pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Si nilisema,
Jua Kali
Jua Kali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi pia nawaza hivi...Duh noma sana, au wamembadilishia maks juu kwa juu ili kumkomoa, nashauri iundwe tume huru
Inaoneka wewe kichwani ni mweupe sn matokeo yalishatoka yapo kwenye mtandao na results slip pia zilishatoka wanaweza vip kubadili matokeo ya mtu???.Duh noma sana, au wamembadilishia maks juu kwa juu ili kumkomoa, nashauri iundwe tume huru
Wanakuwa hawana washauri, wanafuata ambition zao tu......hata mimi mwalimu wetu wa book-keeping alikuwa anatubeza kukazania na kufaulu masomo ya sayansi wakati masomo ya biashara ndo yenye kazi zenye mpunga mrefu, hatukumwelewa sasa hizi tunatumia akili mingi mshahara mbuzi......wakati usawa huu ningepiga ECA ungekuta kwa sasa ningekuwa Managing Director wa kampuni kubwa unalamba si chini ya 40m. per month.Dogo angejua maisha ni biashara asingeibeza ECA.
Ujasiri up?Dogo jasiri Sana hawa ndio wanafaa kitengo maalumu.
"OR TAMISEMI inaendelea kumtafuta mwanafunzi huyu ili iweze kufahamu nia na shida ambayo amekumbana nayo mpaka kufikia kufanya kitendo hiki".Mwanafunzi Josephat John hakuchaguliwa ECA na hakuwa na sifa za kuchaguliwa PCB
OR-TAMISEMI,DODOMA
Mwanafunzi Josephat John aliyekuwa anasoma kidato cha nne shule ya Sekondari Kom iliyopo kwenye Manispaa ya Shinyanga alizua taharuki baada ya kujianika juani huku akiwa amevaa mabango yenye ujumbe wa kupinga kuchaguliwa masomo ya biashara (ECA) ambayo anadai hajawahi kusomea kwani yeye amesoma masomo ya Sayansi(PCB)
Mwanafunzi huyu amepata Div II:21 na masomo ya sayansi anayodai amesomea amepata DCC yenye jumla ya pointi 10. Mwisho wa pointi za wanafunzi waliopangiwa Tahasusi hii ni 8 sawa na BCC, hivyo mwanafunzi huyu hajakidhi vigezo vya kuchaguliwa katika Tahasusi hii ya PCB kulingana na idadi ya nafasi zilizopo mwaka huu.
Hata hivyo Mwanafunzi huyu hajapangiwa Tahasusi ya Biashara (ECA) kama anavyodai, bali amepangiwa kusoma Stashahada Maalumu ya Ualimu kwa Masomo ya Physicis na Hesabu katika chuo cha Ualimu Songea ambapo ni miongoni mwa Maeneo aliyochagua katika machaguo ya vyuo alianza na Ufundi, Afya kisha Elimu.
OR TAMISEMI inaendelea kumtafuta mwanafunzi huyu ili iweze kufahamu nia na shida ambayo amekumbana nayo mpaka kufikia kufanya kitendo hiki.
OR TAMISEMI inaendelea kusisitiza kama kuna mzazi au mlezi yoyote anahitaji ufafanuzi wowote awasiliane na kituo chetu cha huduma kwa wateja kwa kupiga simu namba 0735-160201 na 0262-160201 kuandika barua pepe kwenye anwani yetu . huduma@tamisemi.go.tz
PIA SOMA
- Mwanafunzi avaa mabango na kukaa barabarani akipinga kuchaguliwa masomo ya ECA ambayo hajayasomea
Aisee ona sasa walichomfanyia tamisemi mungu anawaonaDuh noma sana, au wamembadilishia maks juu kwa juu ili kumkomoa, nashauri iundwe tume huru
Duuh mapya haya!Mwanafunzi Josephat John hakuchaguliwa ECA na hakuwa na sifa za kuchaguliwa PCB
OR-TAMISEMI,DODOMA
Mwanafunzi Josephat John aliyekuwa anasoma kidato cha nne shule ya Sekondari Kom iliyopo kwenye Manispaa ya Shinyanga alizua taharuki baada ya kujianika juani huku akiwa amevaa mabango yenye ujumbe wa kupinga kuchaguliwa masomo ya biashara (ECA) ambayo anadai hajawahi kusomea kwani yeye amesoma masomo ya Sayansi(PCB)
Mwanafunzi huyu amepata Div II:21 na masomo ya sayansi anayodai amesomea amepata DCC yenye jumla ya pointi 10. Mwisho wa pointi za wanafunzi waliopangiwa Tahasusi hii ni 8 sawa na BCC, hivyo mwanafunzi huyu hajakidhi vigezo vya kuchaguliwa katika Tahasusi hii ya PCB kulingana na idadi ya nafasi zilizopo mwaka huu.
Hata hivyo Mwanafunzi huyu hajapangiwa Tahasusi ya Biashara (ECA) kama anavyodai, bali amepangiwa kusoma Stashahada Maalumu ya Ualimu kwa Masomo ya Physicis na Hesabu katika chuo cha Ualimu Songea ambapo ni miongoni mwa Maeneo aliyochagua katika machaguo ya vyuo alianza na Ufundi, Afya kisha Elimu.
OR TAMISEMI inaendelea kumtafuta mwanafunzi huyu ili iweze kufahamu nia na shida ambayo amekumbana nayo mpaka kufikia kufanya kitendo hiki.
OR TAMISEMI inaendelea kusisitiza kama kuna mzazi au mlezi yoyote anahitaji ufafanuzi wowote awasiliane na kituo chetu cha huduma kwa wateja kwa kupiga simu namba 0735-160201 na 0262-160201 kuandika barua pepe kwenye anwani yetu . huduma@tamisemi.go.tz
PIA SOMA
- Mwanafunzi avaa mabango na kukaa barabarani akipinga kuchaguliwa masomo ya ECA ambayo hajayasomea
Una elimu gan?Wanakuwa hawana washauri, wanafuata ambition zao tu......hata mimi mwalimu wetu wa book-keeping alikuwa anatubeza kukazania na kufaulu masomo ya sayansi wakati masomo ya biashara ndo yenye kazi zenye mpunga mrefu, hatukumwelewa sasa hizi tunatumia akili mingi mshahara mbuzi......wakati usawa huu ningepiga ECA ungekuta kwa sasa ningekuwa Managing Director wa kampuni kubwa unalamba si chini ya 40m. per month.
Ni chaguo na sio takwa na ndio maana namba za simu zimewekwa na ukiweza unaweza enda kuwaona physicallyHivi wanavyotaka watu watumie barua pepe huwa wapo serious au ni kuepusha usumbufu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shwain sana wwBonge moja la kiki kwa dogo
CHADEMA mtumieni
Njia ziko nyingi kupita ili kufikia mafanikio yako au malengo yako, unaeeza ukachaguliwa njia ya kupita au ukajichagulia piaKwa hiyo bado TZ tasnia ya elimu ni kwa wenye maksi hafifu! Tuna safari ndefu sana
Umemmaliza boss.Dogo atakuwa msumbufu shulenj
Matokeo yake yawekwe hapa tujue kama mwanafunzi au TAMISEMI ndo wanasema ukweli
Unataka bila kujua chochote?Shwain sana ww
Chadema inahusika vipi hapo