Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Humu kuna wavulana na wanaume angalia wanaume walichoshauri .mbalizi na tate achana na vivulana ..ajabu mwanamke anapigilia msumari ..hajui kuna age mwananke anataman kuwa na mtoto ..hii ni kawaida sana! Dah ..shameNimeshangaa na kustaajabu[emoji848][emoji848]
Yaan hata wanaume waliokomenti hakuna aliyetoa hili wazo[emoji848]
Bora ulie na akili timamu....angalau tumepata mtakatifu mwanamke Dunia....hii comment ya pili unaongea negative Abt me ..sijawahi jibishana vibaya na mtu humu....nahisi unanifunza kitu cuteUmenistaajabisha .kweli wanawake hatupendani ...ila uko na shida wewe
Oo sor, sikujua kama una shida na mtoto...Hata Ivo sikuwa najibu post Yako au comment yako....Hata kupita ungepita tu ingefaa sanaHumu kuna wavulana na wanaume angalia wanaume walichoshauri .mbalizi na tate achana na vivulana ..ajabu mwanamke anapigilia msumari ..hajui kuna age mwananke anataman kuwa na mtoto ..hii ni kawaida sana! Dah ..shame
Aisee...!Oo sor,sikujua kama una shida na mtoto...Hata Ivo sikuwa najibu post Yako au comment yako....Hata kupita ungepita tu ingefaa sana
Nimeona thread Yako pia,duniani magumu ni mengi sana...tunapaswa kuyapitia broDaah haya mambo ni hatari sana.
Hakuna namna mzee.Nimeona thread Yako pia,duniani magumu ni mengi sana...tunapaswa kuyapitia bro
Pole Sana mkuu, nayajua hayo unayopitia, kiufupi kuzaa na mwanamke ambae hukupanga kumuoa ni shidaNaenda kupata mtoto wa tatu na mwanamke ambaye sikuwahi fikiri nitazaa naye!
Ipo hivi mwaka jana katika safari zangu za biashara nilijikuta nalala hotel moja Mbeya , sababu ya kulala hapo ni ubora wa
Mamaeee we jamaanimekuta nafatisha, nimefika kati niko hoi
Sayona Tunda ( ya baridi) pembeni hapa ndiyo imeniokoa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alikuomba umfundishe kulima ila wewe UKAMLIMA yeye ..subir mavuno sasa[emoji23][emoji23]
Alafu nyie mafala mnaokomalia kukataa ndoa ukifuatilia utakuta mna 23yrs au wife yupo jikoni anapikašKataa Ndoa, utakuja kunishukuru
ah wapi, team chaputa hapa damdamAlafu nyie mafala mnaokomalia kukataa ndoa ukifuatilia utakuta mna 23yrs au wife yupo jikoni anapikaš
Toa ushauri basi jamaa yupo tutaniAisee
Nilishatoa ushauri kitambooToa ushauri basi jamaa yupo tutani
Chaputa yenyewe changamoto mkuu oa tu mambo si magumu kiviileah wapi, team chaputa hapa damdam
nani atake matatizo ?