- Thread starter
- #21
Kama South leo angalia tv usikukwani wananchi wakitaka kiongozi ajiuzulu huwa wanafanyaje??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama South leo angalia tv usikukwani wananchi wakitaka kiongozi ajiuzulu huwa wanafanyaje??
Hawa mawaziri nao wamekuwa kama mazuzu, kujipendekeza kwa vijitamasha uchwara vya clouds, watangazaji wenyewe wala ndumu tu. Magufuli ana kweli kweliKatika hali isiyokuwa ya kawaida leo kile kipindi cha XXL kilichokuwa kinaruka moja kwa moja toka Dodoma kimegeuka majonzi baada ya mamia ya vijana kunyoosha mabango yaliyoandika FREE ROMA
Watanganzaji walilazimika kubadili interview na kumwambia naibu waziri habari utamaduni na michezo Antony Mavunde kwamba hawawezi kupuuzia mabango waziri aseme chochote.
Naibu waziri akasema anasikitishwa na kitendo hicho lakini ana taarifa kwamba jeshi la polisi litatoa taarifa punde. Baada ya hapo kwenye segment ya hot 3 at 3 zimepigwa nyimbo mbili za ROMA ambapo umati umepagawa na kupiga mayowe.
Kama ndiyo mbinu yenu mnayoitumia ya kuwaficha ili twenty twenty mpate sera mmekwama.Waacheni waendelee na viburi vyao watakiona cha moto 2020.
Hivi huyo Roma ananini haswaaaa paka Hao sisiemu wamchukuwe. Huyo kajiteka Mwenye ili spare kikiNilikuwa naangalia muda mfupi uliopita watu wamebeba mabango wakitaka Roma aachiwe huko ccm walipompeleka
CCM wana tabia ya kumkamata yeyote anayepingana na mawazo ya serikali. Refers ney wa mitego, tundu lissu Roma na wengine Wengi tuHivi huyo Roma ananini haswaaaa paka Hao sisiemu wamchukuwe. Huyo kajiteka Mwenye ili spare kiki
Tanzania ni kubwa sana jombaa, msijipe moyo kwa hizi drama zenu za kutunga mkidhani mtatujengea chuki dhidi ya Serikali imara na sikivu. Endeleeni kujitekenya tuWaacheni waendelee na viburi vyao watakiona cha moto 2020.
Kama South leo angalia tv usiku
Hiyo propanganda hailipi ndg, watu hawajasahau juzi mlimkamata NeyTanzania ni kubwa sana jombaa, msijipe moyo kwa hizi drama zenu za kutunga mkidhani mtatujengea chuki dhidi ya Serikali imara na sikivu. Endeleeni kujitekenya tu
Ww nani,?Waacheni waendelee na viburi vyao watakiona cha moto 2020.
Kwani anamakosa gani huyu jamaa hadi upoteaji wake uhusishwe na siasa? Wengine tumeshindwa kuelewa nini hasa logic ya harmorapism hiiNilikuwa naangalia muda mfupi uliopita watu wamebeba mabango wakitaka Roma aachiwe huko ccm walipompeleka
NosenseKwani anamakosa gani huyu jamaa hadi upoteaji wake uhusishwe na siasa? Wengine tumeshindwa kuelewa nini hasa logic ya harmorapism hii