Tamasha la Kizimkazi lina manufaa gani kwa taifa?

Tamasha la Kizimkazi lina manufaa gani kwa taifa?

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Akina Mwijaku na machawa wenzie wote...vyombo vya habari na waandishi wake...baadhi ya watendaji wa serikali. Wamejaa huko kwa kugharamiwa mavazi malazi na chakula.

Promo kila redio na TV ni tamasha la Kizimkazi...pesa imelipwa ya matangazo.

HILI LINA FAIDA GANI KWA TAIFA? achaneni na hoja mfu na kivuli eti UTALII...kwani ni nani ametuambia utalii upo chini? Kwamba unahitaji tamasha la kizimkazi kuuboresha?

Wengine wanasema anaenda kuzindua miradi? Mbona haikufanyika namna hiyo kwenye miradi mingine..?
 
Akina Mwijaku na machawa wenzie wote...vyombo vya habari na waandishi wake...baadhi ya watendaji wa serikali...wamejaa huko kwa kugharamiwa mavazi malazi na chakula....
Utalii.

Huelewi kuwa Tanzania ipo kwenye promotion ya kuongeza namba ya watalii?

Hivi hujawahi kuisikia Royal Tour?

Hakika Tanzania adui yetu ni mmoja tu, ujinga. Naona sasa anaemfatia kwa haraka sana ni roho mbaya.
 
Tusubiri kitabu tu hakuna jipya.....lakini vyombo ushauri na wazee wako wapi ? Mkataba bomu zaidi katika historia .....plus gesi zetu zirudi jamani huyu wa kucheka cheka khaaa katufanya wajinga kbs....
 
Utalii.

Huelewi kuwa Tanzania ipo kwenye promotion ya kuongeza namba ya watalii?

Hivi hujawahi kuisikia Royal Tour?

Hakika Tanzania adui yetu ni mmoja tu, ujinga. Naona sasa anaemfatia kwa haraka sana ni roho mbaya.
Haina tofauti na mambo yaliyo kuwa yakifanyika Chato wakati wa awamu ya Tano.

Ushamba wa Madaraka tu!

Wapi Kuanzia utawala wa Nyerere mpaka Mkapa uliona sherehe za Maraisi Nyumbani kwao?

Mkwere alifanyiwa Ile sherehe Chalinze baada ya ustahafu.

Tupunguze kuionyesha Dunia ulimbukeni wa Viongozi wa Africa.

Ndiyo maana Trampo anatutukana bila kupepesa macho!

Pesa zingepunza makali zimeenda kuongoza Ukimwi tu pale

Mungu aturehemu tuondoe upofu huu
 
Haina tofauti na mambo yaliyo kuwa yakifanyika Chato wakati wa awamu ya Tano
Ushamba wa Madaraka tu..
Hizi sherehe zimeanza miaka mingi sana kabla mama Samia hajawa Rais.

Kumbuka hilo.
 
Mimi simkubali Bi Hangaya kabisa lakin ktk hili Namuunga mkono,

Kizimkazi ni eneo ndani ya jamuhuri na ndo alipozaliwa Rais.

Ni kama Butiama,Chato,Msoga,Lupaso n.k

Wacha lipigwe Promo.

Mimi bila Babalevo nisingejua Bi HNgaya kazaliwa huko
Duh utakuwa na upeo mdogo sana kusubiri kujua taarifa fulani kupitia baba levo🤣🤣yani taarifa ya msingi uijue kupitia chawa?lol kizaz empty set
 
Kizimkazi , Suluhu Sports Academy
 

Attachments

  • IMG-20230829-WA0055.jpg
    IMG-20230829-WA0055.jpg
    93.2 KB · Views: 2
Hizi sherehe zimeanza miaka mingi sana kabla mama Samia hajawa Rais.

Kumbuka hilo.
Nitajie sherehe moja ya kipuuzi iliyo fanyika Butiama
Au Kwa kina Mkapa zaidi ya Mazishi yake
Au Kwa Mzee Mwinyi zaidi ya maulidi maulidi za kidini tu Tena kimya kimya

Ni mihemko ya kupata!!


Mungu aturehemu
 
Nitajie sherehe moja ya kipuuzi iliyo fanyika Butiama
Au Kwa kina Mkapa zaidi ya Mazishi yake
Au Kwa Mzee Mwinyi zaidi ya maulidi maulidi za kidini tu Tena kimya kimya

Ni mihemko ya kupata!!


Mungu aturehemu
Hawajawahi kufanya "promotions" za utalii.

Ukijuwa R mbili za mwisho kwenye falsafa ya mama Samia zina maana ipi, hutolalamika.
 
Hawajawahi kufanya "promotions" za utalii.

Ukijuwa R mbili za mwisho kwenye falsafa ya mama Samia zina maana ipi, hutolalamika.
Haya Umeshinda!!!

Usiache kumuelekeza Bi Mkubwa kuomba Rehema za Muumba wake Nina uhakika Ukimwi umesambazwa hapo kijijini kupitia tamasha
 
Haya Umeshinda!!!

Usiache kumuelekeza Bi Mkubwa kuomba Rehema za Muumba wake Nina uhakika Ukimwi umesambazwa hapo kijijini kupitia tamasha
Kumbuka tu, Muumba wetu haikalifishi nafsi siyoweza kuyabeba.

Ukienda kumvulia mtu nguo ni wewe uliyeyataka siyo mama.
 
Ujinga ni mtaji?!!!

Unadhani kuiboresha sekta ya UTALII ni lelemama ?!!!

Mh.Rais Samia ana maono na kuyatekeleza NJIA zake huwa ni hayo UNAYOYAPINGA....

Kalaghabaho
 
Hamna faida yeyoye zaidi ya hasara tu kwa Tanganyika. Pesa zimechotwa kutoka Tanganyika kpelekwa kwenye huo mkusanyiko wa wachezea pesa za umma.
 
Back
Top Bottom