Tamasha la Utamaduni Kilimanjaro halikuandaliwa Kichagga

Tamasha la Utamaduni Kilimanjaro halikuandaliwa Kichagga

Mlima Kilimanjaro upo uchagani, hilo ndio muhimu zaidi.

Hata hao Wapare wa Same na Mwanga wakisafiri kwenda upareni husema wanakwenda Moshi, wakati hakuna Mpare wa Moshi.
Na hapa hatuongelei moshi, tunaongelea kilimanjaro, mlima unaonekana tokea Same.
 
Tamasha limetumika kuwabagua baadhi wanakilimanjaro wasio wanaccm, kampeni hii haina tija kwa taifa. Inaelekea CCM imekuja na staili ya kuwatumia watu wanaojiita machifu ili ijipatie umaarufu, ukweli utabaki ukweli hatuna machifu Tanzania kulingana na katiba ya nchi.
Kama wachaga wanavyobagua wapare
 
Ni wazi Tamasha la Utamaduni Kilimanjro limeandaliwa na viongozi wa CCM, khanga zilizotumika hazioneshi hata chembe utamaduni wa Kilimanjaro zaidi ya kumuonesha Rais Samia!

Kwa kifupi khanga hizo zingeweza kutumika mkoa wowote nchini, pia tamasha limetawaliwa na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi, hata hivyo wanakilimanjaro hawakuwa wana-CCM walikuwa wana-Kilimanjaro bila kujali vyama ingawaje Tamasha limetumika kuwabagua baadhi wanakilimanjaro wasio wana-CCM, kampeni hii haina tija kwa taifa.

Inaelekea CCM imekuja na staili ya kuwatumia watu wanaojiita machifu ili ijipatie umaarufu, ukweli utabaki ukweli hatuna machifu Tanzania kulingana na katiba ya nchi.
Huyu chief hangaya hajiamini kwa sababu ya kupwaya hivyo ameamua kuanza kampeni ya 2025 mapema alivyo na uchu wa madaraka
 
Mlima Kilimanjaro upo uchagani, hilo ndio muhimu zaidi.

Hata hao Wapare wa Same na Mwanga wakisafiri kwenda upareni husema wanakwenda Moshi, wakati hakuna Mpare wa Moshi.
Wapare wa Moshi wapo acha ushamba ndugu na ujinga, na walikua na maeneo ukija eneo la Moshi vijijini maeneo ya tambarare Kuna wapare na wamasai wachaga wako milimani, Moshi mjini Kuna watu wamezaliwa pale na sio wachaga Leo hii huwezi waambia sio kwao, Ila kitu nachofahamu hakuna watu wabaguzi na wabinafsi kama wachaga

Ili swala la wapare kusema wanaenda Moshi nawakati wanaenda upareni walioharibu ni watu wa magari hata ukiwa unashukia Mwanga wanakuandikia kwenye tiketi Moshi au Arusha ndo maana wapare wakasema wanaenda moshi
 
Hivyo kichagga ndio kinauza kuliko kipare😂😂
Kwa taarifa yako wapare wanalugha moja huku wachaga wanalugha nyingi zaidi ya moja japo tunaita kichaga. Rombo na Hai ni mbali sana na lugha zinatofautiana ila wote ni wachaga.
 
Kwa taarifa yako wapare wanalugha moja huku wachaga wanalugha nyingi zaidi ya moja japo tunaita kichaga. Rombo na Hai ni mbali sana na lugha zinatofautiana ila wote ni wachaga.
Wagweno ni wachaga?
 
Huwa siangalii TBC Tv lakini leo nimetumia muda kuiangalia ili nione kinachoendelea na ndicho nikionacho, hasa gharama zilizotumia kutengeneza khanga ambazo hazina lolote kuhusu mkoa wa Kilimanjaro zaidi ya kuwa na picha ya Rais Samia! Sijui ameingiaje kwenye utamaduni wa wanakilimanjaro? Tujikumbushe methali isemayo mdudu kaingiaje ndani ya kokwa la embe!
Biased
 
Hivi mleta mada, hivi Wapare sio Wana Kilimanjaro?! Kuficha ubaguzi sio ngumu kivile sijui nyinyi mnakwama wapi.
 
Ni wazi Tamasha la Utamaduni Kilimanjro limeandaliwa na viongozi wa CCM, khanga zilizotumika hazioneshi hata chembe utamaduni wa Kilimanjaro zaidi ya kumuonesha Rais Samia!

Kwa kifupi khanga hizo zingeweza kutumika mkoa wowote nchini, pia tamasha limetawaliwa na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi, hata hivyo wanakilimanjaro hawakuwa wana-CCM walikuwa wana-Kilimanjaro bila kujali vyama ingawaje Tamasha limetumika kuwabagua baadhi wanakilimanjaro wasio wana-CCM, kampeni hii haina tija kwa taifa.

Inaelekea CCM imekuja na staili ya kuwatumia watu wanaojiita machifu ili ijipatie umaarufu, ukweli utabaki ukweli hatuna machifu Tanzania kulingana na katiba ya nchi.

67CC4E21-B770-40EE-8B2E-F0532A6E3355.png
 
Ni wazi Tamasha la Utamaduni Kilimanjro limeandaliwa na viongozi wa CCM, khanga zilizotumika hazioneshi hata chembe utamaduni wa Kilimanjaro zaidi ya kumuonesha Rais Samia!

Kwa kifupi khanga hizo zingeweza kutumika mkoa wowote nchini, pia tamasha limetawaliwa na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi, hata hivyo wanakilimanjaro hawakuwa wana-CCM walikuwa wana-Kilimanjaro bila kujali vyama ingawaje Tamasha limetumika kuwabagua baadhi wanakilimanjaro wasio wana-CCM, kampeni hii haina tija kwa taifa.

Inaelekea CCM imekuja na staili ya kuwatumia watu wanaojiita machifu ili ijipatie umaarufu, ukweli utabaki ukweli hatuna machifu Tanzania kulingana na katiba ya nchi.
Ndio maana limedoda
 
Back
Top Bottom