Kichwa cha habari kimeanza na ubaguzi, kilimanjaro si ya wachagga peke yao.Mbona mnaanza kubaguana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa cha habari kimeanza na ubaguzi, kilimanjaro si ya wachagga peke yao.Mbona mnaanza kubaguana?
Na hapa hatuongelei moshi, tunaongelea kilimanjaro, mlima unaonekana tokea Same.Mlima Kilimanjaro upo uchagani, hilo ndio muhimu zaidi.
Hata hao Wapare wa Same na Mwanga wakisafiri kwenda upareni husema wanakwenda Moshi, wakati hakuna Mpare wa Moshi.
Siku zote kichwa cha habari hutumika kuuzia habari tu na si vinginevyo.Kichwa cha habari kimeanza na ubaguzi, kilimanjaro si ya wachagga peke yao.
Kama wachaga wanavyobagua wapareTamasha limetumika kuwabagua baadhi wanakilimanjaro wasio wanaccm, kampeni hii haina tija kwa taifa. Inaelekea CCM imekuja na staili ya kuwatumia watu wanaojiita machifu ili ijipatie umaarufu, ukweli utabaki ukweli hatuna machifu Tanzania kulingana na katiba ya nchi.
Mbona hata Kenya unaonekana vizuri sana.Na hapa hatuongelei moshi, tunaongelea kilimanjaro, mlima unaonekana tokea Same.
Hivyo kichagga ndio kinauza kuliko kipare😂😂Siku zote kichwa cha habari hutumika kuuzia habari tu na si vinginevyo.
Na ndio maana watalii wanaenda kuangalia kupitià huko keñya na wanajițangaza duniani pote na hakuna wa kuwazuiaMbona hata Kenya unaonekana vizuri sana.
@ModeratorMods asanteni kwa kurekesha kichwa cha Post yangu kutoka Kichaga kuwa Kichagga! Napenda ibaki Kichaga.
Asanteni kwa wema wenu.
Utamaduni si kuabudu mizimu, utamaduni ni jinsi watu wa kale walivyoendesha maisha yao ya kila siku.Samia anarudisha ukabila na kuabudu mizimu kwa kasi sana.
Huyu chief hangaya hajiamini kwa sababu ya kupwaya hivyo ameamua kuanza kampeni ya 2025 mapema alivyo na uchu wa madarakaNi wazi Tamasha la Utamaduni Kilimanjro limeandaliwa na viongozi wa CCM, khanga zilizotumika hazioneshi hata chembe utamaduni wa Kilimanjaro zaidi ya kumuonesha Rais Samia!
Kwa kifupi khanga hizo zingeweza kutumika mkoa wowote nchini, pia tamasha limetawaliwa na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi, hata hivyo wanakilimanjaro hawakuwa wana-CCM walikuwa wana-Kilimanjaro bila kujali vyama ingawaje Tamasha limetumika kuwabagua baadhi wanakilimanjaro wasio wana-CCM, kampeni hii haina tija kwa taifa.
Inaelekea CCM imekuja na staili ya kuwatumia watu wanaojiita machifu ili ijipatie umaarufu, ukweli utabaki ukweli hatuna machifu Tanzania kulingana na katiba ya nchi.
Wapare wa Moshi wapo acha ushamba ndugu na ujinga, na walikua na maeneo ukija eneo la Moshi vijijini maeneo ya tambarare Kuna wapare na wamasai wachaga wako milimani, Moshi mjini Kuna watu wamezaliwa pale na sio wachaga Leo hii huwezi waambia sio kwao, Ila kitu nachofahamu hakuna watu wabaguzi na wabinafsi kama wachagaMlima Kilimanjaro upo uchagani, hilo ndio muhimu zaidi.
Hata hao Wapare wa Same na Mwanga wakisafiri kwenda upareni husema wanakwenda Moshi, wakati hakuna Mpare wa Moshi.
Kwa taarifa yako wapare wanalugha moja huku wachaga wanalugha nyingi zaidi ya moja japo tunaita kichaga. Rombo na Hai ni mbali sana na lugha zinatofautiana ila wote ni wachaga.Hivyo kichagga ndio kinauza kuliko kipare😂😂
Wagweno ni wachaga?Kwa taarifa yako wapare wanalugha moja huku wachaga wanalugha nyingi zaidi ya moja japo tunaita kichaga. Rombo na Hai ni mbali sana na lugha zinatofautiana ila wote ni wachaga.
Tena mbala ya warimu kuchuWarimu kapsa
BiasedHuwa siangalii TBC Tv lakini leo nimetumia muda kuiangalia ili nione kinachoendelea na ndicho nikionacho, hasa gharama zilizotumia kutengeneza khanga ambazo hazina lolote kuhusu mkoa wa Kilimanjaro zaidi ya kuwa na picha ya Rais Samia! Sijui ameingiaje kwenye utamaduni wa wanakilimanjaro? Tujikumbushe methali isemayo mdudu kaingiaje ndani ya kokwa la embe!
Ni wazi Tamasha la Utamaduni Kilimanjro limeandaliwa na viongozi wa CCM, khanga zilizotumika hazioneshi hata chembe utamaduni wa Kilimanjaro zaidi ya kumuonesha Rais Samia!
Kwa kifupi khanga hizo zingeweza kutumika mkoa wowote nchini, pia tamasha limetawaliwa na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi, hata hivyo wanakilimanjaro hawakuwa wana-CCM walikuwa wana-Kilimanjaro bila kujali vyama ingawaje Tamasha limetumika kuwabagua baadhi wanakilimanjaro wasio wana-CCM, kampeni hii haina tija kwa taifa.
Inaelekea CCM imekuja na staili ya kuwatumia watu wanaojiita machifu ili ijipatie umaarufu, ukweli utabaki ukweli hatuna machifu Tanzania kulingana na katiba ya nchi.
Ndio maana limedodaNi wazi Tamasha la Utamaduni Kilimanjro limeandaliwa na viongozi wa CCM, khanga zilizotumika hazioneshi hata chembe utamaduni wa Kilimanjaro zaidi ya kumuonesha Rais Samia!
Kwa kifupi khanga hizo zingeweza kutumika mkoa wowote nchini, pia tamasha limetawaliwa na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi, hata hivyo wanakilimanjaro hawakuwa wana-CCM walikuwa wana-Kilimanjaro bila kujali vyama ingawaje Tamasha limetumika kuwabagua baadhi wanakilimanjaro wasio wana-CCM, kampeni hii haina tija kwa taifa.
Inaelekea CCM imekuja na staili ya kuwatumia watu wanaojiita machifu ili ijipatie umaarufu, ukweli utabaki ukweli hatuna machifu Tanzania kulingana na katiba ya nchi.