Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Wewe Ni msengerema fulani ivi ambaye huna lolote kichwani. Hiyo PCB ya A level utaipataje km O level hujasoma physics, chemistry and biology.
Tatizo vijana wa siku hizi uwezo wa kureason kihesabu ni mdogo sana.
Halafu hoja yangu haikuwa ty kufaulu au la ktk hayo masomo,hoja yangu ni we kudai hakuna PCB o level ukasahau PCB Ni physics,chemistry and biology.Ni suala la kufikiri kikomavu tu.
Ulienda shule kukariri ujinga,Mpumbavu flani ww, nimekupuuza!! Kwanza ni kosa sana kuargue na vitoto vilivyofeli form 4.
Una ujinga mwingi sana na unajivunia, ufiche mbali huenda utakufaa huko mbeleni.... wewe ni sampuli ya huyo dogo hivyo ni wa kuhurumiwa tu kama sio kupuuzwa.