Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watapambana na Tariban kwanza,..hadi waisahau Israel.,..kunawatu vichwa dunia Hii.Kumekucha kabla Iran kuvamia Israel ,Taleban wamewahi kwa kuvamia Iran
Watu ni vile wamekuwa wwpesi kusahau. Marekani kabla hajaondokana Afghanistan walikaa na Taliban kwanza na kuna mambo wakikubaliana.nadhani usa waliwaachia taliban nchi kimkakati na makubaliano fulani
Hawataki kuliona hilo. Kifo cha HUAWEI China mpaka leo analilia bafuni kila akienda kuoga.60% ya export yoote ya China goes to America and west na china anatambua kwamba US ni button ingine, angalia mfano mdogo tu wakati wa msuguano wa kibiashara china walitaka kufanya 5G installation mkwara mmoja huwaei ilikufa mpaka leo na project yoote dunian ilisimamia pale: Russia kwanza kwenye suala la uchum US hana habari nayo anajua ni mzaha
Hii habari naona ipo Jf tu ,nashangaa taarifa kubwa kama hii haipo BBC word ,Swahili wala Aljazeera.
Hawataki kuliona hilo. Kifo cha HUAWEI China mpaka leo analilia bafuni kila akienda kuoga.
Hii habari naona ipo Jf tu ,nashangaa taarifa kubwa kama hii haipo BBC word ,Swahili wala Aljazeera.
Wacha nikupe source ya aljazeera maana yenyewe ina jina la kiarabu labda utaiamini
Hii hapa, aisei mlipuane muache kuzingua dunia At least three killed in shooting at Iran-Afghan border
nadhani usa waliwaachia taliban nchi kimkakati na makubaliano fulani
Hii habarii nimeioma jana aljazeera ila hawakusema wametaka eneo walisema mapigano baina ya pande mbili yanaendelea mpakani na chanzo wanagombea chanzo cha maji na taliban ndiye alianzisha mashambuliziIran ipo kwenye wakati mgumu baada ya jeshi la Taliban kuvamia na kuteka eneo
Nia ya Taliban Ni kufika Tehran , kwa siku moja
Marekani anatia kila demuPale as mbapo Marekani anakuwa Rafiki wa Taliban
Si huwa mnasema Marekani alishindwa ile vitaMarekani aliondokaga kule nyumbani kwa talibani kwa upendo za chini ya kapet eti kuna mikataba..
US akili kubwa Sana walenadhani usa waliwaachia taliban nchi kimkakati na makubaliano fulani
Israel ana matatizo yake....Watapambana na Tariban kwanza,..hadi waisahau Israel.,..kunawatu vichwa dunia Hii.
Huwa nawaambia hapa Bet against Uncle Sam at your own risk , acheni kabisa lile taifa , Marekani thinks 1000 years ahead of every godamn foolWatu ni vile wamekuwa wwpesi kusahau. Marekani kabla hajaondokana Afghanistan walikaa na Taliban kwanza na kuna mambo wakikubaliana.
Nakumbuka kikao hicho kilifanyika chini ya utawala wa Trump, ambapo nakumbuka ilisemwa inaangaliwa namna watakavyoondoka ma jinsi Taleban watakavyotawala.
Fikiria, anayetawala Afghanistan ni mwingine, lakini US anakaa na mwingine kujadili namna ya kuondoka na huyo kiongozi wa Taleban nadhani alikutana na Trump katika ziara ya Trump huko Qatar or Saud.
Ilivyokuwa inaripotiwa kuwa US amekimbia Afghanistan, binafsi sikuwahi kuchangia maana kwa kumbukumbu zangu ilikataa kuwa amekimbia huku akiwaachia vifaa vya kisasa kwa madai ya kushindwa kuvihamisha sababu ya muda, yaani unawahi kukimbia unaacha hadi ndege za kisasa za kivita?
Hii mimi ilikataa kuingia akilini nikachagua kuwa kimya tu.