TAMISEMI njooni muondoe wezi Tanga Jiji na Mkinga

Ningekushauri umwandikie rasmi Boss wake ili awatume watendaji wake kuja kufanya uchunguzi, ukiweka open hivi hapa inakuwa kama majungu
Niushauri mzuri lakini hata mitandao ya kijamii ni njia sahihi pia ya kupaza sauti zetu

Asante mkuu kwa muda na ushauri wako kwenye uzi huu
 
Niushauri mzuri lakini hata mitandao ya kijamii ni njia sahihi pia ya kupaza sauti zetu

Asante mkuu kwa muda na ushauri wako kwenye uzi huu
Upo sahihi kuandika hapa hujakosea ila unge muaddress kiongozi husika, kama ni waziri wake, katibu Mkuu wake, au hata RC wake...

Kama alivyoandika huyu ndugu hapa


Japo nayeye hajatumia polite request
 
Waliopo ofisi zote za TSC Mkinga na Tanga msikubali mtakapoambiwa muwe masignatori mpaka hao wezi wafanyiwe ukaguzi.
Wameiba sana na wakurugenzi hawawabani kwasababu nao ndio vile tena
 
Kwasababu maafisaelimu baadhi hawajielewi.
Wanaendekezatu ngono na wanajificha kwenye mgongo wa ukada.
Wakurugenzi wao ndio deshi kabisa
Tatizo lipo kwenye mfumo wa kuwapata hao maafisa.Wengi walihonga kupata hizo nafasi,miaka hiyo.Kwahiyo hawana weledi wa kufanya kazi zaidi ya figisu zisizo na nyuma wala mbele.
Poleni Nkinga
 
Elimu inachezewa mno.Hapo kuna kufaulisha kwel?
 
Ila waalimu bwana sijui nani aliwaroga.

Hivi kwanini hamtaki kujikubali kuwa nyinyi ni jeshi kubwa sana? Mnajua mkiungana mnaweza amua chochote na Serekali itatekeleza? Mnajua hicho kitu? Mnashindwa na jeshi la boda boda yaani
 
Mbona umetumia muda mwingi kuwapiga tu vijembe huyo Afisa Elimu na huyo Katibu wa TSC? Badala yakuelezea sababu hasa ya wewe kufukuzwa kazi?

Na kamaa umeonewa, mbona una haki ya kukata rufaa kwenye ngazi za juu za kiutumishi! Sasa kuja kulia lia humu ndiyo itakusaidia kurudishwa kazini?

Ulitakiwa uelezee ukweli wa kilichotokea, na pia kuomba ushauri wa kisheria ili usaidiwe. Badala ya kutoa shutuma zisizo na ushahidi.
 
Kwanza TSC ipo chini ya Mkurugenzi?wanawajibika kwa Mkurugenzi?kuwa kwenye jengo la Mkurugenzi hainamaana wako chini yake.Hawo pamoja na udhibit ubora hawawajibik moja kwa moja kwa Mkurugenz,Wanawajibika kwa Katibu mkuu
 
Mkurugenzi wa jiji la TANGA ndio wakuanza nae,pamoja na yule afisa elimu waliemtoroshea korogwe mji
 
Majungu at fleek.[emoji855]
Maofisini Kuna majungu sana
 
Tatizo lipo kwenye mfumo wa kuwapata hao maafisa.Wengi walihonga kupata hizo nafasi,miaka hiyo.Kwahiyo hawana weledi wa kufanya kazi zaidi ya figisu zisizo na nyuma wala mbele.
Poleni Nkinga
Kombo hamna kitu anajichekeshatu
 
Mkurugenzi wa jiji la TANGA ndio wakuanza nae,pamoja na yule afisa elimu waliemtoroshea korogwe mji
Nasikia mkurugenzi wa Jiji la Tanga anaogopeka maana anaundugu na Magufuli.
Anajikadiria anachotaka na haguswi. Akisema hamtaki mtumishi kwenye halmashauri yake imepita hiyoooo

Huyo Afisaelimu aliyehamishiwa korogwe simjui mkuu
 
Hii mambo haijakaa sawa sana. Mmlaka za kidhamu za watumishi hawa wa TSC zilifanyie kazi hili suala. Maana, bila kujali wanahusika ama hawahusiki, viongozi wa TSC HQ wamechafuliwa sana.

Na hiki in tatizo sio tu LA Mkinga na Tanga mjini, ni almost wilaya karibia zote malalamiko kama haya yanasikika.
 
"Hata kesi za kinidhamu hawawashirikishi watumishi kwenye ofisi zao"

Makatibu wasaidizi wa TSC Wilaya, wamewafanya watuhumiwa wa kinidham kuwa saccos. Tena wanakutana na watuhumiwa majumbani, sehemu zenye starehe n.k.

Lkn pia, taarifa za kimanunuzi so za kweli hata kidogo. Wananunua risit za kielektroniki tu basi, hawanunui stationeries, wino n.k. kula pesa za wajumbe na viposho vya watumishi wenzao ndo kazi waliobaki nayo.


TSC HQ fuatilieni. Kinyuma chake mtaonekana mnashirikiana na hawa makatibu walafi wa fedha za Umma.
Pitieni huko mawilayani mtayasikia mengi.
 
Kwanza nimeshangaa sana huyo Omari Kombo eti ni afisaelimu sekondari wa Halmashauri.Huyo bwana miaka ya 1988 kuendelea alikuwa mwalimu hapo Maramba sekondari wakati huo nikiwa mwanafunzi.Alikuwa ni mbabaishaji sana katika kufundisha na huku akifanya biashara ya kupiga picha pale shuleni.Kweli kupata cheo TZ ni kuwa na connection na siyo utendaji wa mtu, ndiyo maana nchi inaendelea kwa kuchechemea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…