chemichemi
Senior Member
- Apr 5, 2014
- 116
- 3
- Thread starter
-
- #81
Bora hata tungekuwa tumeenda jkt kuliko kukaa kitaa,hata jamii inatushangaa kwa jinsi tulivokuwaga busy na kitabu na tumekuwa teachers by professional lakn hatupewi ajira rasmi tuliyoahidiwa na serikali yetu inayojiita "serikali sikivu"
Tangu watoe ajira za walimu 2013/2014,kuna wahitimu wengi wa vyuo mbalimbali tumekosa ajira mfano mimi chuo chetu korogwe tupo stashahada takribani 195 tumekosa ajira,hatuwezi kuilazimisha serikali itupatie ajira hapana;lakini swali ni kwanini wengine wapewe ajira na sisi tunyimwe,au sisi sio watanzania,mtoe tamko juu ya swalahili tujue nivigezo gani mmevitumia katika upangaji wa ajira??
wanataka mwalimu wa KINGEREZA(english).
Kaka kabla hatujaendelea faham kama una saplimentary hata moja jua hupati ajira hadi ureseat mtihani tena poleni mliocheza chuoni.
Mimi ndo nina English,nashukuru,sasa ntapataje contact zao aise?
dah!ngoja ntazitafuta nami ntakujuza
ina maanisha mimi ni mwehu!!!??
Kaka kabla hatujaendelea faham kama una saplimentary hata moja jua hupati ajira hadi ureseat mtihani tena poleni mliocheza chuoni.
Kwani wenye sup ni wehu..!?
Anamaanisha, kama ana supp asingepoteza muda wake kulalamika jukwaani badala yake angeenda kusapua
Tangu watoe ajira za walimu 2013/2014,kuna wahitimu wengi wa vyuo mbalimbali tumekosa ajira mfano mimi chuo chetu korogwe tupo stashahada takribani 195 tumekosa ajira,hatuwezi kuilazimisha serikali itupatie ajira hapana;lakini swali ni kwanini wengine wapewe ajira na sisi tunyimwe,au sisi sio watanzania,mtoe tamko juu ya swalahili tujue nivigezo gani mmevitumia katika upangaji wa ajira??
dah!ngoja ntazitafuta nami ntakujuza
From TAMBISEMI:
1. Mjenge utaratibu wa kuomba kazi shule za binafsi.
2. Anzisheni utaratibu wa kuanzisha shule zenu wenyewe.
Wakatabahu;
Katibu TAMISemBI
(Kwa niaba ya Bunge la Katiba la Interahamwe)
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
niligemea nipate no. ya mkuu wa shule lakini imeshindikana,lakini kama unaweza kuandika application letter andika na uambatanishe na vivuli vya vyeti vyako kuanzia olevel na chuo kisha tuma kwa mkuu wa shule mruma sec school.
Box 7135 ugweno mwanga .ili ifike kwaharaka tuma kwa EMS.
Wabongobtuna visa kila kitu tamko jiongeze mwanawane kusoma sio lazima uajiliwe na serikali ni kuongeza uelewa na mwanya wa kutafuta mwenyewe.
thanks,i appreciated your presence,be blassed,let me do it now
Tangu watoe ajira za walimu 2013/2014,kuna wahitimu wengi wa vyuo mbalimbali tumekosa ajira mfano mimi chuo chetu korogwe tupo stashahada takribani 195 tumekosa ajira,hatuwezi kuilazimisha serikali itupatie ajira hapana;lakini swali ni kwanini wengine wapewe ajira na sisi tunyimwe,au sisi sio watanzania,mtoe tamko juu ya swalahili tujue nivigezo gani mmevitumia katika upangaji wa ajira??