msofechris
Member
- Aug 28, 2022
- 11
- 32
Kushindwa kuzingatia tangazo na kujifariji kuwa natuma hivyo hivyo mfumo ndio utachagua ni kupoteza muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana .....kila la kheriKama waziri alivyotangaza nami naomba niseme nimechangamkia fulsa. Kwenye akaunti nilitakiwa kuweka barua na machaguo tu. Niwapongeze kwahili maana adha ya kuscan mavyeti Kila wakati imeondoka.
Kam nilivyosema hapo awali kuwa nimehitimu mwaka 2017 masomo history na Kiswahili na nimechoka kukaa kitaa. Kama kujitolea najitolea mpaka Sasa, Kama uzoefu ninao, Kama Ajira ni koneksheni Sina. Hivyo Kama Kuna mwenye koneksheni naomba ukuje dm lakini dau langu ni elfu 20.
View attachment 2585262
Wabobevu wa lugha acha tujaribu bahatiDaaaah wa KISWAHILI, GEOGRAPHY, HISTORY NA CIVICS ndio bas tna. Huu ubaguzi sas,serikali y2 inabagua.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hajui walimu tunasoma vi ujinga vyao vingi tuHatuombi ualimu tu, huko tuliomba nafasi ya mwandishi wa taarifa za bunge na tulikuja kwenye usaili, Kuna zile za Baraza la kiswahili, Kuna udereva, Kuna zile za loan board na nyingine zilizotangazwa na vyuo vya tengeru, UDSM, Arusha institute n.k
NAKUAMBIA TENA ACHA ZEREU
Mimi mwaka Jana niliomba nafasi 10 na zote niliitwa usaili pale DODOMA na Arusha. AsitukadirieHajui walimu tunasoma vi ujinga vyao vingi tu
Mwaka Jana baadhi ya masomo kwenye tangazo yalikuwepo lakini kwenye mfumo hayakuwepo wakaanza kulishughulikia na kuruhusu kwakuchelewa ndiomaana hata muda waliongeza. Mwaka huu masomo kwenye mfumo yapo lakini kwenye tangazo hayapo Sasa mpaka waje kutoa ufafanuzi kuwa nanyi mtume itakuwa too late.Kushindwa kuzingatia tangazo na kujifariji kuwa natuma hivyo hivyo mfumo ndio utachagua ni kupoteza muda
nipotoshe nn acheni kujipa matumani someni vigezo vya tangazo msilazimishe mambo we umeisha ambiwa tunataka hivi unalazimisha halafu unasema upotoshaji sijui nn mwisho wa siku mtemwe lawana nyingi wakati mliambiwa mwazoAcha kupotosha, Kama hutumi utulie watu tumeshatuma na wanaendelea kutuma. Utaamua mfumo, maombi tunatuma
Mbona kwenye mfumo zipo shule zenye uhitj wa ayo masomonipotoshe nn acheni kujipa matumani someni vigezo vya tangazo msilazimishe mambo we umeisha ambiwa tunataka hivi unalazimisha halafu unasema upotoshaji sijui nn mwisho wa siku mtemwe lawana nyingi wakati mliambiwa mwazo
haya soma tangazo ilo half sema upotoshaji View attachment 2586154
Mkiwa mmemaliza vyuo hivi katibuni mnajikutaga wajanja sanaMfumo wa TAMISEMI ni mwepesi kwa sababu wanajua wanadil na watu wa namna gani (Walimu). Njoo kwetu huku sasa kwa wasomi wenyewe PSRS, inahitaji uwe smart sana kichwani kuutumia. Mje mnipige nipo Kariakoo hapa Masjid Mtoro nangoja futari ya bure.
Kujisajili Kwa Mara ya kwanza Kuna mengi ikiwemo namba ya form four lakini Kwa waombaji wa zamani zipo ndani ya account tayariTuangalie na hii taarifa ya leo asubuhi...
Sehemu ya kuandika hiyo namba ya form 4 haipo.View attachment 2586126