Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Nimependa point namba 5🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Duuh, kweli wewe ni Sayansi piwa, umecharanga mwandiko wa kitabibu.
Hebu fikiria hili.
1.Kuna mtu hadi sasa hana hata namba ya nida.
2.Kuchukulia poa, mambo ya msingi.
3.Kuna mtu hapo unamtetea, lakini alipewa hela yote ya kupata vyeti au leseni na asifanye yanayohitajika
4.Zimamoto.
5.Serikali inajua watu wanavyo vyeti, lakini hiyo ni njia pia ya kupunguza jam, kazi chache ila watu wengi.