Nimependa point namba 5🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Duuh, kweli wewe ni Sayansi piwa, umecharanga mwandiko wa kitabibu.
Hebu fikiria hili.
1.Kuna mtu hadi sasa hana hata namba ya nida.
2.Kuchukulia poa, mambo ya msingi.
3.Kuna mtu hapo unamtetea, lakini alipewa hela yote ya kupata vyeti au leseni na asifanye yanayohitajika
4.Zimamoto.
5.Serikali inajua watu wanavyo vyeti, lakini hiyo ni njia pia ya kupunguza jam, kazi chache ila watu wengi.
Asante wifePole zao
Acha mambo yako wewe leseni zipo muda sana na kupata leseni hakuna urasimu wowote. Shida sisi watanzania tunapenda sana kulialia kuonewa huruma, chuo umemaliza miaka 2, 3 nyuma kwanini usifatilie leseni na vyeti vyako mapema?Isshue ya Leseni imeletwa juzi. Haikuwepo. Shida sio kujua shida no urasimu wa upatikanaji
Wiki 3 ni nyingi sana sasa hivi siku 5 tu transcript inakuwa collectedWewe kama hukuandaa vitu vyako mapema usiandike ujinga humu,
Kwanza kupata Nacte transcript haichukui hata week tatu wewe useme ukweli umeanza kushugulikia vitu baada ya ajira kutangazwa
Hauko serious na mambo yako
Utajijua
messenger wa dodoma kaanza na yakee...aya fwateniiiScan barua yako ya maombi ya cheti na leseni, fanya mawasiliano kwa 0765920855,haraka sana,vitu vyako vitafuatwa pale MCT,kwasasa wako Jakaya Kikwete.Gharama ni za kawaida.Fanya kama wenzako,utahudumiwa kwa haraka.
Nimeona shule ziko bushi ndani ndaan toka tangazo litoke. Hadi leo waombaji wako 20Mm naona wafunge tu hata Leo kuna demu ni mwalimu wa phy na chem aliomba siku ya kwanza kabisa mpaka Leo shule alizoomba ipo hivi
Shule ya kwanza wapo 2
Shule ya pili na ya tatu yupo yeye tu
Shule ya nne wapo 5
Shule ya tano wapo 3
Alafu kuna sehemu English wapo watu 756 [emoji23][emoji23]
Tuko pamoja,hiyo ni moja ya shughuli zinazofanyiwa kazi kwa wale wanaochukua kwa mara ya kwanza na hata wanaorenew.messenger wa dodoma kaanza na yakee...aya fwateniii
Wilaya gani wasanue wana wakavamie ukoNimeona shule ziko bushi ndani ndaan toka tangazo litoke. Hadi leo waombaji wako 20
Lindi yoteWilaya gani wasanue wana wakavamie uko
Hasa lindi na mtwaraNimeona shule ziko bushi ndani ndaan toka tangazo litoke. Hadi leo waombaji wako 20
Ziweke hapa,sidhani kama kuna yenye 20 hadi sasa.Nimeona shule ziko bushi ndani ndaan toka tangazo litoke. Hadi leo waombaji wako 20
zipo nying ila inategemeana na masomo unayofundishaZiweke hapa,sidhani kama kuna yenye 20 hadi sasa.
Mtaomba ajira zijazo sio lazima wote tutume maombi.Ndugu zangu ningeomba tutumie huu Uzi kutoa maoni Kwa kuwaomba TAMISEMI kuongeza Muda wa watanzania kutuma maombi ya Kazi za ualim na Afya.
Kwanza muda uliotolewa no siku ambazo sio Chini ya 20 na yawezekana wengi wasiombe na kukosa Fursa ya Kuajiriwa(Kwa wale watoto wa maskini) ambao hawana plan yoyote ile.
Tunaomba Mama yetu ANGELA KAIRUKI uongeze Muda ili wafuassi wako wapate kupona. Sababu kubwa za Kuomba muda uongezwe no hizi hapa;
1. Ucheleweshaji wa Transcript na Leseni za MCT
Kwa ambao mmenda NACTE pale Kuna watu waliomba Transcripts za Kada ya Afya Kwa muda mrefu lakini Huwa zinacheleweshwa. Mtu analipa ili atumie Transcripts mkoani anaisubiri haimfikii anaamua Kufunga safar mpaka NACTE ili apatiwe anatumia siku Mbili Toka Mkoani mpaka Dar akifika pale tayari muda unakuwa umeisha kabisa au anapewa majibu ya subiri.
2. Ulazima wa kuwa na Leseni za MCT na Bodi nyingine kama Za Famasia na Uuguzi Kwa Nursing. Kama mnavyojua anayemaliza chuo Kwa Afya ili afanye kazi lazima awe na leseni. Hii wengi hawaipingi ila tatizo ni pale ambapo Leseni hizi zinachelewa. Mfano mtu kamaliza chuo 2020 ama 2021. Akishamaliza chuo anapaswa awe na leseni leseni kuipata sio Chini ya 400K yaani ada zake na Enrollment Fees. Kwa watanzania walio wengi kupata Laki nne ya kulipa ili apewe leseni kwanza ni Kizungumkuti. Pili Kwa wengine akishalipia Leseni haifiki Kwa wakati. Mfano hapo MCT Kuna mtu alilipia leseni Wiki Iliyopita Jumanne akaambiwa ndani ya Siku Tano itapatikana akaamua Kurudi Mkoani amekwishafika anaisubiri anaambiwa bado. Ina maana Mpaka Deadline inafika atakua hajaipata.
Kama mnavyojua wengi hufuatilia vyeti vyao pale ambapo kazii hutangazwa lakini Kuna yrasimu MKUBWA wa kupata vyeti haswa vya kitaaluma na ukitoa wiki mbili owe deadline ya kutuma maombi watu wengi wanaumia
Zipo sababu nyingi sana ambazo zinachelewesha watu kutokupata Documents zote za kuombea kazi.
Tunawoamba TAMISEMI kuongeza Muda hata wa wiki mbili au zaidi ili watu wapate Fursa ya Kuomba Kazi na kuijenga Nchi.
Muda wamepewa mwingi sana ni uzembe tu, na ujinga ujinga mwingiHuo muda wa maombi uliotolewa unatosha, mtu anapaswa kufuatilia vyeti na document nyingine punde anapomaliza masomo. Sasa umemaliza 2020 au 2021 hadi leo hivyo viambata huna, tatizo la nani hapo? Na utake upate mapema kwa kuwa ajira zimetolewa, huo ni uzembe wako.
Kama tatizo lilikuwa pesa huko nyuma. Leo umeitoa wapi?