TAMISEMI nimeshatuma maombi tafadhali naombeni koneksheni sasa

TAMISEMI nimeshatuma maombi tafadhali naombeni koneksheni sasa

Mkuu naomba maelekezo ya vyeti, tunatumia copy zenye mihuri au? Pia nimewahi kuomba before, nafungua account mpya? Msaada please my fellow senior jobless
Account unatumia ya zamani. Kuhusu vyeti angalia Kama unavyo original pandisha Kama vilivyo lakini copy lazima ku certify na inashauriwa kutumia copy zilizo thibitishwa
 
wazee mmesoma tangazo mkaelewa walimu wanaoitajika kwataarifa yeni kama una shahada wanaitajika wenye shahada ya elimu ya awali na masomo ya english,biology,chemistry,mathematics na physics tu

kama wewe ni history,geography,kiswahili,civics, tangazo halikuhusu
 
Mkuu acha kuwatia wenge wenzio maombi bado ayajaanza kupokelewa c unaona ata hyo copy right ya hyo portal ya screenshot uliyoiweka ni ya 2020 bado wataiupdate na watatoa barua yenye utaratibu wote wa kuomba na tarehe za kuomba na kama aitoshi wataongeza na cku za maombi kabisa usiwape wenge vijana kukimbilia page ya tamisemi wanaijam na kusababisha wa it washindwe fanya kazi yao kwa mdah stahiki
Vipi umeipata hiyo copyright ya 2023?
 
wazee mmesoma tangazo mkaelewa walimu wanaoitajika kwataarifa yeni kama una shahada wanaitajika wenye shahada ya elimu ya awali na masomo ya english,biology,chemistry,mathematics na physics tu

kama wewe ni history,geography,kiswahili,civics, tangazo halikuhusu
Acha kupotosha, Kama hutumi utulie watu tumeshatuma na wanaendelea kutuma. Utaamua mfumo, maombi tunatuma
 
wazee mmesoma tangazo mkaelewa walimu wanaoitajika kwataarifa yeni kama una shahada wanaitajika wenye shahada ya elimu ya awali na masomo ya english,biology,chemistry,mathematics na physics tu

kama wewe ni history,geography,kiswahili,civics, tangazo halikuhusu
Tangazo limeeleweka vizuri kabisa lakini tunatuma ivyo ivyo dadeq watajua hawajui, tumeshasota sana kitaa
 
Nitakua nakimbia mpaka mchakamchaka na watoto
Mkuu kwangu attachment ya barua inagoma inasema imeshindwa due to low capacity/ memory asa cjajua Nini shida nimejaribu kui compress barua nako bado yazingua msaada apo shida Ni nn
 
Mkuu kwangu attachment ya barua inagoma inasema imeshindwa due to low capacity/ memory asa cjajua Nini shida nimejaribu kui compress barua nako bado yazingua msaada apo shida Ni nn
Ina ukubwa gani hiyo barua yaani mb/kb ngapi? Na umetumia Nini kuscan? Na ku upload unatumia Nini?
 
Kama waziri alivyotangaza nami naomba niseme nimechangamkia fulsa. Kwenye akaunti nilitakiwa kuweka barua na machaguo tu. Niwapongeze kwahili maana adha ya kuscan mavyeti Kila wakati imeondoka.

Kam nilivyosema hapo awali kuwa nimehitimu mwaka 2017 masomo history na Kiswahili na nimechoka kukaa kitaa. Kama kujitolea najitolea mpaka Sasa, Kama uzoefu ninao, Kama Ajira ni koneksheni Sina. Hivyo Kama Kuna mwenye koneksheni naomba ukuje dm lakini dau langu ni elfu 20.

View attachment 2585262
Utatoboa mwamba,believe me...
 
Oya senior jobles, naomba unichekia kweny pdf ya afya, vp kweny viambatanishi, kuna ujinga unaitwa transcript? Simu yangu uwezo mdgo bhana
 
Back
Top Bottom