TAMASHA la XXL Dodoma lagubikwa na simanzi, umati wamyoshea mabango waziri!

Hawa mawaziri nao wamekuwa kama mazuzu, kujipendekeza kwa vijitamasha uchwara vya clouds, watangazaji wenyewe wala ndumu tu. Magufuli ana kweli kweli
 
Nilikuwa naangalia muda mfupi uliopita watu wamebeba mabango wakitaka Roma aachiwe huko ccm walipompeleka
Hivi huyo Roma ananini haswaaaa paka Hao sisiemu wamchukuwe. Huyo kajiteka Mwenye ili spare kiki
 
Roma nyimbo zake nyingi zinaelezea maovu ya serikali ya CCM sasa nadhani wamemuwahi kabla hajaepua kitu.lakini wanachijidanganya ni kwamba kukamata watu ndio kama wanatuamsha sasa ili tupambane
 
Hili jibwa mwitu na mwanae yatatumaliza Watanzania. Kapotezwa Beni, leo Roma, muda mfupi uliopita mwananchi kule Mara kakutwa kauawa na kufungwa kwenye baiskeli kama kifurushi na kutoswa ziwani. Hawa wanaojiita mapolisi kazi yao kujifanya waganga wa kienyeji kubashiri maandamano ya upinzani tu? Hovyo kabisa.
 
Si tunasikia kisa cha mzee kutomtosa Bashite Dar ni kwamba ni kijana mtaalamu wa kukomesha wanaoisumbua serikali na chama? Yaani mzee akikuchukia anamtuma kijana wake na kumpa escort hadi eneo la tukio. Tuna bahati mbaya ya kumpata kiongozi mkuu mwenye roho isiyo ya binadamu. Furaha yake ni pale anapomwona binadamu mwenzake akiteseka.
 
Tanzania ni kubwa sana jombaa, msijipe moyo kwa hizi drama zenu za kutunga mkidhani mtatujengea chuki dhidi ya Serikali imara na sikivu. Endeleeni kujitekenya tu
Hiyo propanganda hailipi ndg, watu hawajasahau juzi mlimkamata Ney
 
Nilikuwa naangalia muda mfupi uliopita watu wamebeba mabango wakitaka Roma aachiwe huko ccm walipompeleka
Kwani anamakosa gani huyu jamaa hadi upoteaji wake uhusishwe na siasa? Wengine tumeshindwa kuelewa nini hasa logic ya harmorapism hii
 
Kwani anamakosa gani huyu jamaa hadi upoteaji wake uhusishwe na siasa? Wengine tumeshindwa kuelewa nini hasa logic ya harmorapism hii
Nosense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…