TAMISEMI: Mwanafunzi Josephat John aliyevaa mabango hakuchaguliwa ECA na hakuwa na sifa za kuchaguliwa PCB

Walimu msikomae na mapindi tu kila siku, pia washaurini hawa madogo kuhusu maisha n.k .. Haya maisha unatakiwa kuflow kama maji ukikuta jiwe mbele unapita pembeni ili maisha yaendelee, Otherwise tutakuja kupeteza maisha ya watu kizembe.
 
Div II 21pts anaenda kusomea stashahada ya ualimu? Kweli miaka inasonga sana.
 
TAMISEMI wamesha mfanyia uhuni dogo
 
Duh noma sana, au wamembadilishia maks juu kwa juu ili kumkomoa, nashauri iundwe tume huru
Mimi pia nawaza hivi...

Sidhani kama huyu mwanafunzi hakuona kama kachaguliwa Ualimu.

Tamisemi baada ya kusikia yale maandamano najua waliangalia na kama walikosea ndio wakabadili gia angani ili waweza kuficha aibu na kumjibu huyu muandamanaji
 
Dogo angejua maisha ni biashara asingeibeza ECA.
Wanakuwa hawana washauri, wanafuata ambition zao tu......hata mimi mwalimu wetu wa book-keeping alikuwa anatubeza kukazania na kufaulu masomo ya sayansi wakati masomo ya biashara ndo yenye kazi zenye mpunga mrefu, hatukumwelewa sasa hizi tunatumia akili mingi mshahara mbuzi......wakati usawa huu ningepiga ECA ungekuta kwa sasa ningekuwa Managing Director wa kampuni kubwa unalamba si chini ya 40m. per month.
 
"OR TAMISEMI inaendelea kumtafuta mwanafunzi huyu ili iweze kufahamu nia na shida ambayo amekumbana nayo mpaka kufikia kufanya kitendo hiki".

Hapa itakuwa kuna jambo.
Kwa nini OR TAMISEMI itoe ufafanuzi kabla hata hawajajua tatizo la huyo dogo?
 
Duuh mapya haya!
 
Una elimu gan?
 
Tanzania ni moja ya nchi zinazopuuza elimu!! Nchi nyingi sasa hivi mwalimu wa shule ya msingi ana shahada ya ualimu!!

Shule ya msingi ni muhimu sana lakini mwalimu wake ni yule ambaye hata kidato cha 5 hakuiingia. Tuna shida!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…