
Hata Kenya na Tz huwa kunatokeaga shida mipakani ,na sio hao tu ni nchi kibao hata nyinyi wa Kenya mna mgogora na jirani yenu wa siku nyingi kuhusu mpaka .

Sasa mada kawasilisha kama Serikali moja inataka kufanya uvamizi katika nchi nyingine kama Urusi na Ukraine wakati mgogoro hatujafika stage hiyo na wala hakuna aliyemtisha mwenzake sasa mleta mada kaikuza habari kishambenga.

Migogoro ya mipakani ipo kote duniani, ila yenu huwa na mizuka ya kidini na kulipukiana, kidogo dunia inapata ahueni mkigeukiana huko.
 
Hii habari imekuzwa hapa Jf , nilidhani ni uvamizi wa kudhamiria kabisa kuvamia nchi fulani moja kwa moja kumbe ni migogoro ya kawaida ambayo hutokea mipakani baada ya askari kutoelewana.
Mbona Tz haina hiyo migogoro ya kawaida na majirani zake ?
 
Hata Kenya na Tz huwa kunatokeaga shida mipakani ,na sio hao tu ni nchi kibao hata nyinyi wa Kenya mna mgogora na jirani yenu wa siku nyingi kuhusu mpaka .

Sasa mada kawasilisha kama Serikali moja inataka kufanya uvamizi katika nchi nyingine kama Urusi na Ukraine wakati mgogoro hatujafika stage hiyo na wala hakuna aliyemtisha mwenzake sasa mleta mada kaikuza habari kishambenga.
We kiande ,lini ulisikia jeshi la tz limegombania mpaka na jeshi la Kenya, uganda , rwanda au burundi ?
 
60% ya export yoote ya China goes to America and west na china anatambua kwamba US ni button ingine, angalia mfano mdogo tu wakati wa msuguano wa kibiashara china walitaka kufanya 5G installation mkwara mmoja huwaei ilikufa mpaka leo na project yoote dunian ilisimamia pale: Russia kwanza kwenye suala la uchum US hana habari nayo anajua ni mzaha
Huawei isharudi kwenye biashara kitambo tu. Kuna project mpya kibao zinakuja mfano siku chache zilizopita Volkswagen walisain mkataba na Huawei (Gari za VW zitumie Harmony OS)
 
We kiande ,lini ulisikia jeshi la tz limegombania mpaka na jeshi la Kenya, uganda , rwanda au burundi ?
Wapi nimesema Jeshi la Tz limegombana na jeshi la Kenya kuhusu mpaka ,hivi akili unayo ?

Mimi nimetoa Maelezo generally kwamba mipakani migogoro ni jambo la kawaida na sijakuwa specific kwamba mgogoro wa namana hiyo umewahi kutokea East Africa .
 
Back
Top Bottom