TAMISEMI: Mwanafunzi Josephat John aliyevaa mabango hakuchaguliwa ECA na hakuwa na sifa za kuchaguliwa PCB

Kama wame-edit watajua wenyewe. Ila dogo mwache aende Songea huko kwa Wayao.

Chuo kizuri sana kile. Mazingira safi, maisha cheap.

 
Hivi wanavyotaka watu watumie barua pepe huwa wapo serious au ni kuepusha usumbufu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo muongo sana hajafaulu alafu anataka alete janjajanja huyu mtoto no yake ya mtihani ni S2652-0102-2020 utaona matokeo yake,pia ukienda kwenye selection kachakuliwa ualimu sasa sijui nia yake yakufanya hivyo labda nikuichafua serekali au alikua na mategemeo yakwenda A level ,japo naona ana tahasusi moja ilio balance HKL ana CCC
 
Dogo na CCD yake anataka kupiga PCB aje kuwa Pharmacist,Doctor n.k..hataki chaki.
Mkuu,hata angekubaliwa ufaulu wake kwenye hiyo combination akaze msuli DCC sio poa kabisaaa.
 
Duh noma sana, au wamembadilishia maks juu kwa juu ili kumkomoa, nashauri iundwe tume huru
Je kama amesha ya print? kwa dunia ya sasa ni ngumu, wataweza kuibua mambo mengi zaidi
 
Huyu bado ni mtoto atafutwe aelekezwe pia asaidiwe kufikia malengo yake sio kwamba Hana akili ni hiyo D moja Tu imeharibu na Kwa mazingira ya huko Kom huwezi linganisha na Mijini. Yupi ana nafuu anaelilia kusoma PCB au anaevuta bangi?.
 
Hiyo PCB anayodai amefaulu, siku hizi inafundishwa O-Level?
Fikiria upya ulichoandika,ujiridhishe km uko sahihi na dogo hajui anachopigania,kwamba alifaulu masomo yanayounda combination ya PCB kwa ajili ya kujiunga kidato cha tano.

Kwamba O-level hawasomi physics,chemistry na biology? Yanayounda combination ya PCB kwa advance level.
 
 

Attachments

  • 850013e8-9b03-48e3-b814-77091d7750b3.jpg
    86.8 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…