Wanaosimamia nidhamu wanapokosa nidhamu huoni kama haki haitatendeka?Hii mambo haijakaa sawa sana. Mmlaka za kidhamu za watumishi hawa wa TSC zilifanyie kazi hili suala. Maana, bila kujali wanahusika ama hawahusiki, viongozi wa TSC HQ wamechafuliwa sana.
Na hiki in tatizo sio tu LA Mkinga na Tanga mjini, ni almost wilaya karibia zote malalamiko kama haya yanasikika.
Manaibu katibu wanajadili na wakurugenzi na hawawashirikishi viongozi wengine kwenye ofisi hizo."Hata kesi za kinidhamu hawawashirikishi watumishi kwenye ofisi zao"
Makatibu wasaidizi wa TSC Wilaya, wamewafanya watuhumiwa wa kinidham kuwa saccos. Tena wanakutana na watuhumiwa majumbani, sehemu zenye starehe n.k.
Lkn pia, taarifa za kimanunuzi so za kweli hata kidogo. Wananunua risit za kielektroniki tu basi, hawanunui stationeries, wino n.k. kula pesa za wajumbe na viposho vya watumishi wenzao ndo kazi waliobaki nayo.
TSC HQ fuatilieni. Kinyuma chake mtaonekana mnashirikiana na hawa makatibu walafi wa fedha za Umma.
Pitieni huko mawilayani mtayasikia mengi.
Mbabaishajitu eti haogopi maana TAMISEMI ni ya makada wa Tanga chini ya Ummy MwalimuKwanza nimeshangaa sana huyo Omari Kombo eti ni afisaelimu sekondari wa Halmashauri.Huyo bwana miaka ya 1988 kuendelea alikuwa mwalimu hapo Maramba sekondari wakati huo nikiwa mwanafunzi.Alikuwa ni mbabaishaji sana katika kufundisha na huku akifanya biashara ya kupiga picha pale shuleni.Kweli kupata cheo TZ ni kuwa na connection na siyo utendaji wa mtu, ndiyo maana nchi inaendelea kwa kuchechemea.
Kwanza TSC ipo chini ya Mkurugenzi?wanawajibika kwa Mkurugenzi?kuwa kwenye jengo la Mkurugenzi hainamaana wako chini yake.Hawo pamoja na udhibit ubora hawawajibik moja kwa moja kwa Mkurugenz,Wanawajibika kwa Katibu m
Sidhani kama watachunguzwa nadhani watapewa ulinzi zaidi.Ahsante kwa taarifa... watachunguzwa...
Boss wao ambaye ni katibu mkuu wa TSC alituma wajumbe kutoka Dodoma na walifika kuwahoji wabadhirifu hao lakini mpaka leo hawajashuhulikiwa.Ningekushauri umwandikie rasmi Boss wake ili awatume watendaji wake kuja kufanya uchunguzi, ukiweka open hivi hapa inakuwa kama majungu
Ummy amepiga kelele TAMISEMI na ameondolewa.Boss wao ambaye ni katibu mkuu wa TSC alituma wajumbe kutoka Dodoma na walifika kuwahoji wabadhirifu hao lakini mpaka leo hawajashuhulikiwa.
Makatibu hao wa Tanga na Mkinga wanajiita wakongwe na mapapa. Ummy Mwalimu shuhulika na wanatanga wenzio ambao eti ni mapapa
Ummy ukiwaacha hao wezi kila ukichukulia hatua wakosaji utakumbushwa
Nao huko makao makuu huwa wakipewa bahasha za kaki wanakua wapoleTAMISEMI wameshindwa kudhibiti huo wizi maana hao tume ya walimu makao makuu walitoka Dodoma na walifika kuwahoji hao wezi wawili yani wa Mkinga na Tanga jiji lakini hakuna jipya. Itakua wamegaiwa mchongo huo nao sijui?
Haya Ummy wa TAMISEMI wabadhirifu wako hao maana ulikomalia halmashauri za wenzako wakati kwako kumeoza