- Thread starter
- #21
Niushauri mzuri lakini hata mitandao ya kijamii ni njia sahihi pia ya kupaza sauti zetuNingekushauri umwandikie rasmi Boss wake ili awatume watendaji wake kuja kufanya uchunguzi, ukiweka open hivi hapa inakuwa kama majungu
Asante mkuu kwa muda na ushauri wako kwenye uzi huu