TAMISEMI nimeshatuma maombi tafadhali naombeni koneksheni sasa

TAMISEMI nimeshatuma maombi tafadhali naombeni koneksheni sasa

Mwalimu na interview wapi na wapi bhana
Hatuombi ualimu tu, huko tuliomba nafasi ya mwandishi wa taarifa za bunge na tulikuja kwenye usaili, Kuna zile za Baraza la kiswahili, Kuna udereva, Kuna zile za loan board na nyingine zilizotangazwa na vyuo vya tengeru, UDSM, Arusha institute n.k

NAKUAMBIA TENA ACHA ZEREU
 
Utaratibu wa kutuma maombi bado haujakaa vzuri kijana ameshatuma tayari
Kupata kazi sio kuwahi kutuma maombi
Mkuu acha kuwatia wenge wenzio maombi bado ayajaanza kupokelewa c unaona ata hyo copy right ya hyo portal ya screenshot uliyoiweka ni ya 2020 bado wataiupdate na watatoa barua yenye utaratibu wote wa kuomba na tarehe za kuomba na kama aitoshi wataongeza na cku za maombi kabisa usiwape wenge vijana kukimbilia page ya tamisemi wanaijam na kusababisha wa it washindwe fanya kazi yao kwa mdah stahiki
Nyie ndio hamuelewi, kama iliomba mara ya kwanza bc sasa hv ni vitu vichache tuu kukamilisha hvy hautumii ht saa zima unakuwa ushamaliza
 
Mhuri unapigwa kwenye copy ya cheti tuh.

Huwezi kupiga Mhuri kwenye cheti original.

Utakua ni uchafuzi wa vyeti sasa,
 
Vipi tunaoambiwa bad credentials au unable credentials kila tukijaribu kuingia kwenye mfumo.
 
Back
Top Bottom