msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,280
- 7,903
Si Aende shule za private?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wanavyotaka watu watumie barua pepe huwa wapo serious au ni kuepusha usumbufu?Mwanafunzi Josephat John hakuchaguliwa ECA na hakuwa na sifa za kuchaguliwa PCB
OR-TAMISEMI,DODOMA
Mwanafunzi Josephat John aliyekuwa anasoma kidato cha nne shule ya Sekondari Kom iliyopo kwenye Manispaa ya Shinyanga alizua taharuki baada ya kujianika juani huku akiwa amevaa mabango yenye ujumbe wa kupinga kuchaguliwa masomo ya biashara (ECA) ambayo anadai hajawahi kusomea kwani yeye amesoma masomo ya Sayansi(PCB)
Mwanafunzi huyu amepata Div II:21 na masomo ya sayansi anayodai amesomea amepata DCC yenye jumla ya pointi 10. Mwisho wa pointi za wanafunzi waliopangiwa Tahasusi hii ni 8 sawa na BCC, hivyo mwanafunzi huyu hajakidhi vigezo vya kuchaguliwa katika Tahasusi hii ya PCB kulingana na idadi ya nafasi zilizopo mwaka huu.
Hata hivyo Mwanafunzi huyu hajapangiwa Tahasusi ya Biashara (ECA) kama anavyodai, bali amepangiwa kusoma Stashahada Maalumu ya Ualimu kwa Masomo ya Physicis na Hesabu katika chuo cha Ualimu Songea ambapo ni miongoni mwa Maeneo aliyochagua katika machaguo ya vyuo alianza na Ufundi, Afya kisha Elimu.
OR TAMISEMI inaendelea kumtafuta mwanafunzi huyu ili iweze kufahamu nia na shida ambayo amekumbana nayo mpaka kufikia kufanya kitendo hiki.
OR TAMISEMI inaendelea kusisitiza kama kuna mzazi au mlezi yoyote anahitaji ufafanuzi wowote awasiliane na kituo chetu cha huduma kwa wateja kwa kupiga simu namba 0735-160201 na 0262-160201 kuandika barua pepe kwenye anwani yetu . huduma@tamisemi.go.tz
PIA SOMA
- Mwanafunzi avaa mabango na kukaa barabarani akipinga kuchaguliwa masomo ya ECA ambayo hajayasomea
Juu ya wapi?Mpumbav Sana huyo dogo....nlijua tu anayumba...wale jamaa kule juu ni watu makini Sana...
Yani kwamba dogo anatumia cha njombe ama cha arusha?Kuna namna sio bure..!
Taasis ya elimu na tamisemi sio wazembeJuu ya wapi?
Kweli wamtumie ,maana chadema wafuasi wake ni watu wa ajabu ajabu kama huyu kijana anayesumbuliwa na baregheBonge moja la kiki kwa dogo
CHADEMA mtumieni
Mkuu,hata angekubaliwa ufaulu wake kwenye hiyo combination akaze msuli DCC sio poa kabisaaa.Dogo na CCD yake anataka kupiga PCB aje kuwa Pharmacist,Doctor n.k..hataki chaki.
Division 2 ni maksi hafifu?Kwa hiyo bado TZ tasnia ya elimu ni kwa wenye maksi hafifu! Tuna safari ndefu sana
Nectar wabadili matokeo ghafla ng um u.... Huyu dogo atakuwa anazingua mwenyewDuh noma sana, au wamembadilishia maks juu kwa juu ili kumkomoa, nashauri iundwe tume huru
Je kama amesha ya print? kwa dunia ya sasa ni ngumu, wataweza kuibua mambo mengi zaidiDuh noma sana, au wamembadilishia maks juu kwa juu ili kumkomoa, nashauri iundwe tume huru
Fikiria upya ulichoandika,ujiridhishe km uko sahihi na dogo hajui anachopigania,kwamba alifaulu masomo yanayounda combination ya PCB kwa ajili ya kujiunga kidato cha tano.Hiyo PCB anayodai amefaulu, siku hizi inafundishwa O-Level?