Niushauri mzuri lakini hata mitandao ya kijamii ni njia sahihi pia ya kupaza sauti zetuNingekushauri umwandikie rasmi Boss wake ili awatume watendaji wake kuja kufanya uchunguzi, ukiweka open hivi hapa inakuwa kama majungu
Upo sahihi kuandika hapa hujakosea ila unge muaddress kiongozi husika, kama ni waziri wake, katibu Mkuu wake, au hata RC wake...Niushauri mzuri lakini hata mitandao ya kijamii ni njia sahihi pia ya kupaza sauti zetu
Asante mkuu kwa muda na ushauri wako kwenye uzi huu
Kwasababu maafisaelimu baadhi hawajielewi.Walimu mnalialia sana,
Tatizo lipo kwenye mfumo wa kuwapata hao maafisa.Wengi walihonga kupata hizo nafasi,miaka hiyo.Kwahiyo hawana weledi wa kufanya kazi zaidi ya figisu zisizo na nyuma wala mbele.Kwasababu maafisaelimu baadhi hawajielewi.
Wanaendekezatu ngono na wanajificha kwenye mgongo wa ukada.
Wakurugenzi wao ndio deshi kabisa
Kombo hamna kitu anajichekeshatuTatizo lipo kwenye mfumo wa kuwapata hao maafisa.Wengi walihonga kupata hizo nafasi,miaka hiyo.Kwahiyo hawana weledi wa kufanya kazi zaidi ya figisu zisizo na nyuma wala mbele.
Poleni Nkinga
Kama nimajungu wajitokeza wapinge sasaMajungu at fleek.[emoji855]
Maofisini Kuna majungu sana
Nasikia mkurugenzi wa Jiji la Tanga anaogopeka maana anaundugu na Magufuli.Mkurugenzi wa jiji la TANGA ndio wakuanza nae,pamoja na yule afisa elimu waliemtoroshea korogwe mji
Hii mambo haijakaa sawa sana. Mmlaka za kidhamu za watumishi hawa wa TSC zilifanyie kazi hili suala. Maana, bila kujali wanahusika ama hawahusiki, viongozi wa TSC HQ wamechafuliwa sana.Ninawasalimu wanajukwaa wa JF
Wakati Mh.Rais akitembea na kauli mbiu ya kazi iendelee,wapo manaibu makatibu wawili wa Tume ya Utumishi wa Walimu(TSC) wa wilaya za Tanga Jiji na Mkinga Halmashauri kauli yao itakua wizi unaendelea. Wanafanya wizi wa dhahiri,unyanyasaji,uonevu na ukandamizaji wa haki za walimu.
Manaibu Makatibu hao Naima Twalib wa Tanga Jiji na Thomas Mnkande wa Mkinga Halmashauri wamegeuza ofisi kua pango la kupigia fedha za umma. Makatibu hao wote wawili kwa nia ovu kabisa wamekua hawawashirikishi wasaidizi wao katika masuala yakiofisi ikiwemo kushuhulikia kero za watumishi ndani ya Halmashauri zao.
Badala yake wanapokea maelekezo kutoka kwa wakurugenzi na maafisa elimu ili kuwakandamiza walimu. Ofisi hizo zimegeuka kama wapo chini ya wakurugenzi na maafisaelimu. Hata kesi za kinidhamu hawawashirikishi watumishi kwenye ofisi zao bali wanashuhulikia mashauri ya walimu kwa matakwa ya wakurugenzi. TSC Tanga na Mkinga sio watetezi wa walimu bali niwapiga dili kupitia Naima na Mnkande
Wanaminya haki za watumishi wenzao ndani ya ofisi kwakiburi na dharau eti kwasababu wao niwakongwe hawataguswa na mtu yeyote. Pia wanajisifu kwamba wana watu wao TSC Makao Makuu Dodoma na Ummy Mwalimu nae eti ni wanammudu.Hiyo ni aina ya rushwa serikali liangalieni
KUBWA KULIKO ZOTE NI WATUMISHI HAO KUSAINIANA ILI WATOE FEDHA ZA OFISI. Ukweli ni kwamba naibu katibu wa Tanga Jiji amekua ndio signatory wa TSC Mkinga na yule wa TSC Mkinga amekua signatory wa Tanga Jiji tena kwa muda mrefu sasa.Huu ni wizi wa dhahiri na mamlaka zimewafumbia macho.
Manaibu makatibu hao wameota pembe zaidi maana hata TSC Makao Makuu wameshapewa taarifa za uvunjaji huo wa taratibu za fedha lakini hawachukui hatua. Inaonekana KUNA MGAO WANAPELEKA MAKAO MAKUU NDIO MAANA WANALINDWA. Hii inadhihirika pale watumishi wa ofisi za TSC Tanga na Mkinga wakilalamika kwa mamlaka zao Dodoma hakuna hatua zozote.
Wakaguzi wa ndani hawajaona huu uvunjifu wa sheria ndani ya hizi halmashauri? Wakurugenzi hawajaona huu wizi? Au kwakua wanabebana wanapopeana maelekezo. Inakuaje mtu atoke Tanga Jiji akasaini Mkinga na mwingine atoke Mkinga Halmashauri akasaini Tanga ikiwa ofisi zote zina watumishi wenye vigezo vya kufanya mambo hayo?Wizitu na kufanya kazi kimapenzi na kwamazoea kwa wazee hawa vikomeshwe.
Wanatembeza mgao na kupiga sana tunguli ndio maana hawaguswi. Kutwa kucha wanapigiana simu za kujadili waganga wazuri walipo ili waendelee kushikilia ofisi. Wala hawajali maslahi ya watumishi sanasana wanaibatu hela za serikali.
Waziri Ummy awashuhulikie hawa wazee wanaofanya kazi kimapenzi na kwamazoea waondoke ofisini waletwe viongozi wanao wajali na kuwasikiliza watumishi na sio hawa wazee wawili ambao wapotu kwaajili ya kupokea maelekezo kutoka kwa wakurugenzi na maafisaelimu kwa lengo la kukandamiza watumishi.
Ummy usiwalinde hawa tunakuamini wewe ni mchapakazi kama ulivyofanya kwa wale wakurugenzi wa halmashauri hawa nao wasimamishe wapishe uchunguzi. Niwezi wa mchana kweupe tena wezi wazee ukiwaona wanatia huruma lakini niwezi sana.
Mh. Ummy lifanyie kazi. Katibu mkuu Tamisemi na Utumishi sikieni kilio cha walimu wa Tanga na Mkinga