TAMASHA la XXL Dodoma lagubikwa na simanzi, umati wamyoshea mabango waziri!

TAMASHA la XXL Dodoma lagubikwa na simanzi, umati wamyoshea mabango waziri!

Tunazungumzia uhai wa mtu mnaleta siasa na vichwa maboga! Watapotea na kufa wengi lakini wanatangulizwa tu. Hata wanaowaua watakufa tu! kwa Saddam na Ghadaffi wako wapi?
 
Tunazungumzia uhai wa mtu mnaleta siasa na vichwa maboga! Watapotea na kufa wengi lakini wanatangulizwa tu. Hata wanaowaua watakufa tu! kwa Saddam na Ghadaffi wako wapi?
 
Waacheni waendelee na viburi vyao watakiona cha moto 2020.
Salary Slip, mimi sina hulka ya kukata tamaa lakini tunapozungumzia 2020, maswali ya msingi yanakuja. Je, wakati huo tutakuwa na tume huru ya uchaguzi? Je, katiba iliyopendekezwa itaruhusu uchaguzi wa raisi kupingwa mahakamani. Muda umesonga sana na ni muhimu tukaanza kufikiria namna nyingine kwa ajili ya 2020.
 
Kwani anamakosa gani huyu jamaa hadi upoteaji wake uhusishwe na siasa? Wengine tumeshindwa kuelewa nini hasa logic ya harmorapism hii
Mara nyingi nyimbo zake hutaja maovu ya serikali
 
Roma sio tishio kwa usalama wa nchi Serikali haihangaiki na watu kama hao.

Roma anajuana na waliomchukua maana walichukuana kimya kimya mpaka na vyombo vya producer

Serikali ina mengi sana ya kufanya Roma ni mtu mdogo sana kwa Serikali ila Serikali haikubalini na hivi vikundi vya kupoteza watu kwa mtundo kama huu.

Nchi iko ktk hali ya amani tu siyo kama DRC ambako kuna matukio kama haya kila wakati na wenyewe ni kudai fidia wana kuwa mtaji wa pesa hao mateka

Tuache kubuni kubuni tu mambo ambayo hayatusaidii kabisa.

Polisi wamesema hawahusi.Na kwa nini wote watano wachukuliwe kama kukuona hata kupiga kelele hakuna kwanini kama hao watu hawajulikani??
 
Roma sio tishio kwa usalama wa nchi Serikali haihangaiki na watu kama hao.

Roma anajuana na waliomchukua maana walichukuana kimya kimya mpaka na vyombo vya producer

Serikali ina mengi sana ya kufanya Roma ni mtu mdogo sana kwa Serikali ila Serikali haikubalini na hivi vikundi vya kupoteza watu kwa mtundo kama huu.

Nchi iko ktk hali ya amani tu siyo kama DRC ambako kuna matukio kama haya kila wakati na wenyewe ni kudai fidia wana kuwa mtaji wa pesa hao mateka

Tuache kubuni kubuni tu mambo ambayo hayatusaidii kabisa.

Polisi wamesema hawahusi.Na kwa nini wote watano wachukuliwe kama kukuona hata kupiga kelele hakuna kwanini kama hao watu hawajulikani??
Mzaha mzaha kidonda hutunga USAHA!
 
Ipo siku haki itapatikana ipo siku,hii mbinu walioifanya kumwinua bashite upya imefeli free roma he has a son [emoji22][emoji22]
 
Tunazungumzia uhai wa mtu mnaleta siasa na vichwa maboga! Watapotea na kufa wengi lakini wanatangulizwa tu. Hata wanaowaua watakufa tu! kwa Saddam na Ghadaffi wako wapi?
Bro nimeuliza kwanza Roma amekosea nini hasa hadi upoteaji wake uhusishwe na siasa? Nikajibiwa na kichwa boga mwenzio "nonsense " sasa sijui nadhani kila mtu huwa anajua mambo ya wasanii humu ndani.
 
Roma sio tishio kwa usalama wa nchi Serikali haihangaiki na watu kama hao.

Roma anajuana na waliomchukua maana walichukuana kimya kimya mpaka na vyombo vya producer

Serikali ina mengi sana ya kufanya Roma ni mtu mdogo sana kwa Serikali ila Serikali haikubalini na hivi vikundi vya kupoteza watu kwa mtundo kama huu.

Nchi iko ktk hali ya amani tu siyo kama DRC ambako kuna matukio kama haya kila wakati na wenyewe ni kudai fidia wana kuwa mtaji wa pesa hao mateka

Tuache kubuni kubuni tu mambo ambayo hayatusaidii kabisa.

Polisi wamesema hawahusi.Na kwa nini wote watano wachukuliwe kama kukuona hata kupiga kelele hakuna kwanini kama hao watu hawajulikani??
ROMA ni mtu mdogo sana lakini Ney wa Mitego ni mtu mkubwa sana! Haiwezekani ukawa hujatumwa!
 
Kutoka kuwa viongozi wa serikali hadi kuwa watekaji. [HASHTAG]#freeroma[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom