Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
👏🏾👏🏾👏🏾honestly sjasomea ualim n mdogo wangu mkuu sikulazimishi either uniamin au la hilo ni jukumu lako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👏🏾👏🏾👏🏾honestly sjasomea ualim n mdogo wangu mkuu sikulazimishi either uniamin au la hilo ni jukumu lako
Hahahha aiseNjoo nikuconnect kwa jamaa yangu pale Tamisemi . tuma 20,000 hyo haraka sana
HaahahaKama nawaona wafanyakazi wa Tamisemi hata walinzi wa ofisini wanavyopigiwa simu
Chaguo lako tu, original ndio hupigi muhiriKuna uhitaji wa kupiga mihuri vyeti?
Kama una namba zao nipeKama nawaona wafanyakazi wa Tamisemi hata walinzi wa ofisini wanavyopigiwa simu
Utaratibu umeshatolewa toka asubuhiUtaratibu wa kutuma maombi bado haujakaa vzuri kijana ameshatuma tayari
Kupata kazi sio kuwahi kutuma maombi
Unatumia ya mwakajanaTuelekezane bas namna ya kuomba wadau, me nliomba mwaka jana,sas hapa sjuw tunatumia taarifa za mwaka jana kuingia kw mfumo au najisajr upya? Msaada tafadharView attachment 2585283
Kijana ana moto kuliko maelezo
kitu kimeshatolewa, suala la wewe kuwa outdated lisifanye wengine wasitume. Hiyo copyright hata mwaka Jana ilitumika hiyo. Miaka ya nyuma yake ilikuwa Ile yenye kipengele Cha kujitolea hii ya 2020 Haina na inatumika mpaka Sasa.Mkuu acha kuwatia wenge wenzio maombi bado ayajaanza kupokelewa c unaona ata hyo copy right ya hyo portal ya screenshot uliyoiweka ni ya 2020 bado wataiupdate na watatoa barua yenye utaratibu wote wa kuomba na tarehe za kuomba na kama aitoshi wataongeza na cku za maombi kabisa usiwape wenge vijana kukimbilia page ya tamisemi wanaijam na kusababisha wa it washindwe fanya kazi yao kwa mdah stahiki
mkuu kuna mtu anaomba kusaidiwa sehem ya kujaza namba ya mtihani inamsumbua we ulijazaje
Karibu mkuu,share nasii anuanii ya kuomba kaz
Tumia ya mwakajanaTuelekezane bas namna ya kuomba wadau, me nliomba mwaka jana,sas hapa sjuw tunatumia taarifa za mwaka jana kuingia kw mfumo au najisajr upya? Msaada tafadharView attachment 2585283
Nimepiga muhuri copyVyeti umepiga muhuri?
Kuna format yake namna ya ujazaji. Mimi nimetumia account ya miaka ya nyuma kulogin tumkuu kuna mtu anaomba kusaidiwa sehem ya kujaza namba ya mtihani inamsumbua we ulijazaje
ikoje itaje hio formatKuna format yake namna ya ujazaji. Mimi nimetumia account ya miaka ya nyuma kulogin tu
huyu mtu hana ac huko tamisem ndio alikua anajaza baada ya kucreate acMimi nimetumia ya mwaka Jana nimehuisha taarifa tu.
Yupo race akijua ni bia kumbe konyagi safari hii. Ngoja wam-pimpu sasaVyeti umepiga muhuri?