TAMISEMI ongezeni muda wa kutuma maombi ya ualimu na afya

TAMISEMI ongezeni muda wa kutuma maombi ya ualimu na afya

Sasa kama mtu kamaliza 2019 na kaanza kufatilia hiyo transcript hajapata hadi leo unataka muda wa ku apply uongezwe kwa kiasi gani? Uongezwe kwa miaka mingapi?

We jamaa kataa kubali, mnapenda Sana zimamoto. Mmeanza kufuatilia vyeti baada ya tangazo la ajira
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana, wakati kuna watu walimaliza kutuma maombi siku hiyo hiyo, hawa wanasubiri mpaka tarehe ya mwisho, na baada ya hapo wanaanza kulaumu serikali mara muda hautoshi blah blah kibao.
N.B NAIOMBA SERIKALI IWAPE KIPAUMBELE WALIOMALIZA CHUO MIAKA YA NYUMA NA WAANGALIE UMRI PIA,HAWA VIJANA WALIOMALIZA MWAKA JANA NDIO WANAKELELE NYINGI KULIKO WENYEJI.
 
Mdau ambaye una jambo la kufuatilia,liwe la kiofisi au siyo la kiofisi,na halikulazimu wewe kuwepo Dodoma au upo Dodoma ila umebanwa na kazi nyingi,wasiliana na 'DODOMA MESSENGERS' kwa 0765920855,usaidiwe kulifuatilia na kulitatua ukiwa hukohuko uliko,kwa gharama nafuu@Mzelelaedgar
 
Huo muda wa maombi uliotolewa unatosha, mtu anapaswa kufuatilia vyeti na document nyingine punde anapomaliza masomo. Sasa umemaliza 2020 au 2021 hadi leo hivyo viambata huna, tatizo la nani hapo? Na utake upate mapema kwa kuwa ajira zimetolewa, huo ni uzembe wako.

Kama tatizo lilikuwa pesa huko nyuma. Leo umeitoa wapi?
Ni sahihi, kukimbizana na muda ili upate hizo nyaraka na uapply haiwezekani. Hata mimi nimewahi kupitia kwenye hiyo hali lakini niliweka plan.

Cha kwanza nilihakikisha napata hizo nyaraka ndio nikaanza kifukuzia michongo ya ajira, yaani unajiandaa kama unaenda vitani na sio unajiandaa wakati vita ishaanza hapo lazima probability ya kufeli iwe kubwa
 
Omba primary tafuta Sehemu za kijijini ndani ndani ambako Hakuna Umeme maji na lami na intarnet .hukosi
Shule karibia zote zinajaa... watu wanachagua shule hatakama hawaijui iko wapi.
Mkuu,mtaani kugumu,cha muhimu ni check number kwanza,mengine baadae.
 
Shule karibia zote zinajaa... watu wanachagua shule hatakama hawaijui iko wapi.
Mkuu,mtaani kugumu,cha muhimu ni check number kwanza,mengine baadae.
Unajua Katika kuomba wengi hawajui shule zilipo that way Kuna shule kila Ajira zikitoka hazipelekewi walimu zinabaki na walimu wawili huku wanafunzi wakiwa 400+ so ndo Maana nasema nachofahamu Kuna Jamaa yangu aliomba mwaka Jana kapata Sehemu Kama hiyo though amaamua kuacha Kazi na kwenda ulaya kutokana na Mazingira mabovu na Kazi kuwa kwenye remoteness areas with poor .....
 
Unajua Katika kuomba wengi hawajui shule zilipo that way Kuna shule kila Ajira zikitoka hazipelekewi walimu zinabaki na walimu wawili huku wanafunzi wakiwa 400+ so ndo Maana nasema nachofahamu Kuna Jamaa yangu aliomba mwaka Jana kapata Sehemu Kama hiyo though amaamua kuacha Kazi na kwenda ulaya kutokana na Mazingira mabovu na Kazi kuwa kwenye remoteness areas with poor .....
Kama unavyosema,watu kaa kutojua jiografia,tunajaza shule yoyote inayojitokeza kwenye machaguo na nk kweli kuna shule hata hazuchaguliwi,lakini anyway,ngoja tupate check number,itajulikana hukohuko.
 
Kama unavyosema,watu kaa kutojua jiografia,tunajaza shule yoyote inayojitokeza kwenye machaguo na nk kweli kuna shule hata hazuchaguliwi,lakini anyway,ngoja tupate check number,itajulikana hukohuko.
Sure all the best Mkuu🙏🤩
 
Ziweke hapa,sidhani kama kuna yenye 20 hadi sasa.
Nimeona mkuuu nilikuwa na mdau aliomba number haipand waombaji wako 20 hapo baada ya siku tano awali walikuwa watano jamaa kaomba secondary nafasi 1 waombaji 501
 
Unajua Katika kuomba wengi hawajui shule zilipo that way Kuna shule kila Ajira zikitoka hazipelekewi walimu zinabaki na walimu wawili huku wanafunzi wakiwa 400+ so ndo Maana nasema nachofahamu Kuna Jamaa yangu aliomba mwaka Jana kapata Sehemu Kama hiyo though amaamua kuacha Kazi na kwenda ulaya kutokana na Mazingira mabovu na Kazi kuwa kwenye remoteness areas with poor .....
Kuomba kher kuchagua mikoa ya chakaaa huko unakaa DSM chagua kigoma,Lindi au Tabora Halmshauri Zina majina ovyo
 
Alafu sikuizi aupangiwi unapopaomba unatupwa popote tu kuchagua ni kutimiza wajibu tu
Kuna shule hazina walimu hata ukipewa huo mshahara wa kijiko 700k kwa degree unaweza kuogopa kupiga Kazi.

Hamna maji Safi ya kunywa Wala kupika
Hakuna Umeme
Hakuna internet

So unapata 700k ili umentain life standard unajikuta unakwama maana unapikia maji ya dukani .

So Kama hauna roho ngumu unaweza kuacha Kazi as well Kuna shule zimejengwa recently Zipo ndani unabidi kuomba huko hii nimeshuhudia maana Kuna Kazi nilikuwa nafanya ya program nilitembea vijijini nimejionea Hali zilivyo.
 
Huo muda wa maombi uliotolewa unatosha, mtu anapaswa kufuatilia vyeti na document nyingine punde anapomaliza masomo. Sasa umemaliza 2020 au 2021 hadi leo hivyo viambata huna, tatizo la nani hapo? Na utake upate mapema kwa kuwa ajira zimetolewa, huo ni uzembe wako.

Kama tatizo lilikuwa pesa huko nyuma. Leo umeitoa wapi?
Upo sahh shida ya vijana wao kila kitu ni zima moto.. Utakuta mtu kamaliza chuo mda mrefu anashindwa kufatilia vitu vyake mapema.. likitokea jambo ndio pirika zinaanza alafu hawa hawa watakuja kutoa lawama kwa Serikali.. Me naona muda unatosha
 
Samahani wana jf Kuna mtu ashawah pata kazi utumishi na vyeti vyake havijapigwa muhuri ya hakimu
 
Back
Top Bottom