Tambua wakati mzuri wa kutafuta mwanamke wa maisha!

Ok,wewe umeshasaidia wanaume wangapi?kwa hiyo ukiwa tajiri hauwezi kuchapiwa?
 
Huyo wa hivyo hakufaa kuwa wako kabisa. Ila inauma sana kuna watu wanajisahau sana.
 
Ndo hawa mwisho wa siku wanakimbilia kusaka dawa za nguvu za kiume kumbee hana tatizo bali msongo wa mawazo tuu..
Kweli kabisa mkuu, wasijitutumue kwa vitu visivyohitaji kujaribu.
 
kwa hiyo tusubiri tukishafirisika ndio tutafute wachumba?
 
kweli kabisa, kwa sababu hutajua kama anakupenda mama lah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…