TAMISEMI: Mwanafunzi Josephat John aliyevaa mabango hakuchaguliwa ECA na hakuwa na sifa za kuchaguliwa PCB

TAMISEMI: Mwanafunzi Josephat John aliyevaa mabango hakuchaguliwa ECA na hakuwa na sifa za kuchaguliwa PCB

Wewe Ni msengerema fulani ivi ambaye huna lolote kichwani. Hiyo PCB ya A level utaipataje km O level hujasoma physics, chemistry and biology.

Tatizo vijana wa siku hizi uwezo wa kureason kihesabu ni mdogo sana.

Halafu hoja yangu haikuwa ty kufaulu au la ktk hayo masomo,hoja yangu ni we kudai hakuna PCB o level ukasahau PCB Ni physics,chemistry and biology.Ni suala la kufikiri kikomavu tu.

Ulienda shule kukariri ujinga,Mpumbavu flani ww, nimekupuuza!! Kwanza ni kosa sana kuargue na vitoto vilivyofeli form 4.

Una ujinga mwingi sana na unajivunia, ufiche mbali huenda utakufaa huko mbeleni.... wewe ni sampuli ya huyo dogo hivyo ni wa kuhurumiwa tu kama sio kupuuzwa.
 
"OR TAMISEMI inaendelea kumtafuta mwanafunzi huyu ili iweze kufahamu nia na shida ambayo amekumbana nayo mpaka kufikia kufanya kitendo hiki".

Hapa itakuwa kuna jambo.
Kwa nini OR TAMISEMI itoe ufafanuzi kabla hata hawajajua tatizo la huyo dogo?
Wanataka kumfanyia unasihi,halafu OR TAMISEMI sio lazima iwe ile ya makao makuu Dodoma..hata ofisi ya Mkurugenzi wa halmashauri husika inaweza kutumika kukutana na huyo kijana.
 
Inabidi viletwe Vielelezo kama dogo anavyo kuwa Kapangiwa ECA.

Nakumbuka kuna wakati TAMISEMI walikoroga taarifa za ajira , majina na index number. Tangu hapo nilishamalizana nao
 
Kuna shida moja inajitokeza hapo, walimu wa shule husika wanabadilisha hizo combination wanapojaza kwenye mfumo ili kuwezesha shule zao kupeleka wanafunzi wengi kidato Cha nne, kwahiyo huwajazia combinations ambazo possibility ya kufaulu ni kubwa na hii inaweza kuwa tofauti na chaguzi la mwanafunzi
Hii kweli kbs. Ss unakuta mwanafunzi amejaza mambo ya sayansi wakati yeye amefaulu masomo ya arts, utamfanyaje? Na hata ukimtafute anakwabia jaza yeyote fresh tu.
 
Back
Top Bottom