TAMISEMI nimeshatuma maombi tafadhali naombeni koneksheni sasa

Kushindwa kuzingatia tangazo na kujifariji kuwa natuma hivyo hivyo mfumo ndio utachagua ni kupoteza muda
 
History,civics,kiswahili na geography Wamesema wasiombe,hawahitajiki(wapo wengi makazini)🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hongera sana .....kila la kheri
 
Hajui walimu tunasoma vi ujinga vyao vingi tu
 
Kushindwa kuzingatia tangazo na kujifariji kuwa natuma hivyo hivyo mfumo ndio utachagua ni kupoteza muda
Mwaka Jana baadhi ya masomo kwenye tangazo yalikuwepo lakini kwenye mfumo hayakuwepo wakaanza kulishughulikia na kuruhusu kwakuchelewa ndiomaana hata muda waliongeza. Mwaka huu masomo kwenye mfumo yapo lakini kwenye tangazo hayapo Sasa mpaka waje kutoa ufafanuzi kuwa nanyi mtume itakuwa too late.
 
Tuangalie na hii taarifa ya leo asubuhi...

Sehemu ya kuandika hiyo namba ya form 4 haipo.
 
Mbona kwenye mfumo zipo shule zenye uhitj wa ayo masomo
 
Mfumo wa TAMISEMI ni mwepesi kwa sababu wanajua wanadil na watu wa namna gani (Walimu). Njoo kwetu huku sasa kwa wasomi wenyewe PSRS, inahitaji uwe smart sana kichwani kuutumia. Mje mnipige nipo Kariakoo hapa Masjid Mtoro nangoja futari ya bure.
Mkiwa mmemaliza vyuo hivi katibuni mnajikutaga wajanja sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…